Home »
Burudani
» Ambe Lulu Awatolea Povu Wanaomsema Prezzo "Usimfananishe Mume Wangu (Prezzo) na Young Dee".
Msanii wa muziki Bongo, Amber Lulu amedai mpenzi wake Prezzo asifananishwe na Young Dee.Amber Lulu amesema hao ni watu wawili tofauti hivyo kuwafaninisha ni kumkosea heshima Prezzo.“Usimfananishe mume wangu na watu wengine kwa sababu unakuwa unamkosea adabu, kwa hiyo Young Dee ni Prezzo usiwakee kabisa pamoja kwa sababu ni watu wawili ambao hawezi kuendana hata kidogo,” Amber Lulu ameiambia Bongo5.Pia Amber Lulu ameongeza kuwa mara baada ya kuachana na Young Dee hata tattoo yake aliyokuwa ameichora mkononi aliifuta kwani aliiweka kwa muda tu.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
Bifu la Mange na Jack Wolper Lafika Pabaya...Wolper Amjibu Mange Hivi.
Bifu la Mange na Wolper lililoanza Jana ghafla linaendelea, Wolper Amjibu Mange Hivi :
"Mange Kimambi,Usinitafute sana kwasababu mm naishi nitakavyo sio utakavyo wala watakavyo,pili Ustar wangu nahisi
mvutano wowote na … Read More
MASOGANGE Matatani, Mahakama Yaagiza Akamatwe.Fahamu zaidi hapa.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imetoa hati ya
kukamatwa Msanii Agnes Gerald Waya maarufu kama Masogange (28), baada ya
kushindwa kufika mahakamani mara kwa mara ya pili kesi yake ilipopangwa
kuta… Read More
Yusuph Mlela aomba pambano la ngumi na Nay wa Mitego.Fahamu zaidi hapa.Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela aamemshutumu rapa Nay Wa Mitego kwa
kile anachodai kuwa msanii huyo anapotosha jamii juu ya maandamano
waliofanya baadhi ya wasanii wa filamu nchini.
Baada ya wasanii hao kuandamana w… Read More
IDRIS Sultan Atokwa Povu Ukaribu wa Wema, Gabo.
MSANII wa komedi Bongo na mshindi wa
shindano la Big Brother Afrika 2015, Idris Sultan, ‘Dokta Mwaka’
ametokwa povu baada ya kuona picha za Wema Sepetu na Gabo Zigamba staa
wa filamu Tanzania.
Idris alichapisha katika u… Read More
NIKKI wa Pili Aungana na Nay wa Mitego Kuikandia Bongo Movie..Ametoa Povu Hili Zito kwa Kina JB na Wenzake.Fahamu zaidi hapa..
Msanii wa hip hop kutoka Weusi, Nikki wa Pili, ametia neno katika sakata
linaloendelea la kupigwa marufuku kwa filamu za nje kwa madai
zinaingizwa bila kulipiwa kodi hali ambayo imesababisha kuwa nyingi na
kuzinyima fil… Read More
0 comments:
Post a Comment