Thursday 6 October 2016

#YALIYOJIRI>>>>>Video: Walimu Warekodiwa Wakimfanyia Ukatili Wa Kutisha Mwanafunzi.

Video hii ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii kuanzia leo alfajiri inawaonyesha walimu wakichangia kumpiga mwanafunzi mmoja ndani ya ofisi.

Walimu hawa wanaonekana si tu wanampiga mwanafunzi huyo kwa viboko, bali wengine wanampiga makofi ya uso, huku walimu wengine wakiwasihi wamuache mwanafunzi huyo kwani wanaweza kumuumiza.

Inadawa shule hii ni Mbeya Day, iliyopo jijini Mbeya

0 comments:

Post a Comment