Saturday 5 August 2017

NEYMAR FASTA AANZA MAZOEZI, UTAFIKIRI ALIJIUNGA MUDA MREFU NA PSG.

Unaweza ukadhani ni mwenyeji maana Neymar mara moja ameanza mazoezi na kikosi chake kipya cha PSG akionyesha ni mwenye furaha hasa.


Neymar amejiunga na timu hiyo ya Ufaransa kwa dau kubwa la usajili linalokadiriwa kufikia pauni miloni 198 na kumfanya kuwa mchezaji ghali zaidi duniani.

Neymar alionekana mwenye furaha akiwa na Wabrazil wenzake, Luca Moura na Dani Alvez.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment