Monday, 3 July 2017

Malaika Akumbwa na Pepo la Picha za Utupu.

MUNGU WANGU! Mastaa wa Bongo ni kama wamevamiwa na pepo la picha za utupu au zinazoonyesha baadhi ya viungo vyao vya siri. Baada ya Ben Pol kuanza, sasa ni zamu ya Malaika anayetamba na ngoma yake ya Rarua Rarua.


Malaika amezua gumzo kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram baada ya kuposti picha inayoonyesha vizuri matiti yake, hali iliyopelekea baadhi ya mashabiki kumrushia maneno ya kashfa, huku wakitafsiri kitendo hiko kama sehemu ya matangazo ya biashara ya mwili wake, hivyo baadhi yao wakikomenti na kumtaka kuanika na bei anayojiuzia.


Picha aliyoposti
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

NAMSHAURI Malinzi Ajiuzulu Urais wa TFF ili Amalizane na Jamhuri.

Nasema mwanzo mwanzoni kuwa mimi ni Mwanasheria na Wakili Msomi. Najua kuwa kutuhumiwa na kushtakiwa si kukutwa na hatia. Kila mshtakiwa si mwenye hatia hadi mahakama itamke hivyo. Mambo hayo,kama moja ya haki za msingi za binaadamu,nayajua na kuyaheshimu.

Rais wa TFF,Jamal Malinzi pamoja na Katibu Mkuu wake Mwesigwa wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka ya jinai mbalimbali yakiwemo ya kutakatisha fedha. Kabla ya hapo,Malinzi alikuwa moja ya waliochukua fomu za kugombea tena Urais wa TFF.

Ili kupunguza mzigo wa mambo na kukubali yaliyompata kimaisha,namshauri Jamal Malinzi ajiuzulu Urais wa TFF ili apate nafasi ya kumalizana na Jamhuri kwenye kesi yake ya jinai. Kuendelea kuwa Rais wa TFF akiwa mshtakiwa kunaweza kutafsirika kama kung'ang'ania kichaka chake cha 'kupiga dili'.

Kujiuzulu,pamoja na kupunguza mzigo,kutamfanya Malinzi awajibike ipasavyo kwa yaliyompata na kukubali kilichomkumba kimaisha. Hakuna haja ya Mshtakiwa kuendelea kuwa Rais wa TFF au hata kujadiliwa kama mgombea mtarajiwa wa Urais wa TFF. Apambane kwanza na jinai yake.Kujiuzulu,wakati mwingine,huilinda punje ya heshima iliyobaki!

By Petro E. Mselewa
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

VIDEO: Magufuli Afungwe Breki- Halima Mdee.

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Chadema Halima Mdee kwa mwenendo anao kwenda nao Rais Magufuli analipeleka taifa pabaya na kwamba Watanzania wanapswa kumfunga breki kwa kuonesha kutofurahishwa na matendo yake.

Mdee ameyasema hayo leo Julai 3, wakati akizungumza na Waandishi wa Habari katika makoa makuu ya chama hicho Jijini Dar es salaam, kuhusu kauli ya Marufuku ya mwanafunzi atakayejifungua hatorudi shuleni aliyoitoa Rais Magufuli hivi karibuni. SIKILIZA HAPA CHINI:




Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

MCHEZAJI Elias Maguli Alivyoulizwa Swali Kwa Kingereza na Mtangazaji na Kujibu Kiswahili Baada ya Kuibuka Mchezaji Bora Mechi ya Jana.

Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) wameichapa timu ya Taifa ya Afrika kusini kwa bao 1-0 ambao ndio wenyeji wa michuano ya kombe la Cosafa inayoendelea huko nchini Afrika Kusini.


Bao la dakika ya 18 la mshambuliaji Elias Maguli lilitosha kuipeleka Stars katika nusu fainali ya michuano hiyo katika mchezo uliochezwa kwenye dimba la Royal Bafokeng, Rusternburg.

“Ahsante sana namshukuru mwenyezimungu kwa kutuaajilia kuweza kupataushindi katika mchezo huu. Ulikuwa mchezo muumuu sana ila tunamshukuru mwenyezimungu kwa kutujaalia kuweza kutoka na us hindi na washukuru mashabiki waliojitokeza na kuweza kutushangilia na kutupatia nguvu”. Alisema Elius Maguli ambaye alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo huo.


