Tuesday, 31 October 2017

Wabunge Acheni Kuwashwa Washwa na Kufanya Mambo ya Umbea- Ndugai.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amesema kwamba hana taarifa za kujiuzulu kwa mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu , na wala hiyo barua bado haijamfikia, na kuita kitendo alichokifanya ni umbea.Job Ndugai ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio kwenye kipindi cha East Africa Breakfast, na kusema kwamba...

Breaking News: Zitto Kabwe Aachiwa kwa Dhamana Akamatwa Tena.

Saa chache baada ya Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe kukamatwa na Jeshi la Polisi  na kupelekwa katika kituo cha polisi cha Chang’ombe Dar es salaam, aliachiwa kwa dhamana lakini amekamatwa tena na kupelekwa kituo cha Polisi cha Kamata kwa ajili ya mahojiano zaidi.Katibu na itikadi na uenezi wa ACT WAZALENDO amesema “baada ya kukamatwa tena amepelekwa kwenye kituo...

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumanne.

Bonyeza Link zifuatazo Kusoma na Kuapply:7 Job Opportunities at TANROADS Tanzania5 Job Opportunities at Fastlink Safaris & Tours Limited, Sales and Marketing PersonnelsJob Opportunity at Trade Mark East AfricaJob Opportunity at South Beach Resort, Female Receptionist2 Job Opportunities at Hallmark AttorneysJob Opportunity at Zanzibar White Sand Luxury VillasJob at Tala,...

Profesa Jay Atupa Dongo Hili “Mkimaliza Hoja Yenu Mfu ya Ufisadi Muwatimue Mapema Msisubiri Waondoke Wenyewe".

Mbunge wa Jimbo la Mikumi Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay ametoa ujumbe unaoonekana kama ushauri kwa vyama vya siasa huku ukilenga matukio ya hivi karibuni ya wanasiasa kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine. Katika Ukurasa wake wa mtandao wa Twitter Profesa Jay ameandika “Mkimaliza hiyo HOJA yenu Mfu ya UFISADI, leteni tuhuma za wote waliobaki huko na Muwatimue...

Mtandao wa WhatsApp Waruhusu Kufuta Ujumbe,Picha Uliotuma kwa Mtu Usiyemkusudia.

Ilishawahi kukutokea kutuma ujumbe, picha au video au documenti yeyote kwa mtu usiyemkusudia kwa bahati mbaya kupitia programu ya WhatsApp? kama huwa unapatwa na matatizo hayo sahau kabisa kwani tayari programu hiyo imeshaongeza sehemu ya kufuta jumbe hizo.WhatsApp is rolling out the Delete for Everyone (Recall) feature for all users! 🎉https://t.co/3bnbgxtPvU— WABetaInfo...

Monday, 30 October 2017

Hatimaye Mmoja wa Watoto Pacha Waliotenganishwa India Afungua Macho.

Mmoja wa watoto pacha ambao walizaliwa wakiwa wameshikana kwenye vichwa amefungua macho yake siku nne baada ya upasuaji wa kuwatenganisha nchini India.Jaga, mwenye umri wa miaka miwili aliweza kuitikia ishara ndogo kama kusongesha mikono yake.Watoto hao walizaliwa wakiwa wanatumia kwa pamoja mishiba na nyama za ubongo na upasuaji uliochukua saa 16 uliwatenganisha.Watoto...

Hizi Hapa Faida na Maajabu Yanayotokana na Kunywa Maji ya Uvuguvugu Kila Asubuhi.

Inawezekana unatumia kikombe cha chai  au kikombe cha  kahawa kila siku asubuhi, wengi wao hutumia maji ya kawaida ili kuanza siku vizuri. Hivi vitu vimekuwandio tabia ya kila siku , hata hivyo wachunguzi wanasema kunywa maji ya uvuguvugu  asubuhi wakati tumbo halina kitu unapata faida  za kiafya zaidi.Madactari wanashauri kutumia maji ya uvuguvugu ...

Mbivu Mbichi Leo Hatima ya Ubomoaji Mjengo wa Mchungaji Getrude Rwakatale.

HATIMA ya ubomoaji wa nyumba ya kifahari ya Mchungaji wa kanisa la TAG Mikocheni, Getrude Rwakatare, inatarajiwa kuanza kujulikana leo wakati Naibu Waziri mpya wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Kangi Lugola atakapotoa ripoti.Wiki iliyopita Lugola aliomba Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kumpatia taarifa ya kukwama mwaka jana kwa ubomoaji wa 'hekalu'...

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumatatu.

12 Government Jobs, Ministry of Finance and Planning2 Jobs at KNCV TanzaniaJob at Dodoma Christian Medical Center (DCMC), Pharmaceutical Technician5 Jobs at Karatu District CouncilJob Opportunity at UNHCR, CRR OfficerJob at Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)Internship Opportunities at Mwananchi Communications Limited3 Job Opportunities at BBC Nafasi zingine...

Zitto Kabwe Yamemfika Hapa Aitaka Chadema Kuunganisha Nguvu Ili Kuing'oa CCM.

Mbunge wa Kigoma Mjini ambaye pia ni kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amevitaka vyama vingine vya upinzani ikiwemo CHADEMA, kuunganisha nguvu ili kuhakikisha wanaing'oa CCM kwenye uchaguzi mdogo wa madiwani.Zitto Kabwe ameyasema hayo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu uzinduzi wa kampeni za kuelekea uchaguzi huo, na kusema kwamba wamegundua...

Breaking News>>>Lazaro Nyalandu Amejiuzulu Nafasi Yake Ndani ya CCM na Kuomba Kuungana na Chadema

Mbunge wa Singida Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lazaro Nyalandu amejiuzulu nafasi yake ndani ya CCM na kujiuzulu nafasi yake ya Ubunge kupitia (CCM) kwa kile alichodai hafurahishwa na mambo ya kisiasa yanayoendelea nchini.Taarifa ambayo ameitoa leo Nyalandu amesema kuwa ameamua kuachana na CCM na sasa anaomba kuungana na CHADEMA kama watapendezwa na yeye...

Friday, 27 October 2017

Madaktari watenganisha pacha walioshikana vichwa.

Pacha walioshikana kichwani Jaga na Kalia Madaktari wa upasuaiji katika mji mkuu wa India Delhi wamefanikiwa kuwatenganisha wavulana pacha waliokuwa wameshikana katika kichwa. Wavulana hao wa miaka miwili Jaga na Kalia walifanyiwa upasuaji uliochukua takriban saa 16 na sasa wako katika chumba wagonjwa mahututi ICU, kulingana na madaktari. Kundi la madaktari 30 walifanya...

Tanesco Yafunguka Tatizo la Kukatika Umeme Ghafla.

Tunaomba radhi wateja wetuImetokea hitilafu gridi ya taifa na kusababisha umeme eneo lote la Dar es Salaam na baadhi ya mikoa kukosa umeme.Tatizo hili linashughulikiwa na umeme utarudi baada ya muda mfupi=======SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)TAARIFA YA KUTOKEA KWA HITILAFU KATIKA GRIDI YA TAIFA​Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake waliounganishwa...