Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>SHABIKI WA DORTMUND AFIA UWANJANI AKIISHANGILIA TIMU YAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kulikuwa na hali ya ukimya kwa muda wakati Borussia Dortmund ikipata
ushindi wa bao 2-0 mbele ya Mainz kwenye ligi ya Bundesliga siku ya
Jumapili.
Shabiki mmoja wa Dortmund alipata shambulio la moyo heart attack
wakati wa kipindi cha kwanza katika mchezo huo na hatimaye akapoteza
maisha.
Uwanja mzima uliokuwa na mashabiki zaidi ya 80,000 ulibaki kimya
pamoja na mashabiki wa Mainz waliosafiri kwenda kwenye dimba la Signal
Iduna Park kuishuhudia timu yako, wakifanya hivyo kwa kuheshimu
kilichomkuta shabiki mwenzao wa soka.
Kwenye dakika ya mwisho ya kipindi cha pili, mashabiki wa Dortmund
waliimba wimbo maarufu wa ‘You’ll Never Walk Alone’ ambao huimbwa na
mashabiki wa Liverpool.
Related Posts:
SIMBA Waendelea Kuivunja Yanga Vipande Vipande...Sasa Wahamia Kwa Donald Ngoma.
SIMBA imeanza mazungumzo na straika wa Yanga, Donald Ngoma ambaye
ameomba dola 80,000 sawa na Sh milioni 180 ili asaini mkataba wa
kuichezea timu yao msimu ujao.
Kama Simba itafanikiwa katika dili hili la Ngoma raia wa Z… Read More
OFISA TRA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA TFF.
MBIO
za kuwania uongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), zimezidi
kushika kasi baada ya Ofisa wa juu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),
Shija Richard kujitosa kuwania urais wa shirikisho hilo.
Shija
ambaye … Read More
USAJILI:Mashabiki wa Yanga SC Wachoma Jezi ya Niyonzima.
Kuondoka kwa mchezaji Haruna Niyonzima ndani ya klabu ya Yanga SC,
kumeonyesha kuwaumiza mashabiki wa klabu hiyo ambapo moja kati ya kundi
la mashabiki wameamua kuchoma jezi ya mchezaji huyo.
Mashabiki wakionekana kuicho… Read More
Picha: Jinsi Shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga alivyofariki katika ajali ya gari.
Shabiki
wa Yanga maarufu kwa jina la Ally Yanga amefariki dunia jana katika
ajali ya gari. Ally Yanga alijizolea umaarufu mkubwa katika tasnia ya
soka kotokana na jinsi alivyokuwa akivaa na kujichora pamoja na nam… Read More
Yanga Yashtuka, Yaanza Kumwekea Ulinzi Msuva.
KLABU ya Yanga, imesema kuwa, inamlinda kiungo wake mshambuliaji, Simon
Msuva dhidi ya watu wabaya wanaotaka kuharibu kipaji chake na kufuta
ndoto zake za kufika mbali kisoka.
Yanga wamefikia hatua hiyo baada ya kuwepo kw… Read More
0 comments:
Post a Comment