Home »
Michezo
» YANGA IMETINGA NUSU FAINALI YA SPORTPESA SUPER CUP BAADA YA KUING'OA TUSKER KWA MIKWAJU YA PENALTI.
Yanga imetinga nusu fainali ya Sports Pesa Super Cup kwa mikwaju ya penalti.
Yanga imeing'oa Tusker ya Kenya kwa mikwaju ya penalti 4-2 baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya bila bao.
Kipa wa Yanga, Deo Munishi maarufu kama Dida alichangia kung'olewa kwa Tusker baada ya kupangua moja ya mikwaju ya Wakenya hao.
Sasa Yanga itakutana na Wakenya wengine, safari hii ni AFC Leopards ambao wameing'oa Singida United kwa mikwaju ya penalti pia.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
#MICHEZO>>>YANGA BINGWA, MFUNGAJI BORA AMIS TAMBWE ‘MR. HAT-TRICK’ VPL 2015/16.Fahamu zaidi hapa.
Na Baraka Mbolembole
Mshambuliazi wa kimataifa raia wa Burundi, Amis Tambwe amefanikiwa
kuvunja rekodi yake mwenyewe ya magoli katika historia ya wachezaji wa
kulipwa katika ligi kuu Tanzania bara (VPL).
Mrundi huyo kw… Read More
#MICHEZO>>>>HUYU NDO MCHEZAJI MPYA WA Yanga,,ANA KASI NA NI FUNDI HASA.Fahamu zaidi hapa.
Yanga ambayo ilifanikisha usajili huo jijini Dar es Salaam siku ya
Jumatatu kwa dau la Sh30 mil, muda wa miaka miwili, ilifanya uchunguzi
wa kina na kujikuta wakiokota dodo chini mgomba baada ya kumfuata mlezi
wa mcheza… Read More
#MICHEZO>>>EXCLUSIVE: KESSY RASMI LEO ANATUA YANGA, ANASAINI NA KUPEWA JEZI YAKE.Fahamu zaidi hapa.
Kilichobaki kati ya Yanga na beki Hassan Kessy ni kuweka saini kwenye mkataba pekee.
Yanga na beki huyo ambaye mkataba wake Simba unakwisha,
wamefikia mwafaka baada ya kukubaliana kila kitu na leo matarajio
makubwa ata… Read More
#MICHEZO>>>USAJIRI Mchezaji wa timu ya Chelsea kutimkia Juventus.
Nemanja
Matic kutimkia Juventus,Inasemekana Chelsea Wameafikiana makubaliano ya
paundi milioni 20 na mabingwa hao wa Serie A.Kocha anaekuja kuchukua
mikoba ya Hiddink,muitaliano Conte hajaridhika na mchezaji huyo kubaki
… Read More
#MICHEZO>>>>LIVERPOOL YATINGA FAINALI EUROPA CUP, YAITWANGA VILLARREAL.Fahamu zaidi hapa.
Liverpool: Mignolet, Clyne, Toure, Lovren, Moreno, Can,
Lallana, Milner, Coutinho (Allen 83 mins), Sturridge (Lucas 92), Firmino
(Benteke 90)
Subs not used: Ward, Ibe, Skrtel, Smith
… Read More
0 comments:
Post a Comment