
TIMU ya Azam FC yaonesha nia ya kuchukua kombe la ligi kuu Vodacom
Tanzania Bara baada ya kuendeleza mfululizo wa kushinda michezo yake ya ligi kuu Vodacom
Tanzania Bara imekaa kileleni kwa mara ya kwanza msimu huu baada ya
kuichapa JKT Ruvu mabao 4-2 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom
Tanzania uliofanyika Uwanja wa Karume jioni ya leo.
Azam FC inakaa kileleni...