AKIONGEA KUPITIA KITUO CHA TELEVISION CHA CLOUDS TV KUPITIA KIPINDI CHA SHILAWADU ,ALIULIZWA SWALI KUHUSU GHARAMA YA PAGE YAKE KAMA AKITAKA KUIUZA..BILA KUTAFUNA MANENO DIAMOND ALISEMA PAGE YAKE ANAWEZA KUUZA KWA BEI YA DOLA MILIONI 2 SAWA NA TSH BILIONI 4 ZA KITANZANIA.
Saturday, 1 October 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>Diamond Ataja Bei ya Kuuza Page yake ya Instagram Yenye Followers Milion 2.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>>Diamond Ataja Bei ya Kuuza Page yake ya Instagram Yenye Followers Milion 2.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Sina Mashaka na Chid Benz Namkubari Ila Kama Kaka Yake Sitaki Kumuona Anarudi Alipoangukia- Dudu Baya. Msanii mkongwe wa bongo fleva Dudubaya ameanza kujirudi na kumsifia rapa mwenzake Chid Benz kwa kuweza kukabiliana na hali aliyokuwa nayo awali ya matumizi ya dawa za kulevya. Dudubaya ameeleza hayo kupitia kipindi cha … Read More
Mahakama Imekataa Kupokea Vielelezo vya Msokoto wa Bangi Kwenye Kesi Inayomkabili Wema Sepetu. Bado kesi ya Mwigizaji Wema Sepetu kuhusu bangi inaendelea kwenye Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu Dar es salaam ambapo leo ilikua ni siku nyingine tena kesi hiyo imeendelea. Mpya ya leo ni kwamba Mahakama hiyo imekataa k… Read More
Kimenuka Diamond Azidi Kumpandisha Presha Zari. Siku ya September 14, 2017 mpiga picha maarufu wa Diamond Platnumz, Kifesi alipost picha ya boss wake Diamond kwenye ukurasa wake wa instagram Picha ambayo alimpiga yeye, baada ya post hiyo mzazi mwenza na mpenzi wa Dia… Read More
Idris Aingia Kwenye Skendo Mpya ya Kuwachanganya Wema na Sanchi. MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Idris Sultan amekuwa kwenye tetesi nyingi ambazo zimekuwa zikiendelea kila kona juu ya maisha yake, ikiwemo mamilioni aliyoyavuna kwenye Jumba la Big Brother ‘Hotshots’ kwamba yamepukutishwa n… Read More
Chidi Benz achanganyikiwa, adai ametoka Cuba kufanya wimbo na 2Pac, ameapa kumleta 2Pac bongo. Chidi Benz adai ametoka Cuba kufanya wimbo na 2Pac, ameapa kumleta 2Pac bongo hivi karibuni, na kila siku wanaongea kwa simu. Tazama Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment