Friday 7 October 2016

#BURUDANI>>>>Diamond Apata Shavu Nono , Kutumbuiza na Neyo United Kingdom Katika Miji Sita.Fahamu zaidi hapa.

Diamond platnumz ameendelea kukuza mziki wake baada ya kupata shavu kubwa la kutumbuiza kwenye majukuu makubwa nchi Uingereza akiwa na mkali kutoka marekani Neyo.
Mtandao wa Revolt Africa umetoa taarifa hiyo.
Diamond mwenyewe kwenye kipindi cha playlist cha Times FM alisema amekuwa karibu na Neyo na kuna mambo makubwa anajifunza na wanafanya pamoja
Ziara hiyo itafanyika kwenye miji 6 uko United Kingdom

0 comments:

Post a Comment