
MBUNGE wa jimbo la Geita Vijijini na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa
Geita,Joseph Kasheku Musukuma nurusa amchape makonde hadharani
Mwenyekiti wa Serikali ya kijiji cha Ihumilo kata ya Nkome Wilayani humo
Thomas Halila, muda mfupi baada ya Mbunge huyo kuongoza mamia ya
wananchi wa kijiji hicho kungíoa vigingi vilivyowekwa kwenye mipaka ya
eneo la Serikali ya kijiji hicho...