Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>>Majibu ya hospital yameonyesha Saidi Mrisho aliyejeruhiwa macho Buguruni hatoweza kuona tena katika maisha yake.Fahamu zaidi hapa.
Majibu
yametoka na Said, mhanga wa kutobolewa macho, ameturuhusu tuyaweke wazi
Majibu ni mabaya ila tumeyapokea itabidi tukubaliane na matokeo kwamba
ndugu yetu Hataweza kuona tena kwa maisha yake yote.
Serikali ya Mkoa imejitolea
Kumpatia matibabu ya macho ya bandia kwa ajili ya kutengeneza shape ya uso wake tena.
•Kumpatia Elimu ya kusoma tena kujifunza kwa alama ili aweze kuendana na mazingira.
•Serikali ya Mkoa imetoa Gari kwa ajili ya kumsaidia kipindi chote atakachokuwa kwenye matibabu yake
•Vilevile Serikali yetu itatoa kiasi cha Shilingi milioni kumi kama
sehemu ya Mtaji kabla ya kupatwa na ulemavu alikuwa kinyozi hivyo kuna
mdogo wake yupo atamsaidia kwa kuwa mwanzoni walikuwa wakifanya kazi
pamoja.
Chanzo: Clouds Fm
Related Posts:
Sugu Arudishwa Tena Rumande Hadi Januari 22.
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini (CHADEMA) Joseph Mbilinyi 'Sugu' na
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyassa, Emmanuel Masonga wamerudishwa rumande
hadi Januari 22, 2018 siku ya Jumatatu ambapo kesi yake itaanza kusomwa
mfululiz… Read More
Msimamizi wa Uchaguzi Kinondoni Atupilia Mbali Mapingamizi ya Wagombea Katika Jimbo Hilo.
Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Kinondoni ambaye pia mkurugenzi wa manispaa hiyo, Aron Kagurumjuli ameyatupilia mbali mapingamizi matatu yaliyowasilishwa na wagombea wa vyama vya Chadema, CCM na CUF.Mapingamizi hayo ni kw… Read More
Afya ya Tundu Lissu Yaendelea Kuimarika.
Afya ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, ambaye
anaendelea na matibabu nchini Ubelgiji, inazidi kuimarika na sasa
anaweza kufanya mambo mengi mwenyewe ikiwamo kwenda kuoga na kutembea
kwa kutumia magon… Read More
Breaking News>>>Katibu Mkuu wa Chadema Augua Ghafla Akimbizwa Amana.
Katibu Mkuu wa Chadema, Vincent Mashinji amepelekwa Hospitali ya Amana kutokana na kuzidiwa ghafla.
Habari kutoka kwa mganga mkuu wa hospitali hiyo, Dk Shani Mwaruka
amesema Mashinji amepokelewa hospitalini hapo na kuelez… Read More
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea(CHADEMA) Aachiwa Huru na Mahakama na Kukamatwa Tena.
DODOMA: Mahakama ya Wilaya mapema leo imemuachia huru Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea(CHADEMA)
Hata hivyo Jeshi la Polisi limemkamata tena. Yadaiwa atafunguliwa mashtaka upya
Mbunge huyo kabla ya kuachiwa leo alikuwa akitu… Read More
0 comments:
Post a Comment