Tanzania sasa itamenyana na Zambia siku ya Jumatano katika mchezo wa nusu fainali, wakati Afrika Kusini wanaangukia kwenye michuano ya Plate, inayoshirikisha timu zilizotolewa hatua ya robo fainali.

Katika mchezo wa pili wa michuano hiyo Zimbabwe waliwachapa Swaziland kwa jumla ya mabao 2-1.

TAZAMA VIDEO HAPA:




Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Mwanachuo Aliyeshtakiwa kwa Makosa ya Mtandao Aachiwa Huru.

KISUTU: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachilia huru Jovenary Shirima ambaye ni mwanafunzi wa Chuo mjini Arusha aliyekamatwa tangu mwezi Januari mwaka huu akituhumiwa kwa makosa ya mtandao.

Akizungumza mara baada baada ya kuachiliwa huru, wakili wa Shirima ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amesema tangu hiyo ufunguliwe upande wa walalamikaji hawakuweza kuendelea kuhudhuria mahakamani jambo lililopelekea kufutwa kwa kesi hiyo.

“Walalamikaji wameikacha kesi kama walivyokacha walalamikaji wa kesi ya Mbunge wa Arsuha Mjini, Godbless Lema”.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Download wimbo mpya wa Yeke tee Ft Mash j unaoitwa "Waambie".

https://my.notjustok.com/track/download/id/200506

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

VIDEO:Kichapo alichopewa South Africa na Taifa Stars Cosafa hiki hapa.



Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Download wimbo mpya wa Yeke Tee & Doka Style & Linecuka unaoitwa "Dogo Na Bro".

https://my.notjustok.com/track/download/id/232454

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

JAHAZI la James Rugemalila na Seth Lazidi Kuzama..Waongezewa Mashtaka Mapya.

Jamhuri imeongoza mashatka mapya sita kwa watuhumiwa wa kesi ya Escrow James Rugemalila na Harbinder Sethi
Mbele ya Hakimu Mkazi Huruma Shahidi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakili  Shedrack Kimario amewasomea Mashtaka Mapya watuhumiwa hao pamoja na Uhujumu uchumi.

Awali watuhumiwa walishtakiwa kwa mashtaka sita na sasa yameongezwa sita mengine na kufikia 12.

Kesi hiyo itatajwa tena Tarehe 14 Julia 2017

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

SUMAYE Afunguka Ukweli Mchungu "Katiba Mpya Imewekwa Pembeni..Watawala hawataki Madaraka yao Yadhibitiwe na Katiba"

Waziri  Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amesema Katiba mpya imewekwa pembeni, kwani watawala hawataki madaraka yao yadhibitiwe na Katiba.

Sumaye, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani, alisema hayo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, kwenye mahafali ya vijana wa chuo kikuu wa chama hicho (Chaso).

Alisema Katiba inayopendekezwa ni ya wananchi na ilipitishwa na Bunge, lakini inaonekana si jambo la kipaumbele na wala haitashughulikiwa tena kwa sababu itawadhibiti watawala.

“Mchakato wa Katiba mpya umeigharimu nchi fedha nyingi za walipa kodi na kuitupa ni “makanikia” nyingine, najua Rais John Magufuli  amekwishasema yeye haambiwi la kufanya, lakini sisi tutaendelea kumkumbusha yale ambayo tunadhani ni muhimu kwa mustakabali wa Taifa letu.

“Si jambo la kupuuzwa. Kama ni la kupuuzwa basi awakamate wote waliohusika na uamuzi huo, maana ni ubadhirifu unaofanana na ule wa makanikia,” alisema.

Mwenyekiti huyo alisema chama hicho pamoja na washirika wake wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wataendelea kudai Katiba mpya hadi itakapopatikana.

Alisema licha ya watawala kueleza kwamba Tanzania ina mfumo wa vyama vingi, hata hivyo si kweli, bali ina mfumo ‘bandia’ wa siasa za vyama vingi.

“Tuna mfumo ‘bandia’ wa siasa ya vyama vingi, mfumo wa chama kimoja kilichovaa ngozi ya vyama vingi, mfumo wa vyama vingi vya siasa ni lazima ufuate utawala wa sheria na unaolinda, unaoheshimu na kuitetea Katiba ya nchi ambayo watawala wameapa nayo wakati wa kukabidhiwa madaraka.

“Ukiona katika nchi watawala hawatii sheria wala katiba ya nchi, basi hakuna utawala wa kweli wa vyama vingi vya siasa, bali kuna utawala wa imla uliovaa ngozi ya demokrasia ya vyama vingi vya siasa.

“Tanzania leo hakuna uhuru wa watu kutoa na kupokea habari kama Katiba yetu inavyotaka. Ibara ya 18 ambayo inazungumzia “Haki na Uhuru wa Mawazo,” alisema.

Alisema mfumo au demokrasia ya vyama vingi haurusu ubabe katika utawala na uongozi wa nchi.

“Kama kiongozi anatawala kwa ubabe na vitisho, lazima tukubali kuwa ama Katiba tuliyonayo siyo sahihi au mfumo uliopo siyo wa demokrasia ya vyama vingi kivitendo,” alisisitiza.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Serikali kupeleka umeme vijiji vyote Kibiti.

Hayo yameelezwa leo Bungeni mjini Dodoma, na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Dkt Medred Kalemani wakati akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Kibiti Ally Ungando aliehoji,
Kutoka na mauaji yanayoendelea Wilayani Kibiti bado kuna hitaji umeme, Je serikali ina mpango gani wa kutuletea umeme katika vijiji vilivyobakia?
“Serikali imekusudia kuangaza umeme vijiji vyote nchi nzima, napenda niseme hivyo kwasababu Mheshimiwa Ungando tumeshirikiana sana lakini niseme tu hivi vijiji vyote vya jimbo la Kibiti vitapelekewa umeme sasa kupitia mradi wa REA hadi kufikia mwaka 2021 vijiji vya Kibiti vitakuwa vimeshapata umeme vijiji vyote,” amesema Kalemani.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

SOMA Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo.

Nafasi za ajira zilizotangazwa siku ya leo...Bonyeza Links zifuatazo:

Job Opportunity at PWC, Audit Manager

Jobs at Save the Children, Child Protection Technical Specialist

Job Opportunity at ELCT Northern Diocese, Primary Health Care Coordinator

Job at The Ariel Glaser Pediatric AIDS Healthcare Initiative (AGPAHI), Program Officer

Job at The Ariel Glaser Pediatric AIDS Healthcare Initiative (AGPAHI), Finance Officer

Zingine zipo: www.ajirayako.com


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

KIMENUKA..Viongozi Sita wa America Kusini Wanadai Walipandikizwa Ugonjwa wa Cancer Na Marekani.

Viongozi sita wa America ya Kusini inadaiwa waliuugua ugonjwa wa cancer kwa nyakati tofauti, inadaiwa viongozi wa nchi hizi za walipinga vikali sera za Marekani katika masuala ya kiuchumi na siasa. Aliyekuwa Rais wa Venezuela hayati Hugo Chaves aliwahi kutamka hadharani kuwa yeye binafsi alikuwa miongoni mwa viongozi waliopandikiziwa ugonjwa wa Cancer kupitia shirika la ujasusi la CIA Rais huyo alifariki kwa ugonjwa huo. Marehemu Hugo Chaves alidai alishawahi kuonywa na aliyekuwa Rais wa Cuba Fidel Castro kuwa ajihadhari sana kwani hawa Wamerekani walikuwa na teknologia ambayo ilikuwa rahisi kupandikizia mtu ugonjwa wa Cancer. Kuna viongozi wa kiafrika ambao nao walikufa vifo vya kutatanisha baada ya kuwa na msimamo dhidi nchi za magharibi kama aliyekuwa Waziri mkuu wa Ethiopia Menas Zenawi wa Ethiopia na Bingwa Mutharika wa Malawi na Rais Satta wa Zambia,. Aliyekuwa Rais wa palestina Yasser Arafat naye baada ya maiti kufanyiwa uchunguzi iligundulika naye alifariki kwa cancer ya kupandikizwa.

sources: Pravda News


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Download wimbo mpya wa Dulla Makabila unaoitwa "Demu Wako Namba Ngapi".

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

MALINZI, MWESIGWA WAKOSA TENA DHAMANA, WARUDISHWA RUMANDE.

Malinzi na Mwesigwa walifikishwa leo mahakamani Kisutu kwa mara ya pili na kurejeshwa rumande hadi kesi yao itakaposikilizwa kwa mara nyingine Julai 17, mwaka huu.


