Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>>Baraza la Michezo nchini (BMT) leo limetangaza kutotambua ukodishwaji wa Klabu ya Yanga.Fahamu zaidi hapa.
Sasa kumekucha wapenda michezo wenzangu hii ni kufuatia Baraza la
Michezo Tanzania (BMT) leo limetangaza rasmi kutotambua ukodishwaji wa
Klabu ya soka ya Yanga
Baraza la BMT lasema ni kinyume na Katiba ya Klabu hiyo.
Baraza la michezo Tanzania (BMT) limetangaza kujitambua ukodishwaji wa
klabu ya Yanga kwa kuwa ni kinyume na katiba ya klabu hiyo.
Katibu mkuu wa BMT, Mohammed Kiganja amesema kuwa mkataba huo kati ya
Baraza la Wadhamini wa Yanga na kampuni iliyoikodi klabu hiyo,
haukufuata taratibu.
"Ili Yanga iweze kubadili jina na kuitwa Yanga Yetu ni lazima ipite kwa
msajili. Wao hawajaenda kwa msajili wanaanza kutangaza jina jipya. Huko
ni kupinga katiba," alisema Kiganja.
Related Posts:
#MICHEZO>>>Jose Mourinho: Ni Vigumu Sana Bastian Kupata Nafasi.Fahamu zaidi hapa.
Kocha wa Manchester United Jose Mourinho alipo kuwa akiongea na
waandishi amesema kuwa hafiriki na ni vigumu sana Bastian kupata nafasi
ya kucheza msimu huu, sijasema haiwezekani , nimesema ni vigumu sana.
Kama tatizo lo… Read More
#MICHEZO>>>Thierry Henry Kuwa Kocha Msaidizi wa Timu ya Taifa ya Ubelgiji Kuungana na Roberto Martinez.Fahamu zaidi hapa.
Kocha mpya wa timu ya taifa ya Ubelgiji Roberto Martinez amesema
mchezaji wa zamani wa klabu za Arsenal na Barcelona, Thierry, ambaye
aling’aa sana wakati akichezea timu ya taifa ya Ufaransa, atakuwa mmoja
wa wasaidizi w… Read More
#MICHEZO>>>>RASHFORD AFUNGA BAO DAKIKA YA MWISHO, MAN UNITED YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 DHIDI YA HULL CITY.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Hull City (4-3-3): Jakupovic 7;
Elmohamady 6, Davies 8, Livermore 6.5, Robertson 6; Huddlestone 6.5,
Meyler 7, Clucas 6; Snodgrass 6.5 (Maloney 48 6), Hernandez 6.5 (Maguire
83), Diomande 6.5
Substitutes: Kuciak … Read More
#MICHEZO>>>>JKT RUVU NA SIMBA NGUVU SAWA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Baada ya kupata ushindi wa magoli 3-1 kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi
ya Ndanda FC, Simba SC imejikuta ikibanwa na maafande wa JKT Ruvu na
kulazimishwa suluhu (0-0) katika mchezo wa ligi ku Tanzania bara
uliomalizika … Read More
#MICHEZO>>>>UFALME WA MESSI, RONALDO ULIVYO TOFAUTI UNAPOFIKA KATIKA MAJIJI YA BARCELONA, MADRID.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kutoka Hispania
UNAPOWAZUNGUMZIA
washambuliaji wawili wa Lionel Messi na Cristiano Ronaldo nje ya miji
ya Barcelona na Real Madrid, mambo yanakuwa tofauti kabisa na inavyokuwa
ndani ya miji hiyo.
Wote wawili, wan… Read More
0 comments:
Post a Comment