Thursday, 29 October 2015
Wednesday, 28 October 2015
Tuesday, 27 October 2015
Thursday, 22 October 2015
#Breaking News>>>Nape Nnauye Katibu wa Uenezi na Itikadi wa Chama cha (CCM) anusurika kifo katika ajali iliyotokea leo eneo la Kilwa.Fahamu zaidi hapa.
Nape Nnauye ambae ni Katibu wa Uenezi na Itikadi wa Chama cha (CCM),
amepata ajali mbaya akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es
Salaam.
Nape amenusurika kifo katika ajali hiyo iliyotokea leo asubuhi katika eneo la Njia Nne Kilwa akiwa anatoka Dar kuelekea jimboni kwake.
Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Lindi alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akiendesha aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka mara kadhaa katika eneo la Nyangao mkoani Lindi.
Katika gari hilo, Nape alikuwa peke yake na ndiye alikuwa akiendesha gari hilo ambapo amepata majeraha madogo ila anaendelea vizuri.
Akizungumza na mtandao huu, Nape amesema: "Namshukuru Mungu nimetoka salama na nawaomba wananchi wasiwe na hofu japo ajali ilikuwa mbaya maana gari lilipinduka mara kadhaa, nimepata majeraha madogomadogo na michubuko ila ni mzima.
Gari limeharibika vibaya ila ninachoshukuru nilikuwa nimefunga mkanda na 'air bag' nazo zimenisaidia."
Kabla ya ajali hiyo, Nape alikuwa jijini Dar es Salaam ambapo aliungana na mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Pombe Magufuli aliyekuwa na mikutano kadhaa ya kampeni katika jiji la Dar na baada ya shughuli hiyo alikuwa akirejea Lindi kuendelea na kampeni kwenye jimbo lake la Mtama.
Nape amenusurika kifo katika ajali hiyo iliyotokea leo asubuhi katika eneo la Njia Nne Kilwa akiwa anatoka Dar kuelekea jimboni kwake.
Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Lindi alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akiendesha aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka mara kadhaa katika eneo la Nyangao mkoani Lindi.
Katika gari hilo, Nape alikuwa peke yake na ndiye alikuwa akiendesha gari hilo ambapo amepata majeraha madogo ila anaendelea vizuri.
Akizungumza na mtandao huu, Nape amesema: "Namshukuru Mungu nimetoka salama na nawaomba wananchi wasiwe na hofu japo ajali ilikuwa mbaya maana gari lilipinduka mara kadhaa, nimepata majeraha madogomadogo na michubuko ila ni mzima.
Gari limeharibika vibaya ila ninachoshukuru nilikuwa nimefunga mkanda na 'air bag' nazo zimenisaidia."
Kabla ya ajali hiyo, Nape alikuwa jijini Dar es Salaam ambapo aliungana na mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Pombe Magufuli aliyekuwa na mikutano kadhaa ya kampeni katika jiji la Dar na baada ya shughuli hiyo alikuwa akirejea Lindi kuendelea na kampeni kwenye jimbo lake la Mtama.
Wednesday, 21 October 2015
#MICHEZO>>>Manchester City yashinda UEFA.Fahamu zaidi hapa.
Maganda Bony mbali kusherehekea kama Manchester City kwa haraka got wenyewe nyuma juu ya suala ngazi dhidi ya wamiliki wa Europa League
Bony ni changamoto kwa mguu ndefu ya Sevilla ya Grzegorz Krychowiak kama pande zote mbili walipigana kwa Ligi ya Mabingwa muhimu pointi
Sevilla ya Adil Rami deflects juhudi kutoka Manchester City Wilfried Bony katika wavu wake mwenyewe kwa ngazi alama Etihad
De Bruyne inaadhimisha kama anaendelea kuhalalisha £ 54m bei yake tag hefty tangu ajiunge kutoka Wolfsburg katika majira dirisha dogo
De Bruyne lindo kama shuti lake creeps ndani ya wadhifa kama Manchester City kuanzakufulaia baada ya uwezekano wa ushindi.
#MICHEZO>>>Real Madrid yatoa droo UEFA.Fahamu zaidi hapa.
Wawili kati ya ghali wamekusanyika timu katika historia ya mchezo wa kisasa, na mapato ya pamoja ya zaidi ya € 1bn, lakini kwa wote dola za petroli na umri wa Hispania fedha hutiwa katika klabu hizo kulikuwa na vigumu mbele ya lengo anastahili jina baina yao.
