Thursday, 31 August 2017

Kamati ya Nidhamu TFF Yawatolea Tamko Msuva, Chirwa NA Kaseke.

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemkuta na makosa ya utovu wa nidhamu aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga anayekipiga nchini Morocco, Simon Msuva ambaye imempa onyo kali la barua. Mbali na Msuva, wengine waliokuwa wakijadiliwa na kamati hiyo kwa utovu wa nidha kwenye michezo ya mwisho ya Ligi Kuu Tanzania Bara ni Obrey Chirwa (Yanga) na Deus Kaseke...

Chidi Benz achanganyikiwa, adai ametoka Cuba kufanya wimbo na 2Pac, ameapa kumleta 2Pac bongo.

Chidi Benz adai ametoka Cuba kufanya wimbo na 2Pac, ameapa kumleta 2Pac bongo hivi karibuni, na kila siku wanaongea kwa simu. Tazama Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow...

Mtatiro amwambia Diamond sio kila anaemsifia Alikiba ni adui wake.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa                       ...

Mahakama Imekataa Kupokea Vielelezo vya Msokoto wa Bangi Kwenye Kesi Inayomkabili Wema Sepetu.

Bado kesi ya Mwigizaji Wema Sepetu kuhusu bangi inaendelea kwenye Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu Dar es salaam ambapo leo ilikua ni siku nyingine tena kesi hiyo imeendelea. Mpya ya leo ni kwamba Mahakama hiyo imekataa kupokea vielelezo vya ushahidi wa msokoto na vipisi viwili vya bangi vilivyotolewa na upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili Wema na wenzake. Uamuzi...

Wamachinga wa Ubungo Wapewa Siku 3 Kuondoka.

WAFANYABISHARA wadogo wadogo, maarufu kama wamachinga, zaidi ya 2,000 walio katika makutano ya barabara za Morogoro, Sam Nujoma na Mandela katika eneo la Ubungo Mataa, Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam- Wamepewa siku tatu kuondoka katika maeneo hayo kwa hiari, ili kupisha ujenzi wa mradi wa barabara za juu (fly over). Baada ya amri hiyo, wamachinga hao waliridhia...

Waliopanga Ratiba ya Ligi Kuu Kuwajibishwa na TFF.

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Alfred Kidao amesema kuwa ameagizwa na rais wa Shrikisho hilo, Wallace Karia kumwandikia barua Mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi ili kuwaadhibu viongozi wa Bodi ya Ligi waliohusika na kupanga ratiba. Kumekuwa na malalamiko kutokana na Bodi hiyo kupanga ratiba ya ligi ambapo walishindwa kuzingatia kuwa kuna michezo ya kimataifa...

Wolper Alizwa na Umati wa Vijana Uliojitokeza Jana Kufanya Usail TRA.

Msanii wa filamu bongo, Jacqueline Wolper aumizwa baada ya kuona idadi kubwa ya watu waliojitokeza kufanya usaili wa TRA jana na kusema anawaonea huruma yatima ambao hawana mtu wa kuwapigania ili kuweze kupata kazi hizo. Wolper amebainisha hayo baada ya picha iliyokuwa ikionyesha umati wa vijana waliojitokeza kwa wingi kufanya usaili  wa TRA kwa awamu ya kwanza...

Jeshi la Polisi Lawaonya Wakina Amber Lulu na Wengine Wanaopiga Picha za Utupu na Kuzirusha Mitandaoni.

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam limetoa onyo kwa watu wanaopiga picha za utupu na kuzirusha mitandaoni, huku likisema kuwa litawachukulia hatua watu hao kwani wanavunja sheria. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SACP), Lazaro Mambosasa, amesema...

Tuesday, 22 August 2017

Mwanamke Achoka Kuwa Single Aamua Kupita Barabarani na Bango Akitafuta Mume wa Kumuo.

Mwanamke mmoja nchini Kenya ameingia katika barabara za mji mkuu Nairobi, akiwa na bango lenye maandishi yanayosema kuwa anatafuta mwanamume wa kumuoa. Akiwa amevaa nguo nyeupe sawa nguo inayovaliwa Bi harusi, Pris Nyambura mwenye umri wa miaka 28, ambaye pia ni mama wa mtoto mmoja, alikuwa na bango lililosema. "Ninahitaji bwana, nina mtoto msichana wa umri wa miaka...

Korea Kaskazini Yatishia Kujibu Zoezi la Kijeshi la Marekani.

Korea Kaskazini imetishia kujibu vikali zoezi la pamoja la kijeshi lililofanywa na majeshi ya Korea Kusini pamoja na yale ya Marekani. Msemaji wa jeshi kutoka Kaskazini alisema kuwa anatazama kwa makini kile ilichokitaja mchezo wa kivita wa Marekani . Pyongyanga imetishia kurusha makombora katika bahari ya kisiwa cha Guam ambacho kina kambi kubwa ya wanahewa wa Marekani...

Roma: Mimi si Kada wa CHADEMA na Sijawahi Kuwa Kada wa Chama Chochote.

Msanii Roma Mkatoliki ambaye anaimba muziki wa Hip hop kwenye game ya bongo, amekikana chama cha CHADEMA na kusema kuwa hajawahi kuwa mwanachama wa chama hicho kama ambavyo wengi wanaamini, na hajawahi kuwa mwanachama wa chama chochote. Roma ambaye hivi karibuni alikutwa na sakata la kutekwa na kuibua sintofahamu nyingi, amesema kwamba hajawahi kuwa mwanasiana na hajawahi...

Mcheza Mpira Okwi Ajitapa Kufunga Goli Moja Katika Mchezo wa Kesho.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Simba, raia wa Uganda, Emmanuel Okwi amefunguka kwa kujitapa kuwa kuelekea mechi dhidi ya watani wa jadi Yanga ‘Ngao ya Hisani’ kesho (Jumatano) atahakikisha anaifunga Yanga japo amepatwa na kitete kusema ni magoli mangap Okwi ameeleza hayo kupitia mahojiano maalum aliyofanya na klabu yake na kusema hawezi kusema ni magoli mangapi atawapachika...

Download wimbo wa Fid Q Ft. Diamond Platnumz & Rayvanny unaoitwa "Fresh Remix".

Download wimbo wa Fid Q Ft. Diamond Platnumz & Rayvanny - Fresh Remix. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow...

Mahakama Yaelezwa Jinsi MKOJO Wa Yusuf Manji Ulivyochukuliwa na Kupimwa.

Mashahidi wawili akiwemo Naibu Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Ofisa wa Polisi, Ramadhan Kingai leo  wameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jinsi Mfanyabiashara Yusuf Manji alivyopelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo. Mbali ya Kingai ambaye ni Shahidi wa kwanza katika kesi hiyo ya dawa za kulevya inayomkabili Manji, Shahidi...

Sumaye Afunguka Maneno MAZITO Kuhusu Sakata la Serikali Kuchukua Mashamba Yake.

Waziri  Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amevunja ukimya na kusema  kwamba watawala wanaendesha nchi  kwa visasi ndiyo maana tangu ahame Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)amezidi kuandamwa  ikiwamo kunyang’anywa mashamba anayoyamiliki kihalali.   Sumaye ambaye kwa sasa ni  Mwenyekiti wa...

Hatimaye Ester Bulaya Ahamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Mbunge wa Bunda, Ester Bulaya amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili  (MNH ) baada ya kufikishwa kwenye hospitali hiyo akitokea Hospitali ya Bugando, Mwanza. Taarifa iliyotolewa leo na Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, John Stephen ilieleza kuwa, Bulaya alifikishwa hospitalini hapo jana usiku. "Tulimpokea jana usiku,"alieleza kwa kifupi.  Mbunge wa Kawe,...

Maneno ya Afande Sele kwa ‘umarioo’ Asema Unapunguza Nguvu za Kiume.

