Aliekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema ,Edward Lowassa leo amemtembelea Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubeiry aliyelazwa Hospitali ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa tumbo juzi
Tuesday, 9 February 2016
Home »
Habari Moto
» #HABARI>>>Picha: Edward Lowassa Amjulia Hali Mafti Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubeiry Aliyelazwa MuhimbiliFahamu zaidi hapa.
#HABARI>>>Picha: Edward Lowassa Amjulia Hali Mafti Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubeiry Aliyelazwa MuhimbiliFahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Waziri Mkuu Atoa ONYO Zito Kwa Wanaume Wanaowapa Mimba Wanafunzi. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mtu yeyote atakayebainika amemkatisha mwanafunzi wa kike masomo kwa kumpa mimba au kumfanyia vitendo vya ukatili vitakavyopelekea kukatisha masomo yake ni lazima afungwe miaka 30 jel… Read More
Halima Mdee na Ester Bulaya Kulipwa nusu mshahara kwa miezi 10 nje ya Bunge. Wabunge wa Chadema, Halima Mdee (Kawe) na Ester Bulaya (Bunda Mjini) ambao wamesimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge, watalipwa nusu mshahara na posho zinazoambatana nao kwa miezi kumi. Stahiki hizo ni kwa mujibu w… Read More
Ewura Yapandisha Bei ya Mafuta Kuanzia Leo Jun 1. Mamalaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji Nchini (EWURA) imetangaza bei mpya elekezi za mafuta zitakazoanza kutumika maeneo yote nchini kuanzia leo Juni 7, 2017. Katika bei hizo mpya zilizotolewa jana na Meneja M… Read More
Lukuvi Azua Tafrani Kwenye Msiba wa Ndesamburo..Atinga Kanisani Akiwa na Lundo Polisi Wenye Silaha. Katika hali isiyo ya kawaida Waziri Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Wiliam Lukuvi jana alizua taharuki baada ya kuwasili katika ibada ya mazishi ya aliyekuwa mbunge wa jimbo la Moshi Mjini Philemon Ndesamburo akiw… Read More
#Breakning News>>>>ACT Wazalendo Wamvua Uenyekiti Mama Anna Mgwhira..Wadai Hawajashirikishwa Uteuzi Wake wa Ukuu wa Mkoa. Kamati kuu ya uongozi imekaa Imezingatia haya =>Hatuna kipangamizi Rais kumteua yeyote => ACT Wazalendo ni chama cha siasa cha kutumikia wananchi => Rais kavunja mwiko kwa kuanza kuteua wapinzani =>… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment