Wednesday, 31 January 2018

TCRA Yafafanua Matuzi ya Alama za Vidole Kwenye Usajili wa Laini.

“Ndugu mteja katika kuboresha usajili wa laini za simu alama za vidole zitatumika kuanzia Februari 5, 2018. Kwa mawasiliano zaidi tembelea maduka yetu,” ni ujumbe ambao watumiaji mbalimbali wa mitandao ya simu nchi wametumiwa kuanzia juzi kutoka katika mitandao yao. Kuhusu ujumbe huo, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imesema kuwa imetoa kibali kwa makampuni ya...

Mzee Majuto Baada ya Kutembelewa Hospitalini na Rais Magufuli.

Jumatano ya January 31 2018 Rais John Pombe Magufuli alimtembelea hospitalini muigizaji mzee Majuto, ambaye amelazwa hospitali ya Tumaini Up Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow...

Rosa ree Afunguka "Sina Mahusiano ya Kimapenzi na Young Dee".

Rosa ree Amkana Young Dee Amchana Kweupe "Sina mahusiano ya kimapenzi na Young Dee" Tazama Video Hapa chini:   Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow...

Hii Ndio Gharama ya Passport za Kielektroniki.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt.  Mwigulu Nchemba amesema kuwa gharama mpya ya hati ya kusafiria ya kielektroniki itakuwa Sh. 150,000. Dk Nchemba amesema hayo leo  wakati wa uzinduzi wa Hati ya kusafiria ya kielektroniki jijini Dar es Salaam ambapo imezinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli. Aidha Dkt. Miwgulu Nchemba...

Aunt Ezekieli, Tunda na Iyobo Kimenuka Wamwagiana Mvua ya Matusi Mitandaoni.

Moja kati ya stories zinazotrend katika mitandao ya kijamii leo Jumanne ya January 30 2018 ni post ya Tunda ambapo alipost picha yake katika ukurasa wake wa instagram na baadae Aunt Ezekiel kumjibu kwa kucomment. “Afu na wewe Mose kweli unakaa chini unaandika upuuzi kama huo kama kweli ni wewe umeandika basi huna uso wa haya!….inawezekana pia Aunt ndo umejiandikilisha🤣ivi...

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa.

DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za FULL POWER Full Power dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu...

Hizi Ndivyo Wema, Mobetto na Tunda Wanavyozungukana kwenye Penzi la Diamond.

Mambo ni moto! Habari ya mjini inayotrendi ni kitendo cha staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu kuonekana akioneshana mahaba shatashata na zilipendwa wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambacho kimeamsha ‘vilivyolala’. Wema na Diamond ‘walifanya yao’ wikiendi iliyopita kwenye ‘iventi’ ya Wasafi Classic Baby (WCB) kumsaini msanii mpya katika lebo yao, Mbwana...

Kibaka Amuingiza Mjini Pluijm Wamuibia Mkoba wa Fedha.

MUDA mchache baada ya kushuhudia timu yake ikipata bao la pekee katika dakika za nyongeza dhidi ya Tanzania Prisons juzi, Kocha wa Singida United, Hans van der Pluijm, alijikuta akiingizwa mjini na vibaka kwa kuibiwa mkoba wa fedha wakati akishangilia bao hilo. Pluijim aliibiwa mkoba huo uliokuwa na simu aina ya Sumsung Pro 9 yenye thamani ya Sh. 1,575,700,  pochi...

Kuolewa Mke wa Pili si Dhambi- Tausi Mdegela.

KOMEDIANI matata wa Bongo Movies, Tausi Mdegela amefunguka kuwa, ikitokea akapata mwanaume wa kumuoa, hata kama ana mke haina shida kuolewa mke mwenza au wa pili kwani kama ni Muislam, dini inaruhusu. Tausi alifunguka hayo juzikati baada ya kuzagaa kwa habari kwamba anatarajia kuolewa na mwanamuziki wa Taarab, Prince Amigo na kueleza kuwa, siyo kweli, bali ilikuwa...

Kimenuka Kenya...Raila Odinga Hatarini Kushtakiwa kwa Uhaini.

MAMLAKA za Kenya, jana zilizima vituo vya televisheni kuzuia matangazo 'live' ya sherehe za kuapishwa kwa kiongozi wa upinzani, Raila Odinga, ambaye alisusia uchaguzi wa marudio wa mwaka jana uliobishaniwa. Alijitangaza kuwa "rais wa watu" mbele ya maelfu ya wafuasi wake katika mji mkuu wa Nairobi. Matokeo ya uchaguzi mkuu wa Agosti, mwaka jana, yalibatilishwa kutokana...

Maskini...Familia Yahofia Tundu Lissu Kufukuzwa Hospitali.

Familia ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), imelitaka Bunge kutoa fedha za matibabu yake kama halitaki mtunga sheria wake huyo akafukuzwe hospitalini alikolazwa. Lissu amelazwa katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Luvein nchini Ubelgiji tangu mapema mwezi huu baada ya kutibiwa Hospitali ya Nairobi nchini Kenya kwa miezi minne. Msemaji wa familia ya...

Rais Magufuli Kuzindua Pasipoti ya Kielektroniki.

Jonas Kamaleki- MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli leo  atazindua Pasipoti Mpya ya Tanzania ya kielektroniki jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo utafanyika Jumatano, Januari 31, 2018 kuanzia saa moja na nusu asubuhi, Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Kurasini Dar es salaam. Hayo yalisemwa na Mrakibu wa Uhamiaji ambaye pia ni...

TID: Kuwa Karibu na Makonda Kumenifanya Nikose Show.

Msanii wa muziki, TID amelalamika kuwa baadhi ya watu wanamfanyia figisu figisu ili asipate show kutokana na ukaribu wake na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Muimbaji huyo amefunguka hayo katika kipindi cha Eight cha TVE kwa kudai kuwa hali hiyo inampa tabu sana. “Kuna watu wananibania kupata dili, wengine wanaenda mpaka kwa waandaaji sipati show. Napata...

Tuesday, 30 January 2018

Zitto Ataja List ya Viongozi Ambao Atawateua Ikitokea Amekuwa Rais wa TZ.

Mchana wa leo January 30, 2018 kwenye ukurasa wa mtandao wa Twitter wa Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameandika watu ambao atawateua kushika nyadhifa mbalimbali za serikali kama atakuwa Rais wa Tanzania.Ameandika kuwa atamchagua Mwanaharakati Maria Tsehai Sarungi kuwa Balozi wa Umoja wa Taifa huku Kaimu wake akiwa Mwanzilishi wa Nyama Choma Festival Carol Ndosi.Amewataja...

Raila Odinga Apuuza Kauli ya Serikali...Adai Kuapishwa Kwake ni Alali.

Kiongozi wa Muungano wa Upinzani (NASA), Raila Odinga amejitokeza katika viwanja vya Uhuru na kuapishwa kama Rais wa Watu wa Kenya.-Viongozi wengine wa Muungano huo, wakiwemo Kalonzo Musyoka, amabye ndiye alitarajiwa kuapa kama Makamu wake, Musalia Mudavadi na Moses Wetang'ula hawakuepo katika tukio hilo lililochukua chini ya dakika 10.-Kiongozi huyo alipuuza madai sherehe...

Breaking News: NECTA Watangaza Matokeo ya Kidato Cha Nne 2017....Bofya Hapa Kuyatazama.

Matokeo ya kidato cha nne yametangazwa rasmi na Katibu Mkuu wa Necta,  Dk Charles Msonde ==>Yatazame hapo chini Link 1: Matokeo Ya Mtihani Wa Kidato Cha Nne (Csee) 2017Link 1: Matokeo Ya Mtihani Wa Maarifa (Qt) 2017Link 2: Matokeo Ya Mtihani Wa Kidato Cha Nne (Csee) 2017Link 2: Matokeo Ya Mtihani Wa Maarifa (Qt) 2017 Download  Application...

Thursday, 25 January 2018

Hali si shwari Soka la Majirani Zetu Kenya.

Hali si hali nchini Kenya, rais wa shirikisho la soka nchini humo Nick Mwendwa amesema kujiondoka kwa baadhi ya wadhamini waliokuwa wakidhamini shirikisho hilo pamoja na michezo ya ligi kuu kumelifanya soka la nchi hiyo kuanza kuyumba na wasiwasi umetanga kwamba huenda ligi ikasuasua lakini huenda timu ya taifa ikatetereka kwa sababu kama ligi haitochezwa kwa ushindani...

Baada ya Kubwagwa na Heri Muziki Diva Anyapia Penzi la Soudy Brown.

Baada ya kubwagana na mpenzi wake Heri Muziki, Diva amefunguka mipango yake ya kuwa na Soudy Brown. Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Fm amesema kwa sasa yupo tayari kubadili dini kwa ajili ya Soudy Brown ambaye ni mtangazaji mwenzake katika kituo hicho. “Soudy Brown ndio kila kitu kwangu niseme hivyo, urafiki wangu uko karibu kupita kiasi like hakuna...

Tundu Lissu: Nimemtolewa Risasi Nyingine Mwilini.

Siku 35 baada ya Tundu Lissu kusema mwili wake bado una risasi moja baada ya kutolewa nyingine 15, jana mbunge huyo wa Singida Mashariki (Chadema) amelieleza Mwananchi kuwa madaktari wamemtoa kipande cha risasi kilichokuwa mwilini mwake. Hata hivyo, mwanasheria huyo mkuu wa Chadema, ambaye alishambuliwa kwa zaidi ya risasi 30 akiwa ndani ya gari lililokuwa nje ya makazi...

Hakimu Amekataa Kujitoa Kusikiliza Kesi ya Sugu.

Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya, Michael Mteite amekataa kujitoa kusikiliza kesi inayomkabili mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu na mwenzake. Sugu na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga wanashtakiwa kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli wanayodaiwa kuitoa Desemba 30,2017. Awali,...

Membe na Lowassa Uso kwa Uso Nyumbani kwa Gwajima.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa akiteta na Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani, Bernard Membe walipokutana leo katika msiba wa mama mzazi wa Askofu Josephat Gwajima nyumbani kwake Salasala. Lowassa, Mbunge wa Vunjo, James Mbatia, Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema na Bernard Membe kwenye msiba wa mama mzazi wa Askofu Gwajima. WAZIRI...

Mawakili Watatu wa Sugu Wajitoa.

Mawakili wa utetezi katika kesi inayowakabili Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi 'Sugu' na Katibu CHADEMA kanda ya Nyasa Emmanuel Masonga wamejiondoa kutokana na kutokuwa na imani na muenendo wa kesi hiyo na kuwataka watafute Mawakili wengine. Uamuzi huo wa Mawakili hao watatu ambao ni Boniface Mwabukusi, Hekima Mwasipu na Sabina Yongo umetolewa leo (Alhamisi) baada ya...

Mtoto Abakwa na Kuuawa Kikatili na Dereva ‘Boda Boda’.

Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 14 ambaye pia ni mwanafunzi ameuawa kikatili baada ya kubakwa na muendesha pikipiki akiwa anaenda shule. Imeelezwa kuwa Mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 14 alikuwa anasoma darasa la sita katika shule ya Msingi ya Vikonge iliyopo wilayani Tanganyika mkoani Katavi. Mwili wa marehemu ulikutwa ukiwa na majeraha ya kisu ubavuni mwake...

Walichosema TAKUKURU Baada ya Kukamilisha Upelelezi Kesi ya Malinzi

January 25, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya utakatishaji fedha inayomkabili aliyekuwa Rais wa (TFF), Jamal Malinzi na wenzake umekamilika.Mbali ya Malinzi, wengine ni Katibu wa TFF, Mwesigwa Selestine na Mhasibu wa shirikisho hilo, Msiande Mwanga.Wakili wa TAKUKURU, Leornad Swai alimueleza...

Sababu 5 Zinazosababisha Uume Kuwa Mdogo (Kibamia)...Soma Hapa Kidume Ufahamu.

Kundi kubwa la wanaume ambao wanashindwa kufurahia tendo la ndoa kutokana na kuwa na uume mdogo kupita kawaida...Wanaume walio na tatizo hili wengi wao huwa hawana confidence ya kuingia katika mahusiano na wasichana ama wanawake wanao fahamiana nao kutokana na kuogopa " siri" zao kujulikana hususani pale uhusiano wao unapofika mwisho..Ikitokea mwanaume akiwa katika uhusiano...