Monday, 31 October 2016

#YALIYOJIRI>>>SMZ yatoa onyo kwa watakaoleta vurumai za kidini visiwani humo.Fahamu zaidi hapa.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Issa Haji Ussi Gavu amesema Zanzibar inahistoria ndefu ya uvumilivu wa kidini na kuonya kwamba Serikali itawakuchulia hatua wale wote watakaolete chokochoko za kidini. Akizindua jimbo mpya za ibada za Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania, Waziri Gavu alisema kwamba tofauti za imani...

Unaamini Kuna Uchawi Katika Mapenzi? Soma Hii InakuhusuFahamu zaidi hapa.

BILA shaka msomaji wangu uko poa, kwa wewe ambaye unasumbuliwa na shida mbalimbali za kidunia, nakuombea kwa Mungu upate ahueni. Wiki iliyopita tulianza kujadiliana kuhusu mada hii kama inavyojieleza. Je, wewe unaamini kwamba kwenye mapenzi kuna uchawi? Unaamini kwamba kuna kitu kinaitwa limbwata? Je, ni kweli mtu anaweza kwenda kwa mganga na akafanikiwa kumpumbaza...

#YALIYOJIRI>>>>>Waziri Kigwangalla Amesema Wanawake Wanaofanya Ngono Bila Kinga Kupata Saratani ya Mlango wa Kizazi.Fahamu zaidi hapa.

Naibu waziri wa Afya Hamisi Kigwangala amesema kuwa wanawake wanaoshiriki tendo la ndoa bila kinga wapo hatarini kupata virusi vinavyoitwa HPV vinavyosababisha Saratani ya mlango wa kizazi Kigwangala amesema wanawake wanaofanya ngono bila kinga wanaweza kupata saratani ya mlango wa kizazi, ambapo husababishwa kwa kufanya ngono bila kinga,huambukizwa kwa kujaamiana. Kigwangala...

Dowload wimbo wa Ally Kiba unaoitwa "Risabela".Hapa hapa.

DOWNLOAD HAPA. ...

Download wimbo wa Dogo Dee x Sajna unaoitwa "HABARI".Hapa hapa.

DOWNLOAD HAPA. ...

Download wimbo wa Ale One Ft. Abdu Kiba unaoitwa "Only You".Hapa hapa.

DOWNLOAD HAPA. ...

#YALIYOJIRI>>>>Rais Magufuli asema Kenya ni nchi inayoongoza kwa uwekezaji Tanzania katika Afrika.Fahamu zaidi hapa.

Rais Dkt John Pombe Magufuli, akilakiwa na Mwenyeji wake, Rais wa Kenya, Mh. Uhuru Kenyatta alipokaribishwa Ikulu, Nairobi nchini Kenya leo. Rais Magufuli yupo nchini Kenya kwa ziara ya kikazi ya siku mbili  Rais Dkt John Pombe Magufuli, akilakiwa na Mwenyeji wake, Rais wa Kenya, Mh. Uhuru Kenyatta alipokaribishwa Ikulu, Nairobi nchini Kenya leo. Rais Magufuli...

Download wimbo mpya wa Bahati Bukuku unaoitwa "Umewazidi wote".Hapa hapa.

DOWNLOAD HAPA. ...

#YALIYOJIRI>>>>>HAYA NDIO ALIYOZUNGUMZA RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS KENYATTA JIJINI NAIROBI LEO.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Hotubu ya Rais Dkt Magufuli Hotuba ya Rais Uhuru Kenyatta...

#YALIYOJIRI>>>>Mpango wa Kuwalipia Faini Wafungwa wa Mchungaji Lwakatare na Mrema Wapigwa Stop.Fahamu zaidi hapa.

Serikali imesitisha shughuli iliyokuwa ikiendeshwa na Mchungaji Getrude Lwakatare ya kuwalipia faini wafungwa waliopo magerezani hadi hapo utaratibu mwingine utakapotolewa. Mpango huo unaofanywa na Lwakatare kwa kushirikiana na Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya Parole, Augustine Mrema tayari umewezesha wafungwa 78 kutoka magerezani baada ya kuwalipia faini inayofikia...

#YALIYOJIRI>>>>Serikali yakanusha kuuza Kisiwa Shungi Mbili.Fahamu zaidi hapa.

Serikali  imewahakikishia wakazi wa Wilaya ya Mafia na Watanzania wote kuwa Kisiwa cha Shungi Mbili kilichopo wilayani humo mkoani Pwani, hakijakodishwa wala kuuzwa kwa mtu yeyote kama inavyodaiwa na baadhi. Badala yake, serikali imeingia mkataba na mwekezaji kwa ajili ya kufanya biashara ya hoteli ya kitalii ya hadhi ya nyota tano katika kisiwa hicho kwa...

#MICHEZO>>>>YANGA YATUA MBEYA TAYARI KWA AJILI YA MECHI DHIDI YA CITY, MASHABIKI WAWAPA MAPOKEZI YA HESHIMA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

  Yanga wametua mjini Mbeya wakiwa tayari kwa ajili ya mechi yao ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City, keshokutwa. Mashabiki na wanachama wa Yanga walijitokeza kwenye Uwanja wa ndege mjini humo kuwapokea vijana wao huku wakiwaonyesha heshima kubwa.  Yanga inatarajia kufanya mazoezi leo chini ya Kocha Hans van Der Pluijm ili kufanya maandalizi...

#BURUDANI>>>>Vanessa Mdee Aja na Muonekano Mpya Sasa Kama Bob Marley.Fahamu zaidi hapa.

 Vanessa mdee ameamua kuingia kwenye utamaduni mpya huku akiwashangaza mashabiki wake Ameamua kuingia kwenye utamaduni wa watu wa Raggie kama bob marley na lucky dube Baaadhi ya mashabiki wameonekana kutokubali na muonekano huu...

#YALIYOJIRI>>>>Polisi azua GUMZO baada ya kumpigia saluti Profesa Lipumba.Fahamu zaidi hapa.

Kitendo cha askari polisi kumpigia saluti Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa, Profesa Ibrahim Lipumba imezua gumzo la kuhoji uhalali wake. Askari huyo alionekana juzi akimpigia saluti Profesa Lipumba katika eneo la Buguruni ambapo mwanasiasa huyo alienda kushiriki zoezi la usafi. Kamanda wa Polisi mkoa...

#TANZIA>>>>Bondia Thomas Mashali afariki dunia.Fahamu zaidi hapa.

Radio Free Africa kipindi cha michezo asubuhi hii wametangaza kifo cha ghafla cha Bondia Thomas Mashali. Thomas ni bondia aliyeleta changamoto kwenye gemu na kuifanya ichangamke. Chanzo cha Kifo chake inadaiwa kuwa kimesababishwa na kipigo cha wananchi hapa maeneo ya Kimara. Mashali aliyezaliwa kwa jina Christopher Fabian Mashale aliuawa baada ya kupigwa akiwa huko...

Sunday, 30 October 2016

#YALIYOJIRI>>>Basi La Abiria Lateketea Kwa Moto Kimara Stop Over Jijini Dar......Mtu mmoja Afariki, 16 Wajeruhiwa.Fahamu zaidi hapa.

Basi lenye namba za usajili T990 AQF mali ya kampuni ya Safari Njema liililokuwa likitokea Dodoma kuja jijini Dar, jana liliteketea kwa Moto maeneo ya Kimara Stop Over-Suka, mara baada ya kugongana na Lori lililokuwa limebeba shehena ya mifuko ya Cement (namba zake za usajili hazikujulikana mara moja). Imeelezwa kuwa mali zote zilikuwemo katika basi vimeteketea kabisa...

Thursday, 27 October 2016

#YALIYOJIRI>>>>‘Rais Magufuli Ndiye Rais wa Kwanza Duniani Kuwa na Asilimia 96%’ Lemutuz.Fahamu zaidi hapa.

Kwa Mujibu wa Gallup Polls by British Institute of Public Opinion iliyofanywa Mwezi uliopita the FACT is utafiiti wao wa kisayansi unaonyesha katika Mwaka wake mmoja madarakani Rais Magufuli amefanikiwa kukubalika sana na Wananchi kwa 96%, utafiti ulifanywa kwa kutumia Mobile Survey through Wananchi 1,813. – Kwa mujibu wa matokeo hayo Rais Magufuli, amefanikiwa kufanya...

Serikali Yatangaza Matokeo ya Mtihani Darasa la 7......Bofya hapa Kuyaona.

Serikali  imetangaza  matokeo  ya  mtihani  wa  darasa  la  7 kwa mwaka 2016  ambapo ufaulu  umeongezeka  kwa asilimia 2.52 na shule iliyoongoza kitaifa ni shule ya Msingi Kwema  ya  mkoani Shinyanga ====>> Bofya  << HAPA>>  Kuyaona matokea AU  ===> Waweza Bofya ...

#YALIYOJIRI>>>Sumaye kunyang’anywa shamba na serikali, apewa notisi ya siku 90.Fahamu zaidi hapa.

Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema hati ya shamba lililopo maeneo ya Bunju la aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Fredrick Sumaye liko katika hatua ya kufutwa na kwamba Afisa Ardhi Mteule wa Wilaya ya Kinondoni Rehema Mwinuka ameshatoa barua ya notisi ya siku 90. Lukuvi ameyasema hayo jana jijini...

#YALIYOJIRI>>>Mfalme wa Morocco aagwa na Rais Magufuli Jijini Dar es Salaam.Fahamu zaidi hapa.

Mfalme wa Morocco Mtukufu Mohammed VI jana tarehe 27 Oktoba, 2016 ameondoka Jijini Dar es Salaam na kuelekea Zanzibar. Katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam Mtukufu Mohammed VI aliagwa na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyeambatana na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan. Akiwa Jijini...

#YALIYOJIRI>>>>Ripoti ya Mkataba wa Lugumi, Polisi Yafika kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai.Fahamu zaidi hapa.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Projestus Rwegasira amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya Bunge ya kuhakikisha mfumo wa vifaa vya utambuzi wa alama za vidole unafungwa katika wilaya za kipolisi 108 nchi nzima kwa muda wa miezi mitatu. Zabuni ya kufunga na kusambaza mashine hizo za utambuzi wa vidole katika Jeshi la Polisi ulifanywa na...

Wednesday, 26 October 2016

#BURUDANI>>>>Meneja wa Diamond Platnumz Amemposti Mtandaoni Meneja wa Alikiba.Fahamu zaidi hapa.

 Katika zile lugha za Kimitandao siku ya Jumatano hupewa ‘Kinashi’ cha ‘WCW’ (Woman Crash Wednesday) yaani kumposti Mwanamke aliyekonga hisia zako na kumuhusudu zaidi. Kilichowashangaza Mashabiki wengi zaidi kutokana na kile kinachotajwa kuwa ni bifu baina yao. Leo meneja wa Kimataifa wa Muimbaji Diamond Platnumz, Sallam ‘Mendez’, amemposti Meneja wa Hasimu wao...

#BURUDANI>>>>Ali Kiba Aikana Nyumba Inayoonyeshwa Kwenye Mitandao Kuwa ni yake.Fahamu zaidi hapa.

Ally Kiba aikana nyumba inayoonekana mitandaoni wakisema ni yake, hii ni alipokua akihojiwa kwenye moja ya radio maarufu nchini . "Aliyekwambia mi Nina nyumba nani, naishi nyumba ya kupanga hata ingekuwa yangu mi sipendi show off ni maisha yangu" alise...

#MICHEZO>>>>TAMBWE Atokea Benchi Na Kupiga Mbili, Yanga Yaua 4-0.Fahamu zaidi hapa.

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akishangilia baada ya kutokea benchi na kufunga mabao mawili, Yanga ikishinda 4-0 dhidi ya JKT Ruvu jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Wafungaji wa mabao mengine ya Yanga leo, Obrey Chirwa (kulia) na Simon Msuva (kushot...

#YALIYOJIRI>>>Asilimia 90 ya Wanafunzi kupata Fedha zao za Mikopo Kesho.Fahamu zaidi hapa.

Wakati baadhi ya wanafunzi wa elimu ya juu wakiendelea kusubiri kupata mikopo yao, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema hadi kufikia kesho, asilimia 90 ya wanufaika watakuwa wameshapata fedha zao.  Majaliwa alisema hayo jana wakati wa kilele cha maadhimisho ya miaka 55 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).  “Taarifa niliyonayo ambayo nimepata asubuhi hii...

#YALIYOJIRI>>>>Tanzania Yapata Mkopo Wenye Masharti Nafuu Wa Zaidi Ya Shilingi Bilioni 300 Kutoka Benki Ya Maendeleo Ya Afrika (Afdb) Na Serikali Ya Korea.Fahamu zaidi hapa.

Benny Mwaipaja, WFM, Seoul, Korea TANZANIA, Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Korea ya Kusini zimetiliana saini makubaliano ya pamoja kutekeleza mradi wa ujenzi wa njia ya umeme gridi ya Kaskazini Magharibi inayoanzia mkoani Mbeya, Nyakanazi hadi Kigoma, yenye msongo wa kV 400 mbapo Serikali ya Korea imeahidi kutoa Dola za Marekani milioni 50 sawa na zaidi ya...