Monday, 3 July 2017

SIO Siri Tena Hamisa Mobeto Aweka Wazi Ujauzito Wake ni wa Diamond Platnumz.

Stori ambayo imekuwa ikitrend kwenye mitandao mbalimbali ni kuhusu Mwanamitindo wa Bongo Hamisa Mobetto kudaiwa kutoka kimapenzi na Mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz huku pia ikielezwa kuwa na ujauzito wa staa huyo lakini Hamisa Mobetto ameamua kuuweka hadharani ukweli kuhusu ujauzito huo.

Kupitia Instagram yake leo July 3, 2017 Hamisa amepost picha mbili tofauti ambapo akiandika kwenye picha ya kwanza “Mamaa, Angalizo Ushauri peleka angaza.” Na picha ya pili akaandika: “Mama Daa…. Mama Dee….. Mama Diii…..  Mama Doo… Mama Duu….”
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment