TCRA Yafafanua Matuzi ya Alama za Vidole Kwenye Usajili wa Laini.
“Ndugu mteja katika kuboresha usajili wa laini za simu alama za vidole
zitatumika kuanzia Februari 5, 2018. Kwa mawasiliano zaidi tembelea
maduka yetu,” ni ujumbe ambao watumiaji mbalimbali wa mitandao ya simu
nchi wamet…Read More
Polisi Wakamata Machungwa Yaliyoibiwa.
Polisi wa huko jijini Seville nchini Hispania wakamata watu watano jana
baada ya kufukuzana nao kwa kasi na ndipo hapo polisi waligundua tani
hizo za machungwa zilizoibiwa ambazo watuhumiwa walikuwa wameyajaza
ndani ya m…Read More
Hii Ndio Gharama ya Passport za Kielektroniki.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa
gharama mpya ya hati ya kusafiria ya kielektroniki itakuwa Sh. 150,000.
Dk Nchemba amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa Hati ya kusafiria y…Read More
Kimenuka Kenya...Raila Odinga Hatarini Kushtakiwa kwa Uhaini.
MAMLAKA za Kenya, jana zilizima vituo vya televisheni kuzuia matangazo
'live' ya sherehe za kuapishwa kwa kiongozi wa upinzani, Raila Odinga,
ambaye alisusia uchaguzi wa marudio wa mwaka jana uliobishaniwa.
Alijitangaza …Read More
Maskini...Familia Yahofia Tundu Lissu Kufukuzwa Hospitali.
Familia ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), imelitaka
Bunge kutoa fedha za matibabu yake kama halitaki mtunga sheria wake
huyo akafukuzwe hospitalini alikolazwa.
Lissu amelazwa katika Hospitali ya Chuo…Read More
0 comments:
Post a Comment