KIMENUKAA..Jengo la Yanga Kupigwa Mnada..Kisa Deni la Milioni.
JENGO la makao makuu ya Klabu ya Yanga lililoko makutano ya mtaa wa
Jangwani na Twiga Kariakoo jijini Dar es Salaam, liko hatarini kupigwa
mnada kutokana na deni la Sh. milioni 300 ambalo klabu hiyo inadaiwa,
imefahamik…Read More
MBAO FC INAAMINI ITAITWANGA AZAM FC NA KUBAKI LIGI KUU BARA.
Mbao FC ina uhakika wa kufanya vizuri na kubaki Ligi Kuu Bara na kazi hiyo inaanza kesho Jumamosi.
Mbao ina imani mechi yao dhidi ya Azam FC ugenini, tena usiku itakuwa ngumu lakini watafanfa vema.
“Itakuwa mechi ngumu…Read More
0 comments:
Post a Comment