Friday 15 September 2017

Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea Augua Ghafla Apumzishwa Kwa Uangalizi.

Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea ameugua ghafla na kupumzishwa katika Zahanati ya Bunge baada ya kujisikia vibaya.

Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea .
Saed Kubenea leo alienda Mjini Dodoma kwa ajili ya kuripoti bungeni lakini kwa bahati mbaya alijisikia vibaya na kuelekea katika Zahanati ya Bunge ili apatiwe matibabu.

Kubenea amepumzishwa katika Hospitali ya bunge mjini Dodoma japo mpaka sasa bado haijafahamika nini hasa kinachomsumbua.


TOA MAONI YAKO

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment