Friday 7 October 2016

#YALIYOJIRI>>>>Majibu ya hospital yameonyesha Saidi Mrisho aliyejeruhiwa macho Buguruni hatoweza kuona tena katika maisha yake.Fahamu zaidi hapa.


Majibu yametoka na Said, mhanga wa kutobolewa macho, ameturuhusu tuyaweke wazi Majibu ni mabaya ila tumeyapokea itabidi tukubaliane na matokeo kwamba ndugu yetu Hataweza kuona tena kwa maisha yake yote.

Serikali ya Mkoa imejitolea
Kumpatia matibabu ya macho ya bandia kwa ajili ya kutengeneza shape ya uso wake tena.

•Kumpatia Elimu ya kusoma tena kujifunza kwa alama ili aweze kuendana na mazingira.

•Serikali ya Mkoa imetoa Gari kwa ajili ya kumsaidia kipindi chote atakachokuwa kwenye matibabu yake

•Vilevile Serikali yetu itatoa kiasi cha Shilingi milioni kumi kama sehemu ya Mtaji kabla ya kupatwa na ulemavu alikuwa kinyozi hivyo kuna mdogo wake yupo atamsaidia kwa kuwa mwanzoni walikuwa wakifanya kazi pamoja.

Chanzo: Clouds Fm
 Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi

Bonyeza Hapa CLICK HERE
 
<<<<DOWNLOAD APPLICTION KWENYE SIMU YAKO HAPA>>>

0 comments:

Post a Comment