Monday 10 July 2017

Rais Magufuli aisuka upya TRA. Ateua Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Florens D.A.M Luoga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) leo hii na kuanza kazi mara moja.

Awali nafasi hiyo ilikuwa chini ya Bw. Bernard Mchomvu ambaye bodi yake ilivunjwa na uteuzi wake kutenguliwa mnamo Novemba 20 mwaka 2016.

Pamoja na hayo, Prof. Florens D.A.M Luoga ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Taaluma).

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment