Friday, 10 July 2015

BREAKING NEWS>>TANO BORA YATANGAZWA.




. Hii ndi tano bora.
1)Bernard Membe
2) John Magufuli
3) Asha Rose Migiro
4) January Makamba
5) Amina S. Ali
Endelea kufatilia hii page kwa habari zaidi

Related Posts:

  • Majibu ya Serikali Kuhusu Zile Milioni 50 Ilizoahidi Kwa Kila Kijiji Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk. Hassan Abbasi amesema kuwa serikali itaweka utaratibu utakaowezesha kutekelezwa kwa ahadi ya kutolewa milioni 50 kila kijiji, hivyo wananchi wasiwe na hofu.Dkt… Read More
  • Polisi Wakamata Machungwa Yaliyoibiwa. Polisi wa huko jijini Seville nchini Hispania wakamata watu watano jana baada ya kufukuzana nao kwa kasi na ndipo hapo polisi waligundua tani hizo za machungwa zilizoibiwa ambazo watuhumiwa walikuwa wameyajaza ndani ya m… Read More
  • Mzee Kingunge Kuzikwa Leo Hii Hapa Ratiba ya Mazishi. RATIBA  ya mazishi ya aliyekuwa mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombale Mwiru, iliyotolewa na familia yake jana inaonyesha atazikwa leo Jumatatu katika shughuli itakayoanza saa 9:30 hadi 11:30 katika makaburi ya Kinon… Read More
  • TANZIA: Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Afariki Dunia. Mzee Kingunge Ngombale–Mwiru amefariki dunia alfajiri ya leo.Tupo hapa na masikitiko makubwa.Poleni sana sana wafiwa na kijana wake Kinje (Mama yake alifariki 4/1/2018 na Baba yake leo)May his soul Rest in Eternal Peace. D… Read More
  • Kampuni ya TTCL Yafutwa. Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Makame Mbarawa, amesema kuwa anamshukuru sana Rais Magufuli kwa kuona umuhimu wa kuona wa kuwa na shirika la mawasiliano madhubuti kwa ajili … Read More

1 comment:

  1. wakati mwengine kama mtanzania mwenye utimilifu wa akili inabidi mambo mazuri kidogo yanapofanywa kwa manufaa ya nchi au kama ni hesabu zao kali kwa minajiri ya kuja kutuumiza baadae ni dhambi itakayowahukumu baadae lakini pongezi kwa ccm kwa kuyazuia mafuriko kwa kidole na si mikono tena.

    ReplyDelete