
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob, leo Ijumaa 30 Julai
2017, amezindua kituo cha kisasa cha kukusanya kodi, ushuru na tozo
mbalimbali katika eneo la Simu 2000 pamoja na Kuhamsisha
wafanyabiashara,bodaboda na Abiria wa Mabasi madogo .
Hii itapunguza kero kwa wananchi wanaoishi maeneo ya karibu na eneo la
Simu 2000, kulipa kodi, ushuru na tozo...