Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>SHABIKI WA DORTMUND AFIA UWANJANI AKIISHANGILIA TIMU YAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kulikuwa na hali ya ukimya kwa muda wakati Borussia Dortmund ikipata
ushindi wa bao 2-0 mbele ya Mainz kwenye ligi ya Bundesliga siku ya
Jumapili.
Shabiki mmoja wa Dortmund alipata shambulio la moyo heart attack
wakati wa kipindi cha kwanza katika mchezo huo na hatimaye akapoteza
maisha.
Uwanja mzima uliokuwa na mashabiki zaidi ya 80,000 ulibaki kimya
pamoja na mashabiki wa Mainz waliosafiri kwenda kwenye dimba la Signal
Iduna Park kuishuhudia timu yako, wakifanya hivyo kwa kuheshimu
kilichomkuta shabiki mwenzao wa soka.
Kwenye dakika ya mwisho ya kipindi cha pili, mashabiki wa Dortmund
waliimba wimbo maarufu wa ‘You’ll Never Walk Alone’ ambao huimbwa na
mashabiki wa Liverpool.
Related Posts:
#MICHEZO>>>>Simba yatoa kipigo kama Manchester United ilivyo ifunga Leicester hii leo.Fahamu zaidi hapa.
Simba na Manchester United zafanya kufulu leo baada Simba kushinda Simba 4-0 Maji maji na Manchester United kushinda Manchester United 4 - 1 Leicester City,Timu ya soka ya Simba yatamba uwanjani ikionekana inacheza mpira wa… Read More
#MICHEZO>>>>LIONEL MESSI KUIKOSA BARCELONA KWA WIKI TATU MFULULIZO.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Nahodha msaidizi wa Barcelona, Lionel Messi atakuwa nje ya uwanja kwa wiki tatu.
Hii ni baada ya kuumia nyonga katika mechi dhidi ya Atletico Madrid, juzi na ikaisha kwa sare ya bao 1-1.
Messi alitoka nje mwanzo… Read More
#MICHEZO>>>>>Manchester United yatoa kichapo Old Trafford.Fahamu zaidi hapa.
Manchester United ikiwa kwenye uwanja wake wa nyumbani Old Trafford yawafulaisha mashabiki wake baada ya kutoa kipigo cha 4 kwa 1
Goli la kwanza limefungwa na Chris Smalling Dakika ya 22,Goli la pili limefungwa na… Read More
#MICHEZO>>>>HII HALI MAGAIDI YAZUIA RAIA KUVAA JEZI ZA MAN UNITED, CHELSEA, REAL MADRID, BARCELONA, ARSENAL.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Wakazi
wa eneo la Al-Furat nchini Iraq, wamepigwa marufuku kuvaa jezi za timu
mbalimbali za Premier League ya England, Serie A ya Italia, Bundesliga
ya Ujerumani na La Liga ya Hispania.
Kundi
la Kigaidi la ISIS l… Read More
#MICHEZO>>>>SIKIA HII YA JB; YANGA WAKIJITAHIDI SANA, BASI WAMEPIGWA MBILI VS SIMBA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Muigizaji
wa Bongo Muvi, Steven Jacob ‘JB’ ambaye ni Simba ‘damu’, ametambia
kikosi chake kuwa lazima safari hii kilipize kisasi cha kufungwa na
Yanga msimu uliopita, huku akidai Yanga ikijitahidi itafungwa walau
kuanz… Read More
0 comments:
Post a Comment