Home »
Habari Moto
» Gazeti Lililomuandika Mange Vibaya Lapewa Onyo Kali na Serikali.
Serikali imelionya Gazeti la Tanzanite kwa kuchapisha picha za utupu kitu ambacho ni kinyume na maadili ya kazi hiyo.Hatua hiyo imekuja baada msemaji wa serikali Dkt. Hassan Abbas kuahidi kulichukulia hatua gazeti hilo baada ya kupokea malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kutokana na ukakasi wa habari zake pamoja na picha wanazochapisha.Onyo hilo limetolewa hii leo mjini Dodoma na Msemaji wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.Amesema kuwa wametoa onyo kwa Gazeti hilo kwakua ni jipya pia ni mara yake ya kwanza kutenda kosa kama hilo hivyo ni bora kujirekebisha.Amesema kuwa Gazeti hilo halikuwa na kosa katika maudhui ya kuandika ila kosa kubwa ni kutumia picha za utupu, hivyo kwenda kinyume na maadili.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
HII NDO NYUMBA ALIYOKUWA ANAISHI MAKONDA KIJIJINI KOLOMIJE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Nyumba aliyokulia Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (Daudi Bashite)
KILA pembe ya kijiji cha Koromije, Wilaya ya Misungwi, pamoja na
viunga vya jiji la Mwanza Paul Makonda, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam
ana… Read More
Wanafunzi Wapingwa Mabomu ya Machozi Wakati Wakiandamana Kupinga Mwalimu Wao Kuhamishwa.Fahamu zaidi hapa.
Jeshi
la Polisi katika Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, jana liliwapiga
mabomu ya machozi wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bariadi waliokuwa
wakiandamana kupinga Mkuu wa Shule yao, Deus Toga, kuhamishwa.
Wakati … Read More
Agizo la Rais Magufuli Lainyima Usingizi Zanzibar.Fahamu zaidi hapa.
Wakati Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) likijipanga kuikatia umeme
Zanzibar kama alivyoagiza Rais John Magufuli, SMZ inajipanga kuzungumza
na shirika hilo ili kuona namna ya kulipa.
Alipotafutwa kwa simu jana kuzun… Read More
#Breaking News>>>Kituo cha Mafuta Tegeta DSM kinatekea kwa moto ulioanzia kwenye gari linaloshusha mafuta, FIRE wameshafika.Fahamu zaidi hapa.
Kituo
cha mafuta kilichopo eneo la Tegeta Azania jijini Dar as Salaam
kineteketea kwa moto.Chanzo cha ajali hiyo ni gari lililokuwa likishusha
shehena ya mafuta kushika moto.
Kwa habari zaidi endele kufatilia h… Read More
Familia ya Mzee Kikwete imepata msiba wa Nuru K. Kikwete aliyefariki asbh hii Muhimbili Hosp. ,ni Mke wa 3 wa Baba wa Rais Mstaafu J.Kikwete.Fahamu zaidi hapa.
Kwa habari zaidi endele kufatilia hii blog "www.hebronmalele.blogspot.com"
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
&nbs… Read More
0 comments:
Post a Comment