Monday 10 July 2017

CUF Lipumba, CUF Maalimu Seif Wazichapa tena Mahakamani.

HALI ya Taharuki Kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeibuka Leo wakati wafuasi wa pande wa Chama cha Wanachi (CUF)  kukutana kwenye kesi zilizfunguliwa na bodi ya wadhamini ikidai ruzuku za chama hicho zilizodaiwa kuzuiliwa na Msajili wa vyama vya siasa Nchini.

Wafuasi hao waligawanyika kundi moja likiwa  upande wa katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Ahmad na wengine kuwa kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Professa Ibrahimu Lipumba walishikana na mashati na kurushina maneno mahakamani hapo.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment