Home »
Burudani
» Zinaweza zikafungiwa nyimbo zetu zikachezwa za kina Nicki Minaj – Diamond.
Zinaweza zikafungiwa nyimbo zetu zikachezwa za kina Nicki Minaj – DiamondMsanii Diamond Platnumz bado anaonekana kutokubaliana na uamuzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) wa kuzifungia nyimbo zake mbili ambazo ni Waka na Hallelujah.Muimbaji huyo akizungumza na Classic FM nchini Kenya amesema serikali ni lazima iangalie maudhui ya wimbo husika na msanii husika nini hasa alilenga.
“Huwezi kuimba nyimbo za mapenzi usitaje maneno ya kimahaba, ni uongo kwa sababu utakuwa haufikishi ujumbe,” amesema.
“Nyimbo kama Waka na Hallelujah ni nyimbo ambazo nilifikiria kufanya kitu ili soko lingine watusikilize, serikali lazima ielewe. Na kinachouma zaidi zinaweza zikafungiwa nyimbo zetu zikachezwa za kina Nick Minaj, so ni lazima tuangalie,” amesisitiza Diamond.
February 28 mwaka huu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilipokea list ya nyimbo 15 zisizokuwa na maadili kutoka kwa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) na kuamuru kutopigwa katika vyombo vya habari. Katika list hiyo Nay wa Mitego alifungiwa nyimbo tatu na Diamond nyimbo mbili.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
Kudadeki..Diamond Afanya Kufuru ya Pesa,Anunua Cheni na Pete kwa Milioni 158.Fahamu zaidi hapa.
Pete na cheni mpya za Diamond Platnumz alizozivaa kwa wakati mmoja zina thamani ya shilingi milioni 158!
Hitmaker huyo wa Marry You amepost Instagram picha mbili zikionesha madini hayo kwa kile anachosema kuwainspire ma… Read More
#Breaking News>>>>Rais magufuli aruhusu wimbo wa NAY WA MITEGO upigwe,na Nay aachiwe huru.Fahamu zaidi hapa.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison
Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney wa
Mitego aliyekuwa akishikiliwa na Jeshi hilo.
Waziri Mwakyembe ameishauri pia BASATA kuond… Read More
Mwakyembe Ameliagiza Jeshi la Polisi Kumuachia Huru Msanii Ney wa Mitego.Fahamu zaidi hapa.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe,
ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney wa Mitego.
Waziri ameishauri BASATA kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo huo, na badala yake uendelee… Read More
Alicho andika Professor J baada ya wimbo wa Rais kuruhusu Wimbo wa Nay wa Mitego.Fahama zaidi hapa.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
… Read More
Shilole Aporomosha Matusi Hadharani!..Fahamu zaidi hapa.
DAR ES SALAAM: Hakika neno aibu yake ndilo sahihi unapotaka kuelezea
madudu yaliyofanywa na staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ au
‘Shishi Trump’ baada ya kujikuta akiporomosha matusi mazito hadharani,
mbaya z… Read More
0 comments:
Post a Comment