Home »
Michezo
» Baada ya Kuumia Mazoezini Jana Jonas Mkude Haya Hapa Majibu ya Daktari.
Kiungo mchezaji wa Simba, Jonas Mkude, aliumia jana wakati kikosi hicho kikijiandaa na mazoezi kuelekea mchezo ujao wa ligi dhidi ya Njombe.Mkude aliumia wakati akiwania mpira na kiungo mshambuliaji, Mzamiru Yassin na kuepelekea kuanguka chini kisha kutolewa nje ya Uwanja wa Boko Vetarani.Kufuatia kuumia huko, kwa mujibu wa Afisa Habari wa Simba, Haji Manara, Daktari wa timu hiyo, Yassin Gembe, alisema Mkude hajapata maumivu makali, na anaweza akarejea baada ya siku mbili mpaka tatu.Wakati Simba inajiandaa kuivaa Njombe Mji, Aprili 3 2018, kumekuwa na hofu kubwa kwa mashabiki kama ataweza kurejea mapema, japo majibu ya Daktrari yameeleza hatachukua muda mrefu.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
GOOD NEWS>>>Mkwanja wa PSG wamng’oa Neymar Barca.Fahamu zaidi hapa.
PESA inaongea bwana, asikwambia tu. Barcelona inatikiswa kuhusu
Mbrazili wake, Neymar na safari hii ngoma imekuwa nzito. Mbrazili huyo
anachapa lapa.
Manchester United, Manchester City zimekuwa na uchokozi wa kumtaka
… Read More
PICHA:7: YANGA IKIFANYA MAZOEZI USIKU HUKO UTURUKI.
Kikosi cha Yanga kipo nchi Uturuki kikiendelea kujifua kwa mazoezi
chini ya benchi la ufundi linaloongozwa na kocha mholanzi Hans van der
Pluijm akisaidiwa na mzalendo Juma Mwambusi.
Usiku wa jana Yanga walifanya mazoez… Read More
#BAD NEWS>>>>BEKI WA ZAMANI WA MTIBWA SUGAR ACHOMWA KISU AKIAMUA UGOMVI, MUUAJIA AMUUA PIA SHEMEJI YAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
MABULA (KULIA) AKIPAMBANA NA IDDI MOSHI WA YANGA KATIKA MICHUANO YA TUSKER KWENYE UWANJA WA TAIFA (SASA UHURU) MWAKA 2000).
Taarifa ya msiba, inaeleza beki wa zamani wa Shinyanga Shooting na Mtibwa Sugar, John Ma… Read More
ISHU YA TELELA KUTEMWA YANGA IMEGUSA WENGI, ULIMWENGU NDANI.Fahamu zaidi hapa.
Ile ‘ishu’ ya Salum Telela kutoongezwa mkataba mpya mpya (kutemwa) na
klabu ya Yanga imeendelea ku-trend kwenye mitandao ya kijamii nah ii ni
baada ya nyota wa Tanzania Thomas Ulimwengu anayecheza soka la kulipwa
kweny… Read More
PLUIJM HATAKI UTANI, BAADA YA SAFARI YA SAA 9 HADI ANTALYA, YANGA IMETUA NA MOJA KWA MOJA IMEANZA MAZOEZI.Fahamu zaidi hapa.
Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm, hataki mchezo na anajua ugumu wa michuano ya Kombe la Shirikisho hatua ya robo fainali.
Ndiyo
maana baada ya timu yake kusafiri kwa saa takribani tisa kutoka Dar es
Salaam hadi I… Read More
0 comments:
Post a Comment