Kulikuwa na siku zote uwezekano kwamba Real Madrid au Paris Saint Germain itatoa wakati wa uzuri katika mchezo huu, na kulikuwa na kusafishwa kuwakumbusha kama kwa nini hili lilikuwa sanduku ofisi Ligi ya Mabingwa hatua kundi mechi inawezekana kwa mfumo mpya wa mbegu UEFA ya. Lakini mwisho wote walirejea kwa kile wanachojua bora heshima mbali hatua kwa Rafa Benitez, sare kwa arrivistes ya PSG dhidi ya Ligi ya Mabingwa mrahaba.
#MICHEZO>>>Simba yafungwa na Tanzania Prisons,Matokeo ya ligi kuu Tanzania bara na Msimamo nayo yako hapa.
MATOKEO YA MICHEZO YA LIGI KUU TANZANIA BARA Wednesday 21/10/2015
Young
Africans 4-1 Toto African
Stand United
3-0 Majimaji FC
Tanzania
Prisons 1-0 Simba SC
Coastal Union SC 1-0 Kagera Sugar FC
MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA BAADA YA MICHEZO YA Wednesday 21/10/2015.
| Pos | Club | P | W | D | L | GF | GA | GD | PTS |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 | Young Africans SC | 7 | 6 | 1 | 0 | 18 | 3 | 15 | 19 |
| 2 | Azam FC | 6 | 5 | 1 | 0 | 10 | 3 | 7 | 16 |
| 3 | Stand United | 8 | 5 | 0 | 3 | 10 | 4 | 6 | 15 |
| 4 | Simba SC | 7 | 5 | 0 | 2 | 8 | 4 | 4 | 15 |
| 5 | Mtibwa Sugar FC | 6 | 5 | 0 | 1 | 7 | 3 | 4 | 15 |
| 6 | Tanzania Prisons | 8 | 4 | 1 | 3 | 7 | 8 | -1 | 13 |
| 7 | Mwadui FC | 7 | 3 | 2 | 2 | 5 | 3 | 2 | 11 |
| 8 | JKT Mgambo | 7 | 3 | 2 | 2 | 5 | 4 | 1 | 11 |
| 9 | Majimaji FC | 8 | 3 | 1 | 4 | 4 | 7 | -3 | 10 |
| 10 | Toto African | 8 | 2 | 4 | 2 | 4 | 7 | -3 | 10 |
| 11 | Ndanda FC | 6 | 1 | 3 | 2 | 4 | 5 | -1 | 6 |
| 12 | Coastal Union SC | 8 | 1 | 3 | 4 | 1 | 6 | -5 | 6 |
| 13 | Kagera Sugar FC | 8 | 1 | 2 | 5 | 2 | 10 | -8 | 5 |
| 14 | Mbeya City Council FC | 7 | 1 | 1 | 5 | 5 | 7 | -2 | 4 |
| 15 | African Sports | 6 | 1 | 0 | 5 | 1 | 7 | -6 | 3 |
| 16 | JKT Ruvu Stars | 7 | 0 | 1 | 6 | 2 | 12 | -10 | 1 |
Tuesday, 20 October 2015
#YALIYOJIRI>>>Rais Jakaya Kikwete akabidhi jeshi la polisi magari 399 mapya kati ya 777 yaliyoagizwa.Fahamu zaidi hapa.
Wimbo
wa Taifa katika sherehe za kukabidhi magari 399 kati ya 777 yanayoletwa
kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi wa jeshi la polisi.
Wimbo
wa Taifa katika sherehe za kukabidhi magari 399 kati ya 777 yanayoletwa
kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi wa jeshi la polisi.
Wimbo
wa Taifa katika sherehe za kukabidhi magari 399 kati ya 777 yanayoletwa
kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi wa jeshi la polisi.
Inspekta
Jenerali wa Polisi IGP Ernest Mangu akisoma risala kwa Rais Kikwete
katika Chuo Kikuu cha Mafunzo ya Polisi Kurasini jijini Dar es salaam
leo Oktoba 20, 2015 katika sherehe ya kukabidhi magari 399 kati ya 777
yanayoletwa kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi wa jeshi la polisi.
Sehemu ya maafisa waandamizi wa Polisi katika sherehe ya kukabidhi
magari 399 kati ya 777 yanayoletwa kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi
wa jeshi la polisi
Ni baadhi ya magali aliyo kabidhi Jakaya Kikwete kwa Jeshi la Polisi.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi IGP
Ernest Mangu alipowasili Chuo Kikuu cha Mafunzo ya Polisi Kurasini
jijini Dar es salaam leo Oktoba 20, 2015 tayari kukabidhi magari 399
kati ya 777 yanayoletwa kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi wa jeshi la
polisi.













































































