MSANII wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amezindua rasmi albamu yake mpya ‘A Boy From Tandale’ jijini Nairobi na kufanya bonge la shoo akiwa na timu nzima ya WCB.
Mbali na WCB, wasanii wengine waliopada jukwaani na kutikisa katika shoo hiyo, ni msanii wa Marekani, Omario.
Albamu mpya ya Diamond imesheheni ngoma 20 kali zikiwemo alizowahi kuzitoa kipindi cha nyuma na nyingine mpya.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Diamond Aamua Kumchana Makonda Ukweoli wa Moyo Wake.
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Daimond Platnumz’,
amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa jitihada
zake kuhakikisha Dar es Salaam inakuwa salama.
“Kwanza kabisa Nimpongez…Read More
0 comments:
Post a Comment