Sunday, 20 August 2017

Mbunge Esther Bulaya Atiwa Mbaroni.

Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Esther Bulaya amekamatwa na jeshi la Polisi akiwa katika Hotel ya Kifa Best Point Wilayani Tarime akidaiwa kujiandaa kutaka kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria.

Kamanda wa polisi Tarime/Rorya Kamishina Msaidizi Mwandamizi Henry Mwaibambe amesema wabunge  Bulaya na John Heche hawatakiwi kujumuika kwenye mkutano wa mbunge wa jimbo ka Tarime.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Related Posts:

  • Mauzo ya Soko la Hisa Yazidi Kushuka. Mauzo ya Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), yameendelea kupungua hadi Sh1.5 bilioni Oktoba 6, kwa wiki ya pili sasa. Takwimu za DSE zinaonyesha wiki iliyoishia Septemba 22, mauzo ya soko hilo yalikuwa Sh53 bilioni ambay… Read More
  • IGP Sirro: Tutamshughulikia Mange Kimambi. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Nyakoro Sirro amefunguka na kusema kuwa jeshi la polisi linatambua makosa ya kimtandao yanayofanywa na mwanadada Mange Kimambi na kusema kuwa jeshi la polisi linashughulikia su… Read More
  • SOMA Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumanne. 16 Government Jobs Job Opportunity at CDM Smith, Finance and Accounting Manager Job Opportunity at CVPeople Africa, Secretary/Administrator Jobs at Meru University of Science and Technology (MUST) 2 Job Opportuniti… Read More
  • Wanajeshi wawili wa Tanzania wauawa Huko Kongo. Askari wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, wameuawa kwenye mashambulizi makali yanayoendelea nchini Kongo. Tukio hilo limetokea katika eneo la Beni ambako Askari wa Umoja wa Mataifa wa kulin… Read More
  • Moto Mkubwa Wasababisha Maafa California, Marekani. Maeneo ya jimbo la California ambayo hukuza mizabibu yameathiriwa na moto mkubwa ambao unaenea kwa kasi sana na kusababisha vifo vya watu 10. Mamia ya watu wamehamishwa makwao na inakadiriwa kwamba zaidi ya nyumba 1,500 zi… Read More

0 comments:

Post a Comment