Wawili hao wanakabiliwa na mashitaka mbalimbali kuanzia 25 hadi 28 likiwemo lile la matumizi mabaya ya ofisi na utakatishaji wa fedha.


Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Wilbard Mashauri  alisema upande wa utetezi wenyewe wanatambua kuwa mashitaka ya utakatishaji fedha hayana dhamana.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

TASWIRA; BONDIA WA AUSTRALIA ALIVYOISHANGAZA DUNIA KWA KUMTWANGA PAQUAIO.

 Bondia wa Australia, Jeff Horn kwa kubeba ubingwa wa WBO uzito wa welter akimtwanga gwiji Manny Pacquiao.
Pacquiao amepoteza pambano hilo la raundi 12 kwa pointi 117-111, 115-113, 115-113 .
Kumekuwa na mjadala katika uamuzi huo kwa madai Pacquiao alifikisha ngumi nyingi zaidi. 
Lakini mwisho Horn ambaye alionekana yuko fiti hadi mwisho, ameibuka na ushindi.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Download wimbo wa Sholo Mwamba unaoitwa "Ukinipa Sisemi".

https://my.notjustok.com/track/download/id/237836


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Ulisikia Wema Sepetu Ameingia Kwenye Bongo Flava? Basi Huu Ndio Wimbo Aliyoshirikishwa Wema Sepetu.

MSANII wa kike anayepanda kwa kasi kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva Bongo, Haitham Ghazal Seif ‘Haitham’ ambaye pia yuko chini ya Lebo ya MJ Records jana ameachia ngoma mpya aliyomshirikisha Staa wa Bongo Wema Sepetu yenye jina la Play Boy.
 VIDEO:


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

JPM Aagiza kukamatwa wanaongea ongea ovyo kuhusu Kibiti.

Rais Magufuli amewaonya baadhi ya wanasiasa na kuwataka kufunga midomo yao wakati serikali inafanya kazi yake, Rais Magufuli amesema hayo leo wakati anazindua upanuzi wa bandari ya Dar es Salaam.


Rais Magufuli amewataka wanasiasa kuzungumza mambo wanayoyajua lakini si kuongea ongea tu vitu ambavyo hawavifahamu na kusisitiza kuwa baadhi ya watu ambao serikali inawashikilia katika vyombo vya usalama wanahusika na mauaji ambayo yanatokea mkoani Pwani.


"Lakini niwaombe pia na wanasiasa ambao wameshindwa ku 'contol' midomo yao na muda mwingine wanazungumza hata vitu wasivyovijua, unakuta mwanasiasa anasema watu wamekaa sana rumande anashindwa kuelewa Marekani wale watu wabaya walikaa Guantanamo miaka na miaka, lakini kwetu wanaposhikwa watu ambao wanahusika na mambo ya ajabu katika nchi kuna watu wanaongea ongea. Pwani kuna watu wamekufa kule zaidi ya 35 askari zaidi ya 15 na wanaohusika na vifo hivyo ni pamoja na hao waliopo rumande lakini mtu anatoka anasema watu wamekaa mno, unaweza kuona huyo mtu naye anahusika kwa namna moja au nyingine, wasitufanye tukafika hapo sababu wataumia, wajifunze kufunga midomo yao wakati serikali inafanya kazi yake" alisisitiza Rais Magufuli.


Rais Magufuli anasema kumekuwa na mzaha kwa baadhi ya watu kutokana na kuhongwa pesa ndiyo maana wao kazi yao ni kupinga kila kitu.


"Mimi nimetuma ujumbe huu ili uwafikie Watanzania na waelewe, tuna mambo makubwa tunashughulikia katika nchi hii, lakini kumekuwa na mzaha mzaha tu, unakuta muda mwingine mnashughulikia rasilimali za watanzania zinavyoibiwa , lakini unakuta mtu mwingine anapinga hadharani kwa sababu amepewa vijisenti, ninawaomba watanzania wote bila kujali itikadi za vyama vyao tutangulize masilahi ya nchi mbele, hujasimama hata siku moja kulaani mauaji yanayotokea huko halafu unaibuka unataka sifa za kisiasa eti hawa watu waachiwe, na bahati mbaya watu wanaokufa ni wa chama kimoja tu, nataka polisi mfanye kazi yenu."alisema Rais Magufuli


Mbali na hilo Rais Magufuli amewataka polisi kuwakamata watu wote ambao wanaongea ongea juu ya mambo hayo ili walisaidie jeshi la polisi katika upelelezi, bila kuwaogopa kwa sura, wala mwendo wao.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Download wimbo mpya wa Tanayzer Ft Chege unaitwa "Shauri Yako".

https://my.notjustok.com/track/download/id/237835



Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

TAIFA STARS YATINGA NUSU FAINALI YA COSAFA CUP, MAGURI SHUJAA.

Taifa Stars imetinga nusu fainali ya michuano ya Cosafa baada ya kuwatwanga wenyeji Afrika Kusini kwa bao 1-0.

Shuja wa mechi hiyo ambaye ameibuka nyota wa mchezo huo amekuwa ni Elius Maguri ambaye amefunga bao hilo pekee katika kipindi cha kwanza.

Kipa Aishi Manula mara kadhaa alilazimika kuokoa michomo mikali ya washambuliaji wa Afrika Kusini.

Safu ya ulinzi iliyoongozwa na Erasto Nyoni na Salim Mbonde ilionekana kukaa imara tokea kipindi cha kwanza lakini Muzamiru Yassin na Raphael Alpha wakaonekana kufanya vizuri zaidi katika.

Simon Msuva aliingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Thomas Ulimwengu na kusaidia kuongeza nguvu ya kupandisha presha kwenye lango la Afrika Kusini.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

VIDEO: Sababu iliyofanya uchaguzi Mkuu wa TFF kusitishwa leo.

Wakati headlines za hatma ya Rais wa shirikisho la soka Tanzania TFF Jamal Malinzi na Katibu Mkuu wake Selestine Mwesigwa zikiendelea kutawala wakiwa chini ya mikono ya sheria kwa tuhuma mbalimbali, headlines mpya zimeibuka kuhusiana uchaguzi Mkuu wa shirikisho hilo.

Uchaguzi Mkuu wa TFF ulipangwa kufanyika August 12 2017 lakini mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi Revocatus Kuuli ameamua kuahirisha kutokana na sababu kuu ikitajwa kuwa uwepo wa mgawanyiko ndani ya kamati hiyo, hivyo leo July 2 Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Salum Madadi amepokea taarifa za kuahirishwa kwa uchaguzi Mkuu.



Tuna neno moja tu ambalo tunataka liwafikie wadau wetu wa mpira hapa nchini, kumejitokeza mgawanyiko kwenye kamati yetu ya uchaguzi katika kipindi hiki cha mchakato wa uchaguzi na tumepokea barua ya mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi tumeshauriana nae na tumesitisha zoezi la mchakato wa uchaguzi” >>> Salum Madadi

Miongoni mwa vitu vinavyodaiwa kuleta tofauti ni kukosekana wakati wa usaili kwa mmoja kati ya wagombea wa nafasi ya Urais Jamal Malinzi anayetetea nafasi yake na Geofrey Nyange Kaburu anayegombea nafasi ya Makamu wa Rais, Kaburu na Malinzi wote wapo rumande kwa tuhuma tofauti. VIDEO:


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Saturday, 1 July 2017

BREAKING NEWS>>>FIFA WAINGILIA KATI ISHU YA MALINZI (VIDEO)

SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa) muda wowote kuanzia sasa litatuma maofisa wake kuja nchini kufuatilia tuhuma za utakatishaji fedha alizonazo Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi.
Malinzi na wenzake ambao ni Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine na Mkurugenzi wa Fedha wa shirikisho hilo, Nsiande Mwanga walipandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa 28 yakiwemo ya utakatishaji fedha. 


Baada ya kusomewa mashitaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbord Mashauri katika kesi yao namba 213, watuhumiwa hao walinyimwa dhamana na kupelekwa mahabusu hadi kesi yao itakaposikilizwa tena keshokutwa Jumatatu. 


Akizungumza na Championi Jumamosi, Makamu wa Rais wa TFF, Wallace Karia alisema Fifa tayari ina taarifa za viongozi hao wa TFF kukamatwa na kupandishwa kizimbani kisha kwenda mahabusu.
“Fifa itatuma maofisa wake muda wowote kuanzia sasa na wakifika nchini tutakutana nao katika kikao Jumanne ijayo ili waweze kujua undani wa tuhuma zote walizonazo wenzetu, nadhani kila kitu kitakuwa sawa baada ya hapo. 


“Sisi kama TFF hatuwezi kuzungumza lolote kuhusu kukamatwa kwa watu hawa kwani tayari shauri lipo mahakamani,” alisema Karia ambaye pia anagombea nafasi ya urais wa TFF katika uchaguzi utakaofanyika Agosti 12, mwaka huu mjini Dodoma.
Ni wazi kwamba kuna ugumu wa Malinzi kuwahi usaili kwani leo ndiyo mwisho na yeye atafikishwa mahakamani keshokutwa Jumatatu. 

 habari za rais huyo kuwasilisha barua kwa kamati ya uchaguzi ya kuomba udhuru wa kutofanya usaili katika siku zilizopangwa ili afanyiwe Jumatatu ijayo.
Hata hivyo, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Wakili Revocatus Kuuli alikanusha uvumi huo jana jioni


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Tundu Lissu Ahofia TLS Kufutwa......Aitisha Mkutano wa Dharula wa Wanasheria.

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimeitisha mkutano wa dharula wa wanasheria nchi nzima kwa ajili ya kujadili mapendekezo na kutoa msimamo wao dhidi ya Serikali ya kuanzisha Bodi ya Usajili ya Mawakili.

Akizumza jana  kwenye mkutano huo Rais wa TLS, Tundu Lissu alisema mapendekezo yaliyotolewa ni hatari kwa uhuru wa TLS na kada ya sheria kwa ujumla iwapo siasa itaingia kwenye kazi zao za sheria.

Alisema bodi hiyo ikianzishwa itakuwa chini ya waziri wa sheria na katiba na ndiyo itakuwa na nguvu ya kusajili au kuwafuta wanasheria kadri itakavyoona inafaa.

"Mabadiliko haya ni hatari sana kwa uhuru wa wanasheria nchini, tumekutana hapa kuelezana na kupokea maoni ya wanachama kisha tutaweka msimamo wetu baada ya baraza la TLS kukaa .
"Huo ni mkakati wa Serikali kuminya uhuru wa TLS ili kuwadhibiti wanasheria kuingia kwenye siasa, jambo ambalo  linatakiwa kupingwa na kila mtu kwa sababu matokeo yake ni mabaya" alisema Mh. Tundu Lissu.
 
Mbali na hayo Lissu aliwaasa wanasheria kuwa endapo watashindwa kusimamia taaluma yao vizuri na kuruhusu siasa ikaingia ndani yake basi haitokuwa na maana ya  kuwepo kwa chama hicho.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

VIDEO: Rayvanny kafunguka kuhusu Zari kutompost mitandaoni.

Moja ya issue kubwa inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii ni maneno yanayosambazwa mitandaoni kuhusu uhusiano wa mwimbaji Rayvanny na Zari ambaye ni mpenzi wa Boss wa WCB Diamond Platnumz ikidaiwa kuwa wawili hao hawana uhusiano mzuri ndio sababu Zari huwa hampost Rayvanny kwenye page zake za kijamii. 
Tazama Hapa



Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Ndugai: Hamna Cha Kesi, Mimi Ndio Spika Watakaa Benchi Mwaka Mzima

Mahakama zetu zimeendelea kudharaulika baada ya leo bungeni spika ndugai kusema wabunge waliosimamishwa vikao mwaka mzima wanakimbia kimbia tu hakuna cha kesi mimi ndio Spika.
Nimejiuliza,Ndugai anahakika gani kama mahakama itaamua tofauti na maamuzi yake ya kuwasimamisha mwaka?

Je,Ina maana Ndugai anauwezo wa kuingilia maamuzi ya mahakama mpaka kujipiga kifua hamna cha kesi?"Na kejeli"

Kauli kama hizi endapo mahakama itaamua kuendana na majigambo ya Spika ndugai hata kama maamuzi yake yatakuwa ya haki,zinapunguza imani ya wananchi kwa mahakama zao.Lazima mahakama ijipange la sivyo hadhi yake inaweza kuporomoka kabisa.

By Kibo10


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Jinsi Bilionea wa IPTL-Tegeta Escrow Alivyonaswa Airport Akitaka "Kutoroka".

Haikuwa ajali, pesa ya ESCROW kupita katika bank ya kanisa katoliki, mgawo kuwafikia mapadre na maaskofu,mawaziri na vigogo wa kila namna katika nchi hii. Ili siku inapobumburuka, basi msururu wa watu ujumuishwe na kuwe na "aibu" ya kuwakamata wote waliohusika.

Harbinder Singh aliitumia njia hii pia,alijenga vituo vya polisi,alikarabati nyumba za viongozi na kuwajengea "mabangaroo" wale aliohisi watamsaidia kuukwepa mkono wa dola.Alinunua pikipiki za doria za polisi,alichangia vifaa na pesa katika mahitaji ya ziada ya jeshi letu la polisi (ushahidi wa picha upo)

Pale Airport ya Dar es Salaam,kuanzia kaunta za VIP mpaka kwenye mlango wa ndege wakati wa kuondoka,wahudumu wote na wafanyakazi walijua leo Singasinga anarudi au anaondoka.Kila alipofika Singasinga au kuondoka,aliachia "tips" bila hiyana. Kuanzia kwa askari wa uhamiaji,check in counter,polisi wa Airport,mbeba mabegi,dereva wa gari la VIP mpaka mfagizi,aliinusa pesa ya singasinga.

Hii ndio maana, Singasinga kabla ya kukamatwa, alishapenyezewa taarifa kuwa anatafutwa kwa muda mrefu ili aweze kukamatwa sababu faili la ESCROW lipo juu ya meza ya "mkuu" na ameagiza kesi ianze ila tu ni lazima hawa wahusika wawili akiwemo singasinga wakamatwe.

Siku ya Ijumaa tarehe 16/06/2017,Seth alikuwa aondoke na ndege ya shirika la ndege la South Africa,flight number SA187 inayotoka Dsm kuelekea Orival Reginald Tambo International Airport,iliyotarajiwa kuondoka saa 1535(masaa ya Afrika Mashariki).Afrika Kusini ndiyo yalipo makazi ya Seth baada ya kupata mgogoro wa kifisadi na kupata shida ya kuishi Nairobi Kenya,alihamia huko Afrika Kusini.

Siku kadhaa kabla ya safari yake ya "ghafla" ya kwenda South Africa,watu kadhaa wa "mfumo" waliokuwa wanapitiwa na mgawo wa Seth, walimtonya mpango wake wa kukamatwa na kufikishwa mahakamani. Kama kawaida yake, Seth alipitisha mgawo kuhakikisha suala hilo halitokei, kuanzia yule wa chini mpaka wa juu, kila pesa ilipokuwa inamfikia, aliikimbia kwa hoja kuwa "siku hizi sio kama zamani", wote tutakwenda na maji.

Mpaka Ijumaa asubuhi,Harbinder na wapambe wake wakawa wamegonga mwamba katika kila kona walizopita ili kuzuia kupelekwa mahakamani,suluhisho alilopewa na watu wa "mfumo" ambao walikuwa "watii" kwake sababu ya mgawo,ni kuondoka haraka nchini na kukimbilia Afrika Kusini mpaka pale mambo yatakapotulia kama zamani.

Majira ya saa nane mchana,Seth na mwanamke mmoja,walifika eneo la VIP Terminal II tayari kwa safari ya kwenda nje ya nchi ili kukwepa mkono wa mfumo. Eneo la VIP Terminal II hutumiwa na wageni mashuhuri wanaotoka au kuingia ndani ya nchi, Marais, Wabunge,Wawaziri na viongozi wengine wa hadhi ya juu na wafanyabiashara wakubwa hupitia lango hili kwa safari zao.

Seth alikamilisha taratibu zote za safari,kama kawaida yake "tips" za "kimyakimya" zilianzia mlangoni anapoingia na VIP lounge. Kilichomstua kwa haraka ni baadhi ya "tips" zake kukataliwa na baadhi ya wahudumu,alipotoa wengine waliishia kusema tu "Asante".

Taarifa zilishafika mahali husika,kuwa Singasinga yupo Airport tayari kwa safari,akiwa na "boarding pass" mkononi na muda wowote ataingia kwenye ndege tayari kwa safari.

Bila kutarajia,wakati amevuka vihunzi vyote,akiwa anajongea kuingia katika gari la VIP,linalotumika kuwatoa wageni wa VIP eneo la VIP Lounge kuelekea kwenye ndege,ghafla ikatokea gari nyingine,kutoka mahali kusipoeleweka,likiwa limepitia mlango wa dharula na kusimama mkabala na lango la kutokea VIP lounge.

Palepale Harbinder akaamuliwa kuingia kwenye gari hilo lililokuwa na vioo vya giza,na kuachana na benzi la VIP VAN lenye maandishi ya kampuni ya Swissport kwa pembeni,mara moja gari ikageuzwa na kupelekwa kusikojulikana,mpaka mapema Jumatatu,Seth na Rugemalila walipoibukia mahakama ya Kisutu tayari kwa kusomewa mashitaka ya Escrow.

Mchezo wa kumkamata Harbinder hakuwa mdogo,hii ni kwa sababu kwa muda mrefu Harbinder amekuwa anawatumia viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama kukwepa mikono ya dola pale anapotakiwa ama kuhojiwa au sakata lake kuibuliwa bungeni.

Safari yake ya kukamatiwa Airport akiwa tayari kuingia kwenye gari kuelekea kwenye ndege,ni matokeo ya kuvujishiwa siri kuwa anatafutwa na anatakiwa kukamatwa,hivyo uwezo wa kuizima kesi haupo zaidi ya yeye kutoroka.

Hii inatupa picha,jinsi ilivyo ngumu kwa kazi hii ya kupambana na "mapapa" aina ya Singh.Inatukumbusha kauli ya Waziri Mkuu Pinda aliposema kuwa,hawa "mafisadi" wana nguvu sana,ukiwakamata nchi lazima itikisike.

Na hakika,kukamatwa kwao,nchi imetikisika,kuanzia Kanisa Kuu la Bukoba alipo Askofu Kilaini mpaka St.Joseph Cathedral Dsm alipo Askofu Nzigilwa.Parokia ya Bikira Maria wa Rozari Makongo Juu anaposali James Rugemalila mpaka makao makuu ya bank ya Mkombozi hali si shwari.

Viunga vya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nako ni tumbo joto,kuanzia kwa mwenyekiti wa Bunge na baadhi ya wabunge hali si shwari,ofisi za RITA na Ofisi ya Mwanasheria mkuu wa serikali ni matumbo joto.

Isingelikuwa mkwara wa Magufuli,Harbinder Singh angetutoroka mchana kweupe,na watu wangejiuliza,inakuwaje mahakamani tunamuona James Rugemalila peke yake?Kuna mambo JPM yanamshinda,ila kuna mengine anaamua kiasi unasahau hata yale aliyoharibu.Kumkamata Seth haikuwa kazi ndogo,alinyakuliwa wakati abiria wengine wameshaingia ndani ya ndege,akisubiriwa yeye tu wa VIP.

Hili la Escrow tukipita salama na kushinda,tumshukuru Mungu na tumpe pongezi Rais bila itikadi.Anakumbana na nguvu kubwa sana inayomsaliti katikati ya mapambano,kuna wachache wanauza "ramani ya vita" kwa adui.

By Barafu/Jamii Forums


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Inawezekana Kupata Mume au mke Mzuri Kupitia Facebook?

Katika safari ya mapenzi wanandoa huwa wanakutana katika maeneo mbalimbali, wapo wanaokutana vyuoni,shuleni, kwenye nyumba za ibada, sokoni, kwenye daladala, kuunganishwa na mtu mwingine, au baada ya kusikia sauti kwenye simu, redioni, hotelini na sasa wengine kupitia mitandao ya kijamii kama facebook

Ukweli ni kwamba katika mitandao unapoanzisha uhusiano na mtu usiyemfahamu inawezekana ameona picha yako tu nakukuambia kuwa anakupenda na wewe ukiona picha yake ukaridhika naye mkaamua kuanzisha uhusino ni vyema kuonana kabisa ili kuwa na uhakika na uhusiano mnaotaka kuanzisha  kwani unahitaji kumfahamu zaidi  na ndipo utakapoweza kufanya maamuzi ya kukubali au kukataa.

Anaweza kuwa rafiki yako wa kawaida lakini uhusiano ukaja baada ya kuonana mkafahamiana zaidi, kwani ukikurupuka na kutaka kuoana haraka haraka na yule ambaye mna chat tu kwenye mitandao unaweza kujikuta unajuta baadaye kwa maamuzi yako ni vyema kufahamiana zaidi ya kuchat ili kuwa na uhakika na maamuzi yako.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa