Mbwana Samatta mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji March 13 alipata nafasi ya kuanza na kikosi cha Genk kwa mara ya kwanza na hili ndio goli lake la kwanza akicheza first eleven na la pili toka ajiunge na klabu hiyo.
Monday, 14 March 2016
Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>Video ya goli la Mbwana Samatta alipoisaidia KRC Genk kuibuka na ushindi wa goli 4-1.Fahamu zaidi hapa.
#MICHEZO>>>Video ya goli la Mbwana Samatta alipoisaidia KRC Genk kuibuka na ushindi wa goli 4-1.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
ENGLAND WA KAWAIDA TU, OSCAR ATUA CHINA KAMA MFALME, KILA WIKI PAUNI 400,000.FAHAMU ZAIDI HAPA. Unaweza kusema kila mtu ana bahati yake, Mbrazili Oscar tayari ametua nchini China na kujiunga na klabu yake mpya ya Shanghai SIPGt. Klabu hiyo imemnunua kutoka Chelsea kwa day la pauni million 52. Ka… Read More
MANENO ya dogo aliyetangazwa ‘man of the match’ vs Yanga.Fahamu zaidi hapa. Nimefanikiwa kufanya mazungumzo mafupi na kijana mdogo Greyson Gerald ambaye alitangazwa kuwa man of the match wa mechi kati ya Yanga dhidi ya Jamhuri . Licha ya timu yake kupoteza kwa idadi kubwa ya magoli (ilifungwa 6-… Read More
HIKI ndicho kilichovunja ndoa ya Mkwasa na TFF.Fahamu zaidi hapa. TFF limesema, kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” Charles Boniface Mkwassa “Master” ni makubaliano ya kimkataba kwa pande zote mbili na hakukuwa na tofauti zozote ziliyojitokeza. … Read More
YANGA YAANZA MICHUANO YA MAPINDUZI KWA KISHINDO, YAIZAMISHA JAMHURI KWA MABAO 6-0, NGOMA, MSUVA WAKITAKATA.FAHAMU ZAIDI HAPA. Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga wameanza michuano ya Mapinduzi Cup kwa kishindo kwa kuwachapa Jamhuri kwa mabao 6-0. Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar, leo. Yanga ndiyo walitawal… Read More
#Breaking News>>>>Boniface Mkwasa sio kocha tena wa Taifa Stars.Fahamu zaidi hapa. Kocha mzawa ambae ameiongoza timu ya taifa kwa muda mrefu Chalres Boniface Mkwassa, sasa hivi sio tena kocha wa timu yetu ya taifa. Rais wa TFF ndugu Jamal Malinzi kupitia ukurasa wa twitter ametoa taarifa inayosomeka:&nb… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment