Wednesday, 30 March 2016

BREAKING NEWS>>>Gerald Hando, Paul James waacha kazi Clouds FM.Fahamu zaidi hapa.

Watangazaji hao, Gerald Hando na Paul James, maarufu kwa jina la PJ, hawakushiriki kwenye kipindi cha jana asubuhi na Mwananchi ilithibitishiwa baadaye kuwa wamemaliza mikataba yao na uongozi wa kituo hicho hauna mpango wa kuwabakiza. Dar es Salaam. Watangazaji wawili wa kipindi maarufu cha Power Breakfast kinachorushwa ...

Train la abilia lasimama kituo cha Barkhresa kwa muda wa saa moja kupisha Train linalotoka Kigoma.Fahamu zaidi hapa.

 Train la abilia linalofanya  safari zake kutoka Station mpaka Ubungo Maziwa lasimama saa moja nanusu kupisha train linalotoka  Kigoma huku baadhi ya abilia wakilalamika kukaa muda mrefu kituo cha Buguruni Barkhresa huku abilia wakiambiwa wasubili Train linalotoka Kigoma lipite muda wa jioni.  ...

Download ngoma ya Navy Kenzo inayoitwa "Kamatia".Hapa hapa.

...

Zifahamu nchi 10 za Afrika zenye wanawake warembo, Tanzania ikiwemo.Fahamu zaidi hapa.

 Afrika ni bara zuri ambalo limejaa tamaduni mbali mbali, Lugha na watu wa kila aina. Kama ilivyo kila kitu kinakuzidiana, Hivyo katika nchi zilizomo ndani ya bara la Afrika kuna nchi ambazo zinaongoza kuwa na wanawake wenye mvuto. Tunavyo ongelea 'Wazuri/Warembo' hapa ndipo mchanganyano unapo tokea maana ni neno kubwa sana na zito. Kila moja huona uzuri kwa tofauti...

#YALIYOJIRI>>> Tanzania yapokea msaada wa shilingi bilioni 116.4 kutoka Japan.Fahamu zaidi hapa.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini hati mbili za makubaliano na Serikali ya Japan itakayoiwezesha Tanzania kupata kiasi Yen Bilioni 6 ambazo ni sawa na Sh. Bilioni 116.4 za Kitanzania. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kusaini hati hizo, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Servacius Likwelile alisema mkataba wa kwanza utasaidia...

#YALIYOJIRI>>>Diwani wa CHADEMA Apeta Mahakamani, wa CCM Chali baada ya Pingamizi Lake Kutupwa.Fahamu zaidi hapa.

Mahakama  ya Hakimu Mkazi Arusha imetupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya udiwani katika kata ya Musa wilayani Arumeru Magharibi iliyofunguliwa na mgombea wa CCM, Flora Zelote dhidi ya diwani wa Chadema, Loth Laizer. Akitoa uamuzi wa hukumu hiyo iliyosomwa jana na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Mwamkuga Gunta, alisema haoni kama kuna kasoro yoyote katika...

#YALIYOJIRI>>>Waziri wa Ujenzi Prof. Mbarawa afanya ziara ya kushtukiza KOJ Kurasini.Fahamu zaidi hapa.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amemuagiza Kaimu Meneja Msaidizi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Nelson Mlali kufanya uhakiki wa kampuni zinazotoa huduma mbalimbali bandarini ili kuboresha utendaji kazi na kuepuka mgongano wa maslahi binafsi minongoni wa watumishi wa bandari. Profesa Mbarawa alitoa kauli hiyo baada ya kufanya...

Mwimbaji Rose Mhando Ashtakiwa Kwa Waziri Nape Juu ya Utapeli Anaofanya.Fahamu zaidi hapa.

Msanii wa nyimbo za injili nchini, Rose Mhando, ameshtakiwa kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, kwa kitendo cha utapeli na kushindwa kutekeleza mkataba wa kuhudhuria na kutumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka lililofanyika jijini Mwanza licha ya kulipwa gharama zote alizotaka. Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions inayoongozwa na...

#YALIYOJIRI>>>>Waliompiga Daktari Mkoani Mtwara Wakamatwa Wakijiandaa Kutoroka Kwenda Nje ya Nchi.Fahamu zaidi hapa.

Kufuatia tukio la ndugu wa mgonjwa  kumpiga Daktari Mkoani Mtwara, tayari jeshi la Polisi Mkoani humo linawashikilia watu kadhaa kwa kitendo hicho cha kumpiga Daktari wakati akiwa katika majukumu yake ya kikazi. Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara,Henry Mwaibambe (Pichani) amesema hadi sasa watu 2 wanaotuhumiwa kumpiga daktari hospitali ya Mkoa wamekamatwa usiku ...

#MICHEZO>>>HATIMAYE NIGERIA WATOLEWA NA MISRI KWA KUPIGWA GOLI 1 BILA ..ZAMU YA TANZANIA KUJITAHIDI SASA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Kwa Matokeo ya leo Nigeria wametolewa kwenye Mchakato wa Mashindano ya AFCON 2017. Nafikiri wakatusaidia Lagos....

#YALIYOJIRI>>> Waziri wa Mambo ya nje, Balozi Mahiga Asema Serikali imesikitishwa na Kusitishwa kwa Msaada wa Mabilioni ya Marekani.Fahamu zaidi hapa.

Serikali imeeleza kusikitishwa na uamuzi wa Marekani kusitisha uhusiano katika Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), bila kuishirikisha wala kuisikiliza. Kadhalika, imesema hakuna umuhimu wa misaada ya afya na elimu inayofadhiliwa na Marekani kwa dola za Marekani milioni 700 (Sh. trilioni 1.5), kama imejitoa katika kusaidia miradi ya umeme ambayo ni muhimu...

Sunday, 27 March 2016

Profesa Jay Afunguka Kuhusu Chid Benz.Fahamu zaidi hapa.

Mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Haule ‘Profesa Jay’ (pichani) amesema hali ya Mbongo Fleva, Rashid Abdallah Makwiro (31) ‘Chid Benz’ ni matokeo ya matumizi yaliyobebea ya madawa ya kulevya ‘unga’, Amani lina mchirizi wake.  Hivi karibuni, Chid Benz aliripotiwa na baadhi ya mitandao ya kijamii akionekana na hali...

Dogo Janja amchana Young Dee, Amwambia asilete uteja wake kwenye picha za watu.Fahamu zaidi hapa.

Baada ya diss za mtandaoni hatimaye dogo janja amefunguka wazi kuchukizwa na kitendo cha rapa Young dee kudiss post ya Babu tale kuhusu chid benz akimtaka young dee kuacha kuleta #Uteja wake kwenye issue za watu. Akizungumza na planetbongo dogo janja amesema amechukizwa na kukerwa kitendo cha young dee cha kudiss video ya babu tale iliyoelezea uamuzi wake wa kumsaidia...

Polisi Wavamia Nyumba ya Davido Marekani...Mashabiki Wamuokoa Asikamatwe.Fahamu zaidi hapa.

Mkali wa muziki nchini Nigeria, David Adeleke ‘Davido’, amedai kwamba kutokukamatwa kwake na polisi kumetokana na mashabiki wake. Wiki iliyopita, Davido alikuwa kwenye nyumba yake nchini Marekani, lakini polisi walikuwa na wasi wasi na msanii huyo kumiliki nyumba hiyo kwa kuwa walikuwa hawamjui kama yeye ni msanii. “Niwe muwazi, mashabiki wangu wamenisaidia baada ya...

DOGO JANJA AWAPA ZAWADI YA GARI WAZAZI WAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Baada ya Dogo Janja kununuliwa gari mpya aina ya Mercedes Benz na bosi wake Madee na kumfanya kuwa na magari mawili, amedai gari lake la zamani anawapelekea wazazi wake. Hii ndio gari yake ya zamani ambayo amedai anaipeleka kwa wazazi wake Akiongea na Bongo5 hivi karibuni, Dogo Janja alisema kwa sasa hawezi kumiliki magari mawili hivyo gari lake la...