Tuesday, 30 June 2015
FAHAMU SABABU YA VIJANA KUJIUSISHA NA MADAWA YA KULEVYA.
Makala Ya Uchambuzi Wa Habari Za
Kijamii.Leo Hii Tunazungumzia Vijana Na Madawa Ya Kulevya,ni Nini Kinacho
Sababisha Mpaka Vijana Wanaingia Kwenye Mtandao Wa Madawa Ya
Kulevya.Tukiangalia Kwa Sasa Hivi Vijana Wengi Wanapotea Bila Ya Kujali Taifa
Linataka Nini,vijana Ni Nguvu Kazi Ya Taifa.Hata Kwa Serikali Nayo Inakosa
Kuangalia Vijana Wanataka Kufanyiwa Nini Ili Kujenga Taifa La Leo Na La
Kesho,wanacho Angalia Wao Ni Maslahi Yao Tu.Kumbe Wanakosa Kuangalia Vijana
Ndio Wanaolinda,kujenga Na Kukuza Uchumi Wa Taifa Letu.Madawa Ya Kulevya
Yanaathiri Taifa Kwa Ujumla Je! Tuna Athirika Vipi?
MUANDAAJI WA MAKARA HII NI MRS SHEIRA
PHONE NUMBER:0714416067
Monday, 29 June 2015
HABARI MOTO:Zanzibar mwandishi wa Habari apigwa na kuumiza vibaya na Polisi, alikuwa akichukua Habari katika kituo cha Uandikishaji wapiga kura.
Mwandishi
wa Habari kwa jina Omar Ali mzaliwa wa Mkoani Kangani kisiwani Pemba, jana mida
ya asubuhi ameshambuliwa na kupigwa vibaya sana na jeshi la Polisi Zanzibar na
kutupwa maeneo ya Maisara mjini Zanzibar.
Mwandishi huyu alikuwa anachukua habari kutoka kituo cha uandikishaji dafatari la kudumu maeneo ya Migombani Zanzibar na polisi hao inasadikiwa walisema ni mwandishi wa Chama cha Wananchi CUF na ndipo walipomshika na kuanza kumpiga vibaya sana na kumvunja miguu kama anavyoonekana kwenye picha akiwa hospital mahutui miguu ikiwa imevujika.
Mwandishi huyu alikuwa anachukua habari kutoka kituo cha uandikishaji dafatari la kudumu maeneo ya Migombani Zanzibar na polisi hao inasadikiwa walisema ni mwandishi wa Chama cha Wananchi CUF na ndipo walipomshika na kuanza kumpiga vibaya sana na kumvunja miguu kama anavyoonekana kwenye picha akiwa hospital mahutui miguu ikiwa imevujika.
YALIYOJILI:DIMBANI YUPO NJIANI KUELEKEA EMIRATES(ON THE WAY TO EMIRATES.
kiungo wa Juventus Artruro Vidal, 28, anaonekana kujiandaa kuhamia
Arsenal msimu huu (Daily Telegraph)
Sunday, 28 June 2015
YALIYOJILI:Burundi inafanya uchanguzi wake hii leo.
Siku ya leo raia wa Burundi wanapiga kura kuchagua
wabunge,Umoja wa Afrika wasema hautapeleka waangalizi wake wa uchaguzi nchini
humo.




















