Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>Rapper Witness: Nimechora Tatoo Kiunoni ili Nisichepuke.Fahamu zaidi hapa.
Mwanamuziki wa muziki wa kufoka foka nchini Tanzania, Witness, a.k.a
Witness kibonge Mwepesi, ameelezea sababu ya kuchora tattoo yenye jina
la mpenzi wake wa sasa Ochu Sheggy katika kiuno chake.
Akizungumza ndani ya eNewz amesema “Ukiweka tattoo sehemu niliyoweka
mimi inazuia hata unapotaka kumsaliti mwenza wako yule unayekuwa naye
ina kunyima hamu kabisa na anashindwa hata kukutamani tena”.
Pia aliendelea kusema kuwa watu wanadhani kuwa kuolewa ndiyo kumaliza
kila kitu lakini kwa sehemu ambayo mapenzi yao yamefikia hakuna kitu
ambacho anakihitaji tena kwa kuwa mapenzi ni kuungana mkono na Ochu
anamsaidia katika kila kitu ninachofanya.
Related Posts:
Wema Sepetu Afunguka Haya Huhusu Alikiba.Fahamu zaidi hapa.
Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa msanii
Alikiba ni mtu wa kumuacha kutokana na uwezo wake wa kuimba na namna
ambavyo anaweza kuipangilia sauti yake kwenye muziki.
Wema Sepetu amezidi kuony… Read More
#BURUDANI>>>>Live from South Africa Mkurugenzi kuu MD wa Sony Music Africa,Sean Wetson Waki sign mkataba na mwanamuziki Alikiba.Fahamu zaidi hapa.
Alikiba
Alikiba
baada ya kusaini mkataba huo amewashukuru mashabiki wake kwa support
waliompa toka aliporudi na wimbo wake wa 'Mwana' mpaka leo hii na kusema
atafanya sherehe na mashabiki zake ili kufurahi nao baada … Read More
Wema, Petit Ndani ya Bifu.Fahamu zaidi hapa.
Imevuja! Urafiki wa muda mrefu wa muigizaji nyota, Wema Sepetu na mshika
kamera wake, Petit Man umeingia dosari baada ya kudaiwa kuwa wawili hao
wako ndani ya bifu, Risasi Mchanganyiko linakujuza.
Wema na Petit
Chanz… Read More
Pasha Amuumbua Snura, Afunguka Haya.Fahamu zaidi hapa.
Akizungumza na Enewz Pasha alisema kuwa yeye alishawahi kuwa na
uhusiano wa kimapenzi na Snura ila kipindi hiko Snura alikuwa hajaanza
kufahamika na yeye alikuwa akitamba na nyimbo ya ni soo.
“Kusema hajawahi kutoka na … Read More
Gardner Amjibu Lady Jay Dee, Agoma kuomba Radhi.Fahamu zaidi hapa.
Hatimaye
mtangazaji wa Clouds Fm, Gardner G. Habash amemjibu aliyekuwa mkewe,
Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya siku saba kwa kauli
aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha. Katika majibu yake
ameka… Read More
0 comments:
Post a Comment