September 23 2016 Diamond Platnumz aliingia kwenye headlines baada ya kupost Nyumba ambayo aliandika kuwa ni zawadi kuwa Mpenzi wake ambaye ni Mrembo Zari, Baada ya Diamond Platnumz kupost Nyumba hiyo ambayo iko South Africa zimepita siku saba na amehojiwa na kipindi cha Weekend Chat Show na kazitaja Gharama alizonunulia Nyumba hiyo. Tazama Hapa:
Saturday, 1 October 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>DIAMOND Platnumz Ametaja Gharama Alizonunulia Nyumba South Afrika.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>>DIAMOND Platnumz Ametaja Gharama Alizonunulia Nyumba South Afrika.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Isabela ala bata Uganda na Ex wa Aunt Ezekiel, Jack Pemba.Fahamu zaidi hapa. Aliyekuwa mpenzi wa msanii wa filamu Aunty Ezekiel, Jack Pemba ameonekana akila bata nchini Uganda na aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Luteni Karama, Isabela Mpanda. Muimbaji huyo wa Kundi la Scorpion Girl pamoja na wenzake… Read More
#BURUDANI>>>Msanii Ruby na Clouds FM Hapatoshi..Aikacha Show ya Fiesta Mwanza Kisa Maslahi Madogo.Fahamu zaidi hapa. Mtandaoni wa Tizneez ametoa exclusive ya kwanini Msanii Ruby hakuonekana Mwanza wala kupanda katika jukwaa la Fiesta wakati alikuwa mmoja wa wasanii waliosajiliwa... Hivi Ndivyo mtandao huo ulivyoandika Exclusive Ruby … Read More
#BURUDANI>>>>Baraka Da Prince Kayatoa ya Moyoni Waliosema Ameshindwa Kuongea Kiingereza.Fahamu zaidi hapa. Kama utakuwa unakumbuka hivi karibuni msanii wa Bongo Fleva, Baraka Da Prince kutoka kwenye label ya Rockstar 4000 aliingia kwenye headlines baada ya mpenzi wake Najma kuonekana kuwa kama mkalimani wake kwenye interview … Read More
#BURUDANI>>>>Diamond Platnumz Amwagia Sifa za Kumwaga Zari Hassan...Aongelea Kuhusu Mimba ya Pili.Fahamu zaidi hapa. Mkali wa smash hit iitwayo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz amethibitisha ujio wa mtoto wake wa pili kutoka kwa mpenzi wake Zari. Taarifa hizo staa huyo alizitoa leo August 21, 2016 kwenye mtandao wake wa instagram na kuyaandika… Read More
#BURUDANI>>>Naj wa Baraka da Prince Aitingisha Ndoa ya Mr Blue, Mkewe Arusha Kijembe.Fahamu zaidi hapa. Mr Blue na Mkewe Walda Katika Pozi Baada ya kuibuka kwa madai ya kuwa Mr Blue na Ex wake wa zamani Naj huwenda wakawa wanawasiliana, kumekuwa na vijembe vya maneno kutoka kwenye kambi ya Mr Blue ambavo vina… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment