Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe Keshawasili Jijini Mwanza Kwa Ajili ya Kikao cha Kumpata Mrithi wa Dr. Slaa.Fahamu zaidi hapa.
Mwenyekiti
wa chama cha Demokrsaia na Maendeleo (CHADEMA) akiwasili uwanja wa
ndege jijini Mwanza.kwaajili ya mkutano wa baraza kuu CHADEMA ambao
utamtangaza Katibu mkuu wa chama hicho kuchukua mikoba ya Dr. Slaa
Mwenyekiti Freeman Mbowe akisalimiana na viongozi mbalimbali wa CHADEMA mkoa wa Mwanza waliofika kumlaki uwanja wa ndege
Mwenyekiti wa baraza la wazee akiwasili uwanja wa ndege mwanza
Mwenyekiti
wa chadema akiwasili hotel ya Gold Crest ambako mkutano wa baraza kuu
chadema utafanyika.Kulia ni afisa habari wa chadema Tumaini Makene
Makamu katibu chadema Mh Salum Mwalimu akimpokea mwenyekiti
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo akijadili jambo na makamu katibu
Makamu katibu Mh Salum Mwalimu akimlaki kwa bashasha kubwa Makamu Mwenyekiti CHADEMA,Tanzania visiwani
Related Posts:
Korea Kaskazini: Tunaweza Kushambulia Eneo Lolote Marekani.
Korea Kaskazini imesema kuwa imefanikiwa kulifanyia majaribio kombora lake la masafa marefu ambalo linaweza kufika eneo lolote la Marekani.Runinga ya kitaifa nchini humo imesema kuwa Pyongyang sasa imefanikiwa kuafikia azim… Read More
Nyarandu Akanusha Taarifa Zinazosambazwa Kwenye Mitandao ya Kijamii.
WAKATI Bunge likimtema rasmi aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki (CCM), Lazaro Nyalandu, mwenyewe amejitokeza na kuponda habari zinazosambazwa kueleza ubaya akisema ni uzushi.Jana Nyalandu alisema taarifa zinazosambazwa k… Read More
Mabasi ya Mwendokasi Kupanua Wigo Sasa Hadi Sinza, Masaki.
WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) unatarajia kupanua wigo wa usafiri huo kwa kuongeza ruti za Sinza, masaki na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.Sambamba na ruti hizo, DART pia inatrajia kuongeza mabasi katika mfumo … Read More
Inasikitisha Baba Amtoa Kafara Mwanaye Amkata Sehemu za Siri kwa Shoka.
MTU mmoja huko mwenye umri wa miaka 39 huko Chhattisgarh, India, amemtoa kafara mwanaye mdogo katika kitendo cha ushirikiana kwa kumkata uume na sehemu za kichwa kwa shoka hadi kusababisha kifo chake, kwa madai ya kufukuza … Read More
Breaking News: Waziri Majaliwa Anasa Semi Trailer 44 Zilizokua Zinataka Kutolewa Kinyemela Bandalini Amuagiza IGP Sirro Kukamata Wamiliki.
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Novemba 29, 2017 amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simo Sirro kuwakamata Bw. Bahman wa Kampuni ya NAS na Wakala wa Kampuni wa Wallmark Bw. Samwel kwa kutaka kutoa Bandarini magari… Read More
0 comments:
Post a Comment