Tuesday, 28 February 2017

DOWNLOAD WIMBO WA ISHA MASHAUZI UNAOITWA "MWANAMKE MPANGO MZIMA".

DOWNLOAD WIMBO WA ISHA MASHAUZI MWANAMKE MPANGO MZIMA. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA ROSE MUHANDO UNAOITWA "TAWALA".

DOWNLOAD WIMBO WA ROSE MUHANDO - TAWALA. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

HEKAHEKA: Mtoto mchanga aliyeibwa Tegeta apatikana Makaburini Ununio.Fahamu zaidi hapa.

February 22 2017 kupitia Leo Tena ya Clouds FM Heka Heka ilitokea Tegeta Kibaoni Dar es salaam ambapo Mtoto mchanga aliibwa na watu ambao hawakufaamika..Sasa Leo February 28 zikiwa zimepita siku sita mtoto huyo amepatikana makaburini. Mtoto huyo apatikana akiwa ametelekezwa makaburini akiwa kwenye mfuko maeneo ya Ununio ambapo watu...

Waziri Nape: Sikupinga vita dhidi ya biashara ya dawa za kulevya bali nilishauri busara itumike.Fahamu zaidi hapa.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ametoa ufafanuzi juu ya kauli iliyonukuliwa ikionyesha kuwa alipinga vita dhidi ya dawa za kulevya iliyoanzishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Amedai kuwa hakupinga vita hiyo bali alitaka busara itumike kwa washukiwa. Waziri Nape alitoa ufafanuzi huo katika kipindi cha dakika 45 cha ITV,...

Chadema yaweka ulinzi mkali nyumba ya mama Wema......Ni Baada ya Nyumba Hiyo Kupigwa Mawe Usiku.Fahamu zaidi hapa.

Nyumba ya mama Wema Sepetu, Mariam Sepetu, iliyopo Sinza Mori jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia jana imepigwa mawe juu ya bati kwa muda wa saa moja na nusu. Kutokana na tukio hilo viongozi wa Chadema wamechukua hatua ya kuweka ulinzi mkali nyumbani hapo na kuzungumza kuwa wamegundua kitu ambacho hawatakiweka wazi kwa sasa. Baada ya tukio hilo kutokea mama Sepetu...

Steve Nyerere sio staa kwangu, ni panya – TID.Fahamu zaidi hapa.

Huu ni mwezi mbaya kwa mchekeshaji Steve Nyerere. Ni kwasababu kauli zake zimeendelea kumponza. Hivi karibuni, kwenye mazungumzo yaliyovuja kati yake na mama yake na Wema Sepetu, alidai kuwa hitmaker wa Siamini, TID alipewa fedha na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ili atoe hotuba kuhusu kuwa mtumiaji wa dawa za kulevya. Mnyama alimind mbaya na kutishia kumshtaki...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afungua mkutano wa watendaji Wakuu wa Mashirika ya umma,Ikulu.Fahamu zaidi hapa.

Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa  mapema leo 28 Februari 2017, ameongoza mkutano wa siku moja wa watendaji wakuu na wenyeviti wa bodi za mashirika ya umma, unaojadili nafasi za mashirika ya Umma katika utekelezaji wa Mpango wa Pili ya Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano (2016/17-2020/21), Unaofanyika Ikulu Jijini Dar e Salaam. Mkutano huo ulioandaliwa na...

Wema Sepetu amchinjia baharini Batuli.Fahamu zaidi hapa.

Sasa Wema Sepetu na Batuli ni mbuzi na chui, urafiki ndio umefika mwisho. Tukio hilo limetokea baada ya Wema kukasirishwa na kitendo cha Batuli kusema kuwa yeye alishalipwa fedha zake za kampeni na CCM. Kupitia mtandao wa Instagram, Wema Sepetu ameweka picha ya rafiki yake huyo wa zamani na kuandika ujumbe ambao umeashiria kuwa urafiki wao ndio basi tena. “Neno Moja...

Ridhiwani Aanika uhusiano wa Jakaya Kikwete na Lowassa.....Asimulia Jinsi Aliyopigiwa Simu na Baba Yake Baada ya Kupiga Picha na Lowassa.Fahamu zaidi hapa.

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni mtoto wa rais mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete ameeleza uhusiano uliopo kati ya baba yake na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuwa bado ni maswahiba. Ridhiwani ametoa ufafanuzi huo kutokana na imani iliyojengeka kuwa kuna uhasama kati ya Dkt. Kikwete na Lowassa ambao awali walikuwa maswahiba wakubwa kabla ya...

Mwanamuziki Timbulo Aiponda Label ya QS Mhonda...Adai Haijui Muziki ndio Imempotezea Muda Q Chief.Fahamu zaidi hapa.

Timbulo amedai kuwa licha ya wimbo wake hivi karibuni kuvuja ikiwa na ID ya label ya QS Mhonda, haimaanishi kuwa amesainishwa na label hiyo. Akiongea na Pride FM, Timbulo amedai kuwa wimbo huo ulirekodiwa kipindi ambacho walikuwa na makubaliano ya kufanya kazi pamoja na sio kusainishwa. “Siwezi kusaini na QS, sio label ya muziki ambayo mimi naiona inaweza kukuza muziki...

Monday, 27 February 2017

Download wimbo mpya wa Nombo unaoitwa "Nalia".

Download wimbo wa Nombo-Nalia. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza H...

Download wimbo mpya wa JamboSquad unaoitwa "Mamiloo".

Download wimbo wa JamboSquad - Mamiloo. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

Download wimbo wa Barakah Da Prince & Alex B Wasong unaoitwa "Sijui Raha".

Download wimbo wa Barakah Da Prince & Alex B Wasong - Sijui Raha. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me...

Download wimbo mpya wa Tunda Man unaoitwa "Simba".

Download wimbo wa Tunda Man - Simba. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza ...

Zitto Kabwe Aandika Ujumbee Huu Baada Ya Godbless Lema Kunyimwa Dhamana.Fahamu zaidi hapa.

Baada ya Mahakama ya Rufani ya Tanzania iliyokaa Arusha kutupa Rufaa zote mbili zilizofunguliwa na Serikali dhidi ya maamuzi ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kuhusiana na dhamana ya mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amezungumza. Kiongozi huyo wa ACT ametumia Facebook kutoa malalamiko yake: Mnamkamata mtu kwa kosa lenye...

Steve Nyerere, Mama Wema Wafika Pabaya.Fahamu zaidi hapa.

DAR ES SALAAM: Hapatoshi na joto la ugomvi linazidi kupanda kila kukicha kufuatia mama wa mwigizaji Wema Isaac Sepetu, Mariam Sepetu kuingia kwenye mgogoro mzito na Mwigizaji Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Wawili hao wameingia kwenye mgogoro huo baada ya Steve kumtuhumu mama Wema kuvujisha mazungumzo yao ya siri yaliyoshusha tuhuma nyingi kwa viongozi mbalimbali...

NDANI YA DAKIKA 19, MADRID WAPIGA MABAO MATATU NA KUYAANGUSHA MANYAMBIZI 3-2 LA LIGA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Real Madrid ililazimika kupigana kijeshi na kufunga mabao matatu ndani ya dakina 19 ili kuepuka kipigo kutoka kwa Manyambizi wa Villarreal. Tayari walikuwa nyumba kwa mabao 2-0, hali ambayo ilitishia “maisha” yao ndani ya La Liga. Mwisho wakashinda kwa mabao 3-2. Wakalazimika kufanya kazi ya ziada na kufunga mabao hayo matatu kupitia kwa Gareth Bale,...

Hali Ilivyo Corner Baa Sinza Baada ya Agizo la Kufungwa Kutokana na Biashara za Machangudoa Kushamiri.Fahamu zaidi hapa.

AGIZO la mkuu wa Wilaya ya Kinondini Mkoani Dar es salaam Ali Hapi, kuzitaka baa zote zilizopo ndani Wilaya ya Kinondoni zinazojihusisha na Biashara ya machangudoa kufungwa, Corner Baa ya Sinza Mori Jijini Dar es Salaam imefungwa kwa sasa. Ametoa agizo hilo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi wa kata ya Kijitonyama waliodai kuwa kuna baadhi ya baa zimekuwa...

LIGI KUU YA WANAWAKE, RATIBA YOTE HII HAPA.

Ligi Kuu ya Mpira wa Wanawake, hatua ya timu sita Bora (6), ilianza rasmi jana kwa Mlandizi Queens ya Pwani kuilaza JKT Queens ya Dar es Salaam mabao 3-2 katika mchezo wa awali mchana kabla ya ule wa jioni Sisterz ya Kigoma kuifunga Fair Play ya Tanga mabao 5-1. Ligi hiyo inayochezwa Kituo kimoja cha Uwanja wa Karume, Ilala Dar es Salaam inakutanisha timu sita...

BAO LA KICHUYA LILIVYOKATISHA UHAI WA SHABIKI SIMBA MFANYAKAZI WA HOTELI.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Shabiki wa Simba, mfanyakazi wa Hoteli ya Protea alianguka na kupoteza maisha baada ya Shiza Kichuya kufunga bao la pili dhidi ya Yanga. Simba ilitoka nyuma kwa bao moja, ikafunga mawili kupitia Laudit Mavugo na Kichuya na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1. Suleiman Victor alikuwa akisikiliza mpira kupitia redio ya EFM, alianguka na kupoteza maisha wakati akishangilia. Wafanyakazi...

Lema Yupo Gerezani Kwa Sababu Isiyo na Msingi..Ila Hawajui Wanazidi Kumkomaza Kisiasa-Rungwe.Fahamu zaidi hapa.

Mwenyekiti  wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chauma), Hashim Rungwe, amemtembelea Mbunge wa Arusha Mjini, Godbles Lema (Chadema), ambaye   bado yuko mahabusu katika Gereza la Kisongo mkoani Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari  mjini Arusha jana baada ya kuonana na mbunge huyo, Rungwe alisema baadhi ya matatizo yanayotokea kwenye jamii yanasababishwa...

CHADEMA Wamwandalia Sherehe Wema Sepetu.......Wapambe Wake 500 Wanaomuunga Mkono Kumfuata.Fahamu zaidi hapa.

Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), kimesema kipo kwenye maandalizi ya kumkabidhi kadi mrembo wa Tanzania mwaka 2006, Wema sepetu, pamoja na kundi lake lenye zaidi ya watu 500. Wema alikuwa mmoja kati ya wanachama maarufu wa CCM katika kundi la wasanii wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka juzi kwa kaulimbiu ya ‘mama ongea na mwanao’. Akiwa...

Serikali Yasema Makonda Aliingizwa 'Mkenge.Fahamu zaidi hapa.

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema itamchukulia hatua muwekezaji aliyetoa ardhi kwa serikali ya mkoa wa dar es Salaam kwa ajili ya ujenzi wa viwanda, kwa madai kuwa ardhi aliyoitoa siyo yake. Waziri wa wizara hiyo, William Lukuvi, ametoa kauli hiyo leo jijini Dar es Salaam na kufafanua kuwa muwekezaji huyo aliidanganya serikali pamoja na kumdanganya...

AUDIO: Askofu Gwajima aelezea sakata zima la Makonda kutumia vyeti vya mtu mwingine.Fahamu zaidi hapa.

Siku kadhaa baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kusema kuwa hawezi kujibu madai ya mitandao ya kijamii kuwa alitumia vyeti vya mtu cha kidato cha nne, Askofu Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima ameibuka na kusema kuwa ni kweli alitumia vyeti hivyo. Askofu Gwajima amesema kuwa anamfahamu sana Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na kuwa jina lake halisi...