HUYU NDIYE JAMAA ALIEJIFANYA OBOMA HUKO KENYA NA KUSABABISHA
MAELFU YA WATU KUJAZANA BARABARA KUMSHUHUDIA HUKU WAKIHOJI IWEJE OBAMA AJE
KIMYA KIMYAMSHANGAO HUU UNATOKEA KABLA
YA RAISI @OBAMA KUTUA KENYA.
MGONJWA Aliyelazwa Muhimbili Ajirusha Kutoka Ghorofani.
MGONJWA aliyelazwa wodi namba sita ya Jengo la Mwaisela katika Hospitali
ya Taifa ya Muhimbili (MNH) amenusurika kifo baada ya kujirusha kutoka
ghorofa ya kwanza.
Aidha, uongozi wa MNH umeanika sababu ambayo kijana huyo …Read More
0 comments:
Post a Comment