Friday, 7 October 2016
#MICHEZO>>>GOLI LA VAN PERSIE LAWA GOLI BORA EPL.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Unakumbuka magoli ya ajabu ambayo aliyekuwa nyota wa zamani wa
Arsenal alitimka Emirate 2012 na kumfuata Ferguson baadae akachukua
ubingwa wa England kwa mara ya kwanza, huyu ni Robin Van Persie huwa
anafunga magoli ya ajabu ajabu sana haswa pale anapopata nafasi.
Related Posts:
#MICHEZO>>>>UFALME WA MESSI, RONALDO ULIVYO TOFAUTI UNAPOFIKA KATIKA MAJIJI YA BARCELONA, MADRID.FAHAMU ZAIDI HAPA. Kutoka Hispania UNAPOWAZUNGUMZIA washambuliaji wawili wa Lionel Messi na Cristiano Ronaldo nje ya miji ya Barcelona na Real Madrid, mambo yanakuwa tofauti kabisa na inavyokuwa ndani ya miji hiyo. Wote wawili, wan… Read More
#MICHEZO>>> Jose Mourinho Ampiga Mkwara Rashford.Fahamu zaidi hapa. MWACHENI Jose Mourinho na kiburi chake aisee. Ungeweza kudhani angetoa maneno ya kufariji kwa kinda Marcus Rashford baada ya juzi kuibuka na ushujaa wa dakika za mwisho katika pambano gumu dhidi ya Hull City ugenini. Mou… Read More
#MICHEZO>>>>JKT RUVU NA SIMBA NGUVU SAWA.FAHAMU ZAIDI HAPA. Baada ya kupata ushindi wa magoli 3-1 kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Ndanda FC, Simba SC imejikuta ikibanwa na maafande wa JKT Ruvu na kulazimishwa suluhu (0-0) katika mchezo wa ligi ku Tanzania bara uliomalizika … Read More
#MICHEZO>>>>RASHFORD AFUNGA BAO DAKIKA YA MWISHO, MAN UNITED YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 DHIDI YA HULL CITY.FAHAMU ZAIDI HAPA. Hull City (4-3-3): Jakupovic 7; Elmohamady 6, Davies 8, Livermore 6.5, Robertson 6; Huddlestone 6.5, Meyler 7, Clucas 6; Snodgrass 6.5 (Maloney 48 6), Hernandez 6.5 (Maguire 83), Diomande 6.5 Substitutes: Kuciak … Read More
#MICHEZO>>>>ALICHO ONGEA WYNE ROONEY BAADA YA KUSIKIA NDUGU YAKE KAPANDA MLIMA KILIMANJARO.FAHAMU ZAIDI HAPA. August 18 2016 ilikuwa ni siku ya kihistoria kwa Anthony McLoughlin ambaye ni shemeji wa mshambuliaji wa kimataifa wa England anayeichezea Man United Wayne Rooney, Anthony August 18 alifanikiwa kupanda mlima Kilimanjar… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment