Friday, 29 September 2017

LEMA: MWIGULU AONDOKE NDANI YA MASAA 12.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa                       ...

BREAKING: Ofisi ya Bunge kuhusu Mbowe kunyang'anywa gari Nairobi.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa                       ...

Majambazi Wapora Msikitini, Wamjeruhi Mlinzi kwa Panga.

WATU wanaosadikiwa kuwa ni majambazi, wamevamia Msikiti Mkuu wa Ijumaa ulioko Kata ya Igunga Mjini wilayani hapa mkoani Tabora, kisha kumjeruhi mlinzi na kupora baadhi ya vitu ikiwemo vitabu vya dini ya Kiislamu. Mlinzi aliyejeruhiwa ni Juma Mussa (55), mkazi wa Mtaa wa Nkokoto kata ya Igunga ambaye amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga na hali yake bado ni...

Ujumbe wa Ancelotti Baada ya Kufukuzwa.

Baada ya kufutwa kazi aliyekuwa kocha wa Bayern Munich Carlo Ancelotti ameishukuru bodi ya timu hiyo kwa kumwamini pamoja na ushirikiano waliompa katika kipindi chote alichofundisha timu hiyo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ancelotti ameandika “Imekuwa heshima kubwa kuwa sehemu ya historia ya Bayern Munich. Napenda kuishukuru Klabu, Wachezaji na zaidi mashabiki wa...

Serikali Yaifungia Gazeti la Raia Mwema kwa Siku 90.

 Serikali imesitisha uchapishaji na usambazaji wa gazeti la kila wiki la Raia Mwema kwa muda wa siku 90 kuanzia leo. Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbasi amesema leo Alhamisi kuwa agizo hilo pia linahusu toleo la mtandaoni. Dk Abbasi amesema adhabu hiyo inatokana na toleo namba 529 la Septemba 27 hadi  Oktoba...

VIDEO:WAZIRI MBARAWA: 'Watanzania wengi wanafikiri treni inajengwa siku 3'.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa                       ...

Shilole Hausiki Kuvunja Ndoa Yangu Bali ni Wazazi wa Nawal- Nuhu Mziwanda.

Mwanamuziki Nuh Mziwanda amekanusha suala linaloongelewa na watu kuwa kuvunjika kwa mapenzi kati yake na mzazi mwenzie chanzo chake siyo Shilole bali ni wazazi wa binti huyo. “Unajua watanzania ukiwapa picha tu, basi wao wataandika maneno wataandika wenyewe Shilole hausiki hata kidogo kuvunjika kwa mahusiano yangu.” “Wahusika ni wazazi wake ambae yeye aliamua kuwasikiliza...

Upinzani Kenya Waitisha Maandamano Makubwa Wiki Ijayo.

Muungano wa upinzani nchini Kenya umeitisha maandamano ya umma kupinga mapendekezo ya kuifanyia mabadiliko sheria ya uchaguzi. Wabunge wanaoegemea upande wa serikali wanafanya hima kupitisha mswada ambao utamwezesha Uhuru Kenyatta kutangazwa rais bila ya kufanyika uchaguzi ikiwa upinzani utasusia marudio ya uchaguzi tarehe 26 mwezi Oktoba. Wanachama wa upinzani walitoka...

VIDEO:MEYA BONIFACE: MAKONDA AMENITISHIA, ANATAKA NIONDOE KESI YAKE YA KUFOJI CHETI.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa                       ...

Lijualikali Aachiwa Ahojiwa na Polisa Kwa Saa Nne.

Mbunge wa Kilombero mkoani Morogoro, Peter Lijualikali ameshikiliwa na kuhojiwa na polisi wilayani Malinyi kwa saa nne. Pamoja naye, viongozi wengine watatu wa Chadema walishikiliwa jana Alhamisi wakidaiwa kufanya mkusanyiko bila kuwa na kibali cha polisi. Akizungumza leo Ijumaa baada ya kuachiwa mbunge huyo amesema aliamriwa na polisi  kusimama alipokuwa akitoka...

Yanga Kumkosa Tshishimbi Mechi ya Kesho.

Klabu ya Yanga imeeleza kuwa imejiandaa vyema kuelekea mchezo wa ligi kuu ya soka Tanznaia Bara kesho dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Akiongea na Wanahabari leo kwenye makao makuu ya klabu msemaji wa Yanga, Dismass Ten amesema timu hiyo imejiandaa vya kutosha na inahitaji pointi tatu muhimu kwenye mchezo huo. “Timu imejiandaa vizuri,...

Tanzia: CUF Yapata Pigo Kiongozi Wao Afariki.

Kiongozi wa CUF Mheshimiwa Ali Juma Suleiman ambaye alikuwa Kaimu Mwenyekiti wa (CUF) Jimbo la Mto Pepo na Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa (CUF) Wilaya ya Magharibi A. Zanzibar amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Mnazi Mmoja. Baadhi ya viongozi wa (CUF) na wanachama pamoja na wananchi wakiwa katika hospitali ya Mnazi Mmoja kufuatilia mwili wa...

Mwanaume Aliyeshauriwa na Mganga Kufanya Mapenzi na Punda Atupwa Jela.

Mwanamme mmoja nchini Afrika Kusini aliyetambulika kwa jina la Ntando Mankungwini ametupwa jela mwaka mmoja baada ya kukutwa akifanya mapenzi na Punda. Ntando (23) alikutwa usiku wa Jumatano ya septemba 20 mwaka huu kwenye zizi la nyumba jirani na nyumbani kwao mjini Mount Fletcher, Afrika Kusini akiwa nyuma ya punda usiku wa manane, kitendo ambacho wamiliki wa punda...

Pendeza na Dar Empire Products: Badili Muonekano Wako na Kuweka Mwili Wako Sawa Bila Madhara yoyote.

PENDEZA NA DAR EMPIRE PRODUCTS: BADILI MUONEKANO WAKO NA KUWEKA MWILI WAKO SAWA KWA PRODUCT ZISIZO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI, MATOKEO NI KWAARAKA.   1)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, KIUNONI KUPAK 2)TOA  KITAMBI KABISA  3) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KILO UNAZOITAJI WEWE 4) ONDOA MICHIRIZI ILIYO SHINDIKANA  5) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KWENY...

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo.

Job Opportunity at Info-Consultancy Ltd, Sales Representative Job Opportunity at Bluebay Hotels, General Manager Job Opportunity at World Vision, ICT-Officer Job Opportunity at Mamujee Products Ltd, Quality Inspector Job Opportunity at ESAMI, Maintanance Officer Job Opportunity at Mobisol, Head of Human Resources Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye...

TID Atangaza Nia ya Kugombea Ubunge wa Kinondoni 2020 Je Atamng'oa Mtuli?

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Khalid Mohamed maarufu kama T.I.D, ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni, kwenye uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika mwaka 2020, na kumng'oa mbunge wa sasa wa jimbo hilo Maulid Mtulia. Akizungumza kwenye kipindi cha East Africa Breakfast kinachorushwa na East Africa Radio, TID amesema sababu inayomsukuma kugombea nafasi...

TFF Yaanika Viingilio Mechi ya Tanzania Dhidi ya NIigeria.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeweka wazi viingilio vya mchezo wa marejeano kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia dhidi ya Nigeria itakayopigwa, Jumapili Oktoba mosi, mwaka huu. Mashabiki wataingia kwenye uwanja wa Azam Complex kwa viingilio vya kawaida kushuhudia mechi hiyo timu ya taifa ya wanawake wenye umri wa chini ya miaka 20 ‘Tanzanite’ itakayocheza...

Thursday, 28 September 2017

Mwakyembe Akabidhiwa Ripoti ya Maandalizi ya Mashindano ya Afcon Mwaka 2019.

Kuelekea katika mashindano ya Afcon U-17 mwaka 2019 ambapo Tanzania ndiyo wenyeji, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amesema atahakikisha mashindano hayo yanaenda vizuri bila ya kuwa na tatizo lolote. Dkt. Mwakyembe amesema hayo katika kikao cha ufunguzi wa mashindano hayo yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam na kuahidi kufuatilia...

Team Wema Wamfanyia Wema 'Suprise' Kubwa Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa.

Ikiwa leo Septemba 28, 2017, mwigizaji mahiri Bongo, Wema Isaac Sepetu almaarufu Keki ya Taifa, anasheherekea birthday yake, mashabiki wake wameungana kwa pamoja na kumfanyia surprise akiwa saluni kwa kumpelekea keki na shampeni wakiwa na matarumbeta. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza...

Download wimbo mpya wa Chemical Ft Fid Q & Cliff Mitindo unaoitwa "HERO".

Download wimbo mpya wa Chemical Ft Fid Q & Cliff Mitindo - HERO. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow...

Muziki wa Ali Kiba ni Mzuri Zaidi ya wa Diamond- Faiza.

Muigizaji wa Filamu Bongo, Faiza Ally amefunguka kuupa zaidi muziki wa Alikiba kuliko ule wa Diamond. Faiza amesema hayo katika mahojihano na TBC Fm kwa kueleza kuwa Diamond ni mburudishaji wa jumla aliyeleta mapinduzi ya kimuziki lakini Alikiba muziki wake ni bora zaidi. “Kwanza kati ya muziki wa Diamond na Alikiba, naupenda sana muziki wa Kiba, muziki wake ni mzuri...

Download wimbo mpya wa Dullayo Ft. Beka Flavour unaoitwa "Caro".

Download wimbo mpya wa Dullayo Ft. Beka Flavour - Caro. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

Download wimbo mpya wa Amber LULU Ft. Ice Boy unaoitwa "KUMOYO".

Download wimbo mpya wa Amber LULU Ft. Ice Boy - KUMOYO. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

Omog Ndiye Aliyeishikisha Adabu Yanga, Bado Anahitajika Simba Kuliko Yeye KulikoHata Anavyoihitaji Yeye- Manara.

Haji Manara amefunguka na kusema Kocha Mkuu wa Simba, Joseph Omog anahitajika zaidi na Simba kuliko hata yeye anavyohitaji Simba na kudai ni kocha pekee aliyeweza kuipa Simba vikombe viwili na kuifunga Yanga mara tatu katika mechi nne walizokutana. Manara amesema hayo jana wakati akielezea mambo mbalimbali kuelekea mchezo wao na Stand United ambao unatarajiwa kupigwa...

Msigwa Afikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Kutishia Kuua.

Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amepandishwa kizimbani leo Alhamisi katika Mahakama ya Mwanzo Mjini Iringa kwa madai ya kumtusi na kutishia kumuua aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kitwiru, Baraka Kimata. Mbali na Msigwa pia Diwani wa Viti Maalum, Selestina Johanes na dereva wa mbunge huyo, Godi Mwaluka wamepandishwa kizimbani kwa kosa hilo. Akisoma shtaka...

Download wimbo mpya wa Nikki Wa II unaoitwa "Kihasara".

Download wimbo mpya wa Nikki Wa II - Kihasara. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

Chadema Wapingana na Mwigulu Yasimamia Msimamo Wake wa Uchunguzi Kutoka Nje Shambulio la Lissu.

Chadema imesema haitabadili msimamo wake wa kutaka wataalamu kutoka nje kuchunguza shambulio dhidi ya mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu. Juzi, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba alisema hakuna haja ya kuhangaika kutafuta wachunguzi kutoka nje kwa kuwa mazingira watakayofanyia kazi ni yaleyale na hivyo kuitaka Chadema kuviamini vyombo vya ndani vya uchunguzi. Lakini...

Uganda Yafuata Nyayo za Tanzania Yapiga Stop Bunge Kuonyeshwa Live.

Vyombo vya habari nchini Uganda vimezuiwa kuonyesha moja kwa moja matangazo ya Bunge ambalo linaendelea na vikao. Mkurugenzi wa Tume ya Utangazaji nchini humo, Godfrey Mutabuzi amesema redio na runinga zote haziruhusiwi kurusha matangazo ya Bunge moja kwa moja kuanzia leo Alhamisi. Amesema sababu ya Bunge kutoonyeshwa moja kwa moja ni za kiusalama. Wabunge nchini Uganda...

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo.

Job Opportunity at Mobisol, Head of Human Resources Job at Shinyanga Urban Water Supply and Sanitation Authority (SHUWASA) Job Opportunity at Save The Children Tanzania Job Opportunity at VSO, Programme Manager Youth Job Opportunity at KP Recruiters, Sales Coordinator Job Opportunity at KP Recruiters, Sales Manager Nafasi zingine ingia www.ajirayako.co.tz TOA MAONI...

Pendeza na Dar Empire Products: Badili Muonekano Wako na Kuweka Mwili Wako Sawa Bila Madhara yoyote.

PENDEZA NA DAR EMPIRE PRODUCTS: BADILI MUONEKANO WAKO NA KUWEKA MWILI WAKO SAWA KWA PRODUCT ZISIZO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI, MATOKEO NI KWAARAKA.   1)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, KIUNONI KUPAK 2)TOA  KITAMBI KABISA  3) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KILO UNAZOITAJI WEWE 4) ONDOA MICHIRIZI ILIYO SHINDIKANA  5) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KWENY...