Yanga dhidi ya Simba, leo ilikuwa bonge la mechi na limeisha kwa sare ya bao 1-1, Yanga wakianza kufunga kupitia Amissi Tambwe kabla ya Simba kusawazisha kupitia Shiza Kichuya. Cheki picha za action mambo yalivyokuwa.
Saturday, 1 October 2016
Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>PICHA:MZIKI WA YANGA VS SIMBA ULIVYOKUWA NA KWISHA KWA SARE YA BAO 1-1.FAHAMU ZAIDI HAPA.
#MICHEZO>>>>PICHA:MZIKI WA YANGA VS SIMBA ULIVYOKUWA NA KWISHA KWA SARE YA BAO 1-1.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Related Posts:
#MICHEZO>>> WAMBURA AULA KWA CAF.Fahamu zaidi hapa. Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limemteua Michael Richard Wambura kuwa Kamishina wa mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kati ya Rwanda na Msumbiji unaotarajiwa kufanyika jijini Ki… Read More
#MICHEZO>>>FARID MUSSA APATA RUHUSA YA BOSS WA AZAM KWENDA HISPANIA.Fahamu zaidi hapa. Maendeleo ya soka katika nchi zinazoendelea hususani nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki linahitaji watu wenye kujua thamani ya vipaji na namna ya kuviendeleza tofauti na watu wenye kutaka faida kubwa kabla y… Read More
#MICHEZO>>>>YANGA KWA MARA NYINGINE TENA YAENDELEZA UBORA KWA KUCHUKUA KOMBE LA "FA".FAHAMU ZAIDI HAPA. Yanga imefanikiwa kutwaa ndoo zote msimu huu zinazosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) baada ya kuichapa Azam FC kwa bao 3-1 kwenye mchezo wa fainali ya kombe la FA (Azam Sports Federation Cup) … Read More
#MICHEZO>>>>Video#INTERVIEW YA KWANZA YA MOURINHO AKIWA KOCHA WA MANCHESTER UNITED. Jose Mourinho amewaasa mashabiki wa Manchester United kusahau yote yaliyotokea miaka mitatu iliyopita wakati timu hiyo ilipokuwa chini ya David Moyes na Louis van Gaal na kuangalia namna ya kuirudisha upya katika zama za… Read More
#MICHEZO>>>>UWEPO GUARDIOLA, KLOPP, WENGER, MOURINHO, CONTE, NI KUREJEA KWA UBORA WA EPL ULAYA?.Fahamu zaidi hapa. Na Mahmoud Rajab Hatimaye Jose Mourinho anarudi tena kundini na kukutana na mahasimu wake wakubwa katika soka ambao ni Pep Guardiola, Wenger na Klopp (ambaye vilevile ana historia na Pep Guardiola pia) bila kusahau Conte… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment