Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>Baada ya Kuachana na Mbunge wa Donge,Wastara Arudiana na Mpenzi Wake wa Zamani.Fahamu zaidi hapa.
Mwigizaji Wastara aliwahi kuingia kwenye vichwa vya habari Tanzania
kutokana na ndoa yake kuvunjika ndani ya siku 80 akiwa kaolewa na Mbunge
wa Zanzibar.
Kabla ya ndoa hiyo Wastara alikuwa kwenye uhusiano na mshikaji ambaye ni
staa wa Bongo Movie pia ambaye anaitwa Bondi, sasa basi baada ya
taarifa kuenea katika mitandao mbalimbali kwamba amerudiana na Bondi leo
ameyazungumza haya juu ya taarifa hizo.
‘Unajua watu hawajui tulipotoka yule ni mtu wangu wa muda mrefu ni
makosa yake tu alinikosea ndio sababu ya mimi kuachana naye na ndipo
nikaamua kwenda Zanzibar kuolewa yakatokea yaliyotokea na sasa niko na
Bondi yaani nimerudiana naye nimesamehe yaliyopita kwasasa tuna kama
miezi miwili tangu turudiana katika uhusiano wetu’
Related Posts:
Afande Sele Amfananisha Bashite na Tumbili Aliyemaliza Kurukia Miti yote na Sasa Ameamua Kumrikia Anayemfuga.Fahamu zaidi hapa.
Msanii mkongwe wa Muziki wa Bongo fleva Mwana Hip Hop Afande Sele
TheKing ametoa ya moyoni baada ya Kuibuka Tetesi za Uvamizi wa Clouds
Media.Kupitia Ukurasa wake wa Facebook Msanii huyo ambaye ndie mfalme wa
kwanza wa M… Read More
Uuwii...Umemsikia Jike Shupa..Eti Anadai Haogopi Ukimwi 'so' Haoni Shida Kubadili Wanaume Kama 'Chupi'.Fahamu zaidi hapa.
HAMNAZO! Msanii muuza sura katika video za Bongo Fleva, Zena Abdallah
‘Jike Shupa’ ametoa kali ya mwaka baada ya kudai haogopi Ukimwi kwa kuwa
ni ugonjwa wa kawaida, ndiyo maana amekuwa akibadili wanaume ovyo bila
wasiw… Read More
Exclusiveee..Lady Jaydee, Mnigeria Wamwagana....!!!!.Fahamu zaidi hapa.
KIMENUKA! Miezi michache tu baada ya mkongwe wa Muziki wa Afro Pop
Bongo, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ kumtambulisha ‘baby’ wake mpya, raia
wa Nigeria aliyejitambulisha kwa jina moja tu la Spicy, fununu zinadai
kuwa pen… Read More
Baada ya Kusaidiwa Kwenye Nyimbo Yake ya Kwanza,Harmorapa Aaanza Kumpiga Vijembe Juma Nature,Adai Hakumfanyia Poa Hata Kidogo...!!!.Fahamu zaidi hapa.
Msanii Harmorapa amewaomba wasanii wakubwa waliopo kwenye 'game' ya
muziki kuacha tabia ya kuwapiga mkwanja mkubwa 'underground' wakati
wanapoenda kuwaomba kufanya nao 'collabo'
Hayo yamekuja baada ya msanii huyo kuom… Read More
Alichokisema Wema Sepetu Baada ya Rais Magufuli Kumtetea Makonda Leo.Fahamu zaidi hapa.
Wema Sepetu Kupitia moja ya Account zake za kijamii ameandika ujumbe
ambao dhahiri shari kuwa unamuelekea Rc Makonda kwa njia ya mafumbo
ameandika hivi
Ukiona twiga anaringa mbugani basi ujue simba bae wake,,,,
Dow… Read More
0 comments:
Post a Comment