DOWNLOAD WIMBO WA ISHA MASHAUZI MWANAMKE MPANGO MZIMA.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza...
DOWNLOAD WIMBO WA ROSE MUHANDO - TAWALA.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza...
February 22 2017 kupitia Leo Tena ya Clouds FM Heka Heka ilitokea Tegeta Kibaoni Dar es salaam ambapo Mtoto mchanga aliibwa na watu ambao hawakufaamika..Sasa Leo February 28 zikiwa zimepita siku sita mtoto huyo amepatikana makaburini.
Mtoto huyo apatikana akiwa ametelekezwa makaburini akiwa kwenye mfuko maeneo ya Ununio ambapo watu...
Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ametoa ufafanuzi
juu ya kauli iliyonukuliwa ikionyesha kuwa alipinga vita dhidi ya dawa
za kulevya iliyoanzishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Amedai kuwa hakupinga vita hiyo bali alitaka busara itumike kwa
washukiwa.
Waziri
Nape alitoa ufafanuzi huo katika kipindi cha dakika 45 cha ITV,...
Nyumba ya mama Wema Sepetu, Mariam Sepetu, iliyopo Sinza Mori jijini Dar
es salaam usiku wa kuamkia jana imepigwa mawe juu ya bati kwa muda wa
saa moja na nusu.
Kutokana na tukio hilo viongozi wa Chadema wamechukua hatua ya kuweka
ulinzi mkali nyumbani hapo na kuzungumza kuwa wamegundua kitu ambacho
hawatakiweka wazi kwa sasa.
Baada ya tukio hilo kutokea mama Sepetu...
Huu ni mwezi mbaya kwa mchekeshaji Steve Nyerere. Ni kwasababu kauli zake zimeendelea kumponza.
Hivi karibuni, kwenye mazungumzo yaliyovuja kati yake na mama yake na
Wema Sepetu, alidai kuwa hitmaker wa Siamini, TID alipewa fedha na mkuu
wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ili atoe hotuba kuhusu kuwa
mtumiaji wa dawa za kulevya.
Mnyama alimind mbaya na kutishia kumshtaki...
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa mapema leo 28 Februari 2017, ameongoza mkutano
wa siku moja wa watendaji wakuu na wenyeviti wa bodi za mashirika ya
umma, unaojadili nafasi za mashirika ya Umma katika utekelezaji wa
Mpango wa Pili ya Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano (2016/17-2020/21),
Unaofanyika Ikulu Jijini Dar e Salaam.
Mkutano
huo ulioandaliwa na...
Sasa Wema Sepetu na Batuli ni mbuzi na chui, urafiki ndio umefika
mwisho. Tukio hilo limetokea baada ya Wema kukasirishwa na kitendo cha
Batuli kusema kuwa yeye alishalipwa fedha zake za kampeni na CCM.
Kupitia mtandao wa Instagram, Wema Sepetu ameweka picha ya rafiki yake
huyo wa zamani na kuandika ujumbe ambao umeashiria kuwa urafiki wao ndio
basi tena.
“Neno Moja...
Mbunge
wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni mtoto wa rais mstaafu,
Dkt. Jakaya Kikwete ameeleza uhusiano uliopo kati ya baba yake na Waziri
Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuwa bado ni maswahiba.
Ridhiwani
ametoa ufafanuzi huo kutokana na imani iliyojengeka kuwa kuna uhasama
kati ya Dkt. Kikwete na Lowassa ambao awali walikuwa maswahiba wakubwa
kabla ya...
Timbulo amedai kuwa licha ya wimbo wake hivi karibuni kuvuja ikiwa na ID
ya label ya QS Mhonda, haimaanishi kuwa amesainishwa na label hiyo.
Akiongea na Pride FM, Timbulo amedai kuwa wimbo huo ulirekodiwa kipindi
ambacho walikuwa na makubaliano ya kufanya kazi pamoja na sio
kusainishwa. “Siwezi kusaini na QS, sio label ya muziki ambayo mimi
naiona inaweza kukuza muziki...
Download wimbo wa Nombo-Nalia.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza H...
Download wimbo wa JamboSquad - Mamiloo.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza...
Download wimbo wa Barakah Da Prince & Alex B Wasong - Sijui Raha.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me...
Download wimbo wa Tunda Man - Simba.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza ...
Baada ya Mahakama ya Rufani ya Tanzania iliyokaa Arusha kutupa Rufaa
zote mbili zilizofunguliwa na Serikali dhidi ya maamuzi ya Mahakama Kuu
Kanda ya Arusha kuhusiana na dhamana ya mbunge wa Arusha Mjini, Godbless
Lema, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amezungumza.
Kiongozi huyo wa ACT ametumia Facebook kutoa malalamiko yake:
Mnamkamata mtu kwa kosa lenye...
DAR ES SALAAM: Hapatoshi na joto la ugomvi linazidi kupanda kila kukicha
kufuatia mama wa mwigizaji Wema Isaac Sepetu, Mariam Sepetu kuingia
kwenye mgogoro mzito na Mwigizaji Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Wawili
hao wameingia kwenye mgogoro huo baada ya Steve kumtuhumu mama Wema
kuvujisha mazungumzo yao ya siri yaliyoshusha tuhuma nyingi kwa viongozi
mbalimbali...
Real
Madrid ililazimika kupigana kijeshi na kufunga mabao matatu ndani ya
dakina 19 ili kuepuka kipigo kutoka kwa Manyambizi wa Villarreal.
Tayari walikuwa nyumba kwa mabao 2-0, hali ambayo ilitishia “maisha” yao ndani ya La Liga. Mwisho wakashinda kwa mabao 3-2.
Wakalazimika
kufanya kazi ya ziada na kufunga mabao hayo matatu kupitia kwa Gareth
Bale,...
AGIZO la mkuu wa Wilaya ya Kinondini Mkoani Dar es salaam Ali Hapi,
kuzitaka baa zote zilizopo ndani Wilaya ya Kinondoni zinazojihusisha na
Biashara ya machangudoa kufungwa, Corner Baa ya Sinza Mori Jijini Dar es
Salaam imefungwa kwa sasa.
Ametoa agizo hilo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi wa
kata ya Kijitonyama waliodai kuwa kuna baadhi ya baa zimekuwa...
Ligi
Kuu ya Mpira wa Wanawake, hatua ya timu sita Bora (6), ilianza rasmi
jana kwa Mlandizi Queens ya Pwani kuilaza JKT Queens ya Dar es Salaam
mabao 3-2 katika mchezo wa awali mchana kabla ya ule wa jioni Sisterz ya
Kigoma kuifunga Fair Play ya Tanga mabao 5-1.
Ligi
hiyo inayochezwa Kituo kimoja cha Uwanja wa Karume, Ilala Dar es Salaam
inakutanisha timu sita...
Shabiki
wa Simba, mfanyakazi wa Hoteli ya Protea alianguka na kupoteza maisha
baada ya Shiza Kichuya kufunga bao la pili dhidi ya Yanga.
Simba ilitoka nyuma kwa bao moja, ikafunga mawili kupitia Laudit Mavugo na Kichuya na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.
Suleiman Victor alikuwa akisikiliza mpira kupitia redio ya EFM, alianguka na kupoteza maisha wakati akishangilia.
Wafanyakazi...
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chauma), Hashim Rungwe,
amemtembelea Mbunge wa Arusha Mjini, Godbles Lema (Chadema), ambaye
bado yuko mahabusu katika Gereza la Kisongo mkoani Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha jana baada ya kuonana
na mbunge huyo, Rungwe alisema baadhi ya matatizo yanayotokea kwenye
jamii yanasababishwa...
Chama
cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), kimesema kipo kwenye maandalizi
ya kumkabidhi kadi mrembo wa Tanzania mwaka 2006, Wema sepetu, pamoja na
kundi lake lenye zaidi ya watu 500.
Wema
alikuwa mmoja kati ya wanachama maarufu wa CCM katika kundi la wasanii
wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka juzi kwa
kaulimbiu ya ‘mama ongea na mwanao’.
Akiwa...
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema itamchukulia
hatua muwekezaji aliyetoa ardhi kwa serikali ya mkoa wa dar es Salaam
kwa ajili ya ujenzi wa viwanda, kwa madai kuwa ardhi aliyoitoa siyo
yake.
Waziri wa wizara hiyo, William Lukuvi, ametoa kauli hiyo leo jijini Dar
es Salaam na kufafanua kuwa muwekezaji huyo aliidanganya serikali pamoja
na kumdanganya...
Siku kadhaa
baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kusema kuwa hawezi
kujibu madai ya mitandao ya kijamii kuwa alitumia vyeti vya mtu cha
kidato cha nne, Askofu Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima ameibuka na
kusema kuwa ni kweli alitumia vyeti hivyo.
Askofu
Gwajima amesema kuwa anamfahamu sana Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na
kuwa jina lake halisi...