Aliekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema ,Edward Lowassa leo amemtembelea Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubeiry aliyelazwa Hospitali ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa tumbo juzi
Tuesday, 9 February 2016
Home »
Habari Moto
» #HABARI>>>Picha: Edward Lowassa Amjulia Hali Mafti Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubeiry Aliyelazwa MuhimbiliFahamu zaidi hapa.
#HABARI>>>Picha: Edward Lowassa Amjulia Hali Mafti Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubeiry Aliyelazwa MuhimbiliFahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Breaking News>>>Rais Magufuli Ateua Makatibu Tawala wa Mikoa 26.Fahamu zaidi hapa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Aprili, 2016 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara. Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi J… Read More
#YALIYOJIRI>>>>TAKUKURU Yaanza Kuchunguza Mabilioni ya Kikwete.Fahamu zaidi hapa. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imeanza kuchunguza fedha za uwezeshaji maarufu kama ‘Mabilioni ya JK’ ambazo hazikurejeshwa na wakopaji nchi nzima. Msemaji wa Takukuru, Tunu Mleli alisema ja… Read More
Ukimuona Paul Okoye wa kundi la P-Square akiwa amevaa kofia ya WCB na yupo Johannesburg, Afrika Kusini ambako Diamond yupo huko tangu mwanzoni mwa wiki hii kuzindua video ya Colors of Africa, ujue mambo yameiva.Fahamu zaidi hapa. Paul amepost picha Instagram akiwa amevaa kofia nyeupe ya WCB, label ya Diamond na kuashiria kuwa huenda wiki hii wakali hao wakashoot video ya collabo yao. Diamond aliingia studio na P-Square mwaka jana. Kituo cha runi… Read More
#YALIYOJIRI>>>>CAG Kuanika Mafisadi Bungeni Leo Wakati Akiwasilisha Ripoti Yake.Fahamu zaidi hapa. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) leo anawasilisha bungeni ripoti ya mwisho ya ukaguzi wa hesabu za serikali ya mwaka 2014/15. Ingawa haijajulikana rasmi nini kilichomo ndani yake, baadhi y… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Bomba la Mafuta Kutoka Uganda kuingiza Bilioni 4.8 Kila Siku.Fahamu zaidi hapa. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema kuwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima, Uganda hadi Tanga ukikamilika utaliingizia Taifa Sh4.8 bilioni kila siku. Amesema fedha hizo zitat… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment