
Watangazaji
hao, Gerald Hando na Paul James, maarufu kwa jina la PJ, hawakushiriki
kwenye kipindi cha jana asubuhi na Mwananchi ilithibitishiwa baadaye
kuwa wamemaliza mikataba yao na uongozi wa kituo hicho hauna mpango wa
kuwabakiza.
Dar es Salaam.
Watangazaji wawili wa kipindi maarufu cha Power Breakfast kinachorushwa
...