Home »
Habari Moto
» Lema Afunguka Asema 'Dau Kubwa Latengwa Nassari kununuliwa'.

Mbunge wa Arusha mjini (CHADEMA) Goodless Lema amefunguka na kusema kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Alexander Mnyeti ametangaza kuwa anadau kubwa la kuweza kununua madiwani wengine 20 pia anadau kubwa kwa ajili ya Mbunge Joshua Nassari.
Lema amesema kuwa kitendo alichofanya Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Alexander Mnyeti ni wazi amethibitisha kuwa hata madiwani wa awali ni kweli waliwanunua hivyo amewataka TAKUKURU kuchukua hatua kwa kauli anazotoa diwani huyo.
"DC ambaye alitoa rushwa amethibitisha mwenyewe kuwa alitoa rushwa na DC amesema bado anafungu kubwa kununua zaidi ya madiwani 20 na anasema anadau kubwa kwa ajili ya Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Mhe. Nassari kwa hiyo kama Mlowola Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU alikuwa anatafuta ushahidi basi DC mwenyewe ameshampa ushahidi lakini nina uhakika Mlowola hatachukua hatua yoyote dhidi ya DC kwa sababu DC huyu huu ujasiri alionao anajua unatoka wapi" alisema Godbless Lema
Lema anasema kwa hali ya kawaida kiongozi hawezi kutoa kauli kama hiyo kwenye jambo ambalo ni nyeti kama hilo la ununuzi wa madiwani na kiongozi huyo akaendelea kubaki madarakani mpaka sasa. Aidha Lema amesema kitendo alichokifanya Mnyeti ni dhihaka kubwa na dharau ya juu sana kwa Umma.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
Uganda Yafuata Nyayo za Tanzania Yapiga Stop Bunge Kuonyeshwa Live.
Vyombo vya habari nchini Uganda vimezuiwa kuonyesha moja kwa moja matangazo ya Bunge ambalo linaendelea na vikao.
Mkurugenzi wa Tume ya Utangazaji nchini humo, Godfrey Mutabuzi amesema
redio na runinga zote haziruhusiwi k… Read More
Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo.
Job Opportunity at Info-Consultancy Ltd, Sales Representative
Job Opportunity at Bluebay Hotels, General Manager
Job Opportunity at World Vision, ICT-Officer
Job Opportunity at Mamujee Products Ltd, Quality Inspector
Jo… Read More
Chadema Wapingana na Mwigulu Yasimamia Msimamo Wake wa Uchunguzi Kutoka Nje Shambulio la Lissu.
Chadema imesema haitabadili msimamo wake wa kutaka wataalamu kutoka nje
kuchunguza shambulio dhidi ya mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu.
Juzi, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba alisema hakuna haja ya
kuhan… Read More
Pendeza na Dar Empire Products: Badili Muonekano Wako na Kuweka Mwili Wako Sawa Bila Madhara yoyote.
PENDEZA NA DAR EMPIRE PRODUCTS: BADILI MUONEKANO WAKO NA KUWEKA MWILI WAKO SAWA
KWA PRODUCT ZISIZO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI, MATOKEO NI
KWAARAKA.
1)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, KIUNONI KUPAK
2)TOA K… Read More
Msigwa Afikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Kutishia Kuua.
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amepandishwa kizimbani
leo Alhamisi katika Mahakama ya Mwanzo Mjini Iringa kwa madai ya kumtusi
na kutishia kumuua aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kitwiru, Baraka Kimata.
Mbali … Read More
0 comments:
Post a Comment