USAJILI ULIO
FANYWA NA AC MILAN'S HUU HAPA WACHEZAJI NI
@BertolacciTweet@carlos7bacca@luizadriano9. (Welcome to the new @acmilan's
players @BertolacciTweet @carlos7bacca @luizadriano9.)
Leon aibukia Manyara kabla ya mchezo na Gor Mahia.Kueleka mchezo wa kirafiki baina ya Everton FC dhidi ya mabingwa wa
SportPesa Super Cup, Gor Mahia, Nguli na balozi wa klabu hiyo ya nchini
Uingereza, Leon Osman ameendelea kutembelea vivutio mbalimbali hapa
nchini kabla y…Read More
Picha: Gor Mahia watua Bongo kuwavaa Everton.Mshindi wa SportPesa Super Cup 2017, Gor Mahia ya nchini Kenya imewasili
nchini mchana huu kwaajili ya mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Everton.
Mchezo huyo utachezwa Alhamisi hii Julai 13 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar …Read More
LUKAKU HUYU HAPA AKIJIFUA NA MAM UNITED.
Romelu Lukaku ameanza kujifua na kikosi cha Manchester United, maana yake sasa hakuna swali kwamba ametua rasmi Old Trafford.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kuso…Read More
0 comments:
Post a Comment