Msanii mkongwe wa Bongo Flava, Afande Sele amedai kuwa vijana wa kiume kujihusisha katika mapenzi na wakubwa zao ili kusaidiwa kiuchumi ni moja wa sabubu zinazopelekea upungufu wa nguvu za kiume. Afande Sele ameeleza kuwa kitendo hicho kinamnyima uhuru binafsi muhusika kwa sababu unapokaa na mtu ambaye kila kitu unamtengemea unakosa uhuru wa maisha. “Hata uwezo wako...

Roma Mkatoliki Amtetea Mkewe...'Mke Wangu Kupost Instagram Atanipa Staili zote Hajakosea'.

Msanii Roma mkatoliki akihojiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo EA Radio amesema aliulizwa ni staili ngapi mkewe amempa, akasema kwa kuwa neno style lina herufi nne basi ni staili nne Alipoulizwa mkewe hajashtuka alipoona post yake imeenea sana, alisema hakuwa na cha kushtuka kwa kuwa hajakosea  TAZAMA VIDEO: Download  Application ya Hebron Malele Blog...

Mr Nice Azushiwa Janga Lingine Nchini Kenya.

Msanii wa mkongwe wa muziki, Mr Nice ambaye kwa sasa anaishi nchini Kenya amekuwa alizushiwa mambo mabaya na vyombo vya habari kila kukicha ambapo Jumatatu hii katika sherehe za kuapishwa kwa Sonko amezushiwa kitu kingine. Muimbaji huyo katika show hiyo alidaiwa kuibiwa baadhi ya vitu baada ya kuvamiwa na mashabiki kitu ambacho amekanusha. “Waandishi vilaza mnapenda...

BREAKING NEWS: Tundu Lisu Adaiwa Kukamatwa Nje ya Mahakama na Polisi.

Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu  amedaiwa kukamatwa leo Jumatatu mchana akitokea  Mahakama ya Kisutu. Mwanasheria  huyo alikuwa na kesi ya tuhuma za uchochezi  lakini pia alikuwa ni wakili kwenye kesi inayomkabili mfanyabiashara Yericko Nyerere mahakamani hapo. Akielezea ilivyokuwa Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene amesema wakati gari...

Sunday, 20 August 2017

ANAOMBA Ushauri..'Kila Akifika Kileleni Ananing'ata Shingoni.

Nautandika uzi wangu huu hapa kuomba ushauri nifanyaje au dawa yake ni nini katika tatizo hili linalonisibu! Nina mpenzi wangu niko kwenye mahusiano mwezi wa tisa sasa hivi,tatizo ni pale tunapokuwa ndani ya sita kwa sita huwa ananing'ata .Hii hali humtokea mara nyingi sana hasa hasa kipindi kile ambacho anakuwa anafika orgasm(female),hapa nilipo ukinikagua vizuri kifuani...

Mahakama Yazuia Bomoabomoa kwa nyumba 286 Dar.

Wakati operesheni ya ubomoaji wa nyumba zilizoko ndani ya umbali wa mita 121.5 kutoka katikati ya Barabara ya Morogoro ikiendelea maeneo ya Kimara mpaka Kiluvya jijini Dar es Salaam, Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi imeziwekea kinga ya muda nyumba 286 zinazohusika. Uamuzi huo wa Mahakama ulitolewa juzi na Jaji Leila Mgonya kutokana na maombi ya zuio yaliyowasilishwa...

Download wimbo mpya wa Chege inayoitwa "Run Town".

Download wimbo mpya wa Chege-Run Town. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

Serikali Yamjibu Tundu Lissu Sakata la Ndege Kushikilia Canada kisa Madeni.

Serikali kupitia kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu Idara ya Habari, Zamaradi Kawawa imejibu hoja zilizotolewa na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu kushikiliwa kwa ndege ya Tanzania aina ya Bombadier Q-400 Dash 8 nchini Canada. Zamaradi Kawawa amekiri kuwa ni kweli ununuzi wa ndege hizo umeingiliwa na mgogoro na kukiri kuwa ndege hiyo Q-400 Dash 8 inashikiliwa...

Download wimbo mpya wa Roma & Stamina ( Rostam ) unaoitwa "Hivi Ama Vile".

Download wimbo mpya wa Roma & Stamina ( Rostam ) – Hivi Ama Vile. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow...