Hatimae leo Msiba wa Masaburi umewakutanisha Lowassa na Kikwete. Kinyume na matarajio ya Wengi kwamba wawili hawa hawaongei kutokana na bifu zao za kisiasa lakini walipo kutana wamekumbatiana wamecheka kwa bashasha sana bila shaka kesho magazeti mengi yatauza picha yao.
Monday, 17 October 2016
Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>>HIVI NDIVYO LOWASA ALIVYO KUTANA NA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE LEO HII.FAHAMU ZAIDI HAPA.
#YALIYOJIRI>>>>HIVI NDIVYO LOWASA ALIVYO KUTANA NA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE LEO HII.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Related Posts:
MBUNGE wa Arumeru mashariki Joshua Nassari aifagilia serikali ya awamu ya tano.Fahamu zaidi hapa. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki, Mheshimiwa Joshua Nassari amepongeza na kusifu jitihada kubwa zianazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kuwaletea maendeleo wananchi wa maeneo mbalimbali nchini wakiwemo wa j… Read More
Polisi yamnasa mtuhumiwa Sugu wa utapeli Tanzania.Fahamu zaidi hapa. Jeshi la Polisi nchini limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa utapeli anayejulikana kwa jina la Wilfred Masawe (36) , mkazi wa Buza, Temeke jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotole… Read More
Jeshi la Polisi Lasema Linaendelea kuchunguza alipo msaidizi wa Mbowe, Ben Saanane.......Latoa ufafanuzi kuhusu maiti saba.Fahamu zaidi hapa. Ukiwa umetimia mwezi mmoja, baada ya Msaidizi wa Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benard Saanane (pichani) kupotea, Jeshi la Polisi limesema linachunguza taarifa za kup… Read More
Rais wa Gambia: Hakuna wa kunitoa Madarakani, labda Mungu Pekee.Fahamu zaidi hapa. Rais wa Gambia Yahya Jammeh amesema kuwa atakataa jaribio lolote la viongozi wa eneo la magharibi mwa Afrika la kumlazimisha kuondoka madarakani licha ya kushindwa katika uchaguzi na mpinzani wake, Adama Barrow. Akih… Read More
Mahakama Kuu Yakubali Ombi la Godbless Lema Kuongezewa Muda wa Rufaa ya Dhamana Yake.Fahamu zaidi hapa. Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, imelikubali ombi la Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema, la kuongezewa muda wa kuwasilisha Notisi ya nia ya kukata rufaa ya dhamana yake. Akitoa uamuzi wake kuanzia saa 12:… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment