
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Issa Haji
Ussi Gavu amesema Zanzibar inahistoria ndefu ya uvumilivu wa kidini na
kuonya kwamba Serikali itawakuchulia hatua wale wote watakaolete
chokochoko za kidini.
Akizindua
jimbo mpya za ibada za Kanisa la Evangelistic Assemblies of God
Tanzania, Waziri Gavu alisema kwamba tofauti za imani...