Tuesday, 11 October 2016

#YALIYOJIRI>>>>Makonda Awajibu Mawaziri Wanaohoji Anatafuta Nini.Fahamu zaidi hapa.

Mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda amesema kuna watu wanaohoji wakiwemo mawaziri kuwa anatafuta nini?
 
Yeye amesema hawezi kujizuia na anawajibu kuwa anatafuta kutimiza kusudi la Mungu kwenye nafasi aliyopewa, na kingine ni kuwapa heshima waliompa nafasi aliyonayo
 
Amesema kuna watu wengi walikuwa wanaongea kuhusu yeye kupewa nafasi ya ukuu wa mkoa wakati yeye ni mdogo na hataweza lakini licha ya hayo rais akamuamini na kumteua
 
Lingine amesema anataka aache alama kuwa kuna mtu alikuwa mkuu wa mkoa wa Dar na akafanya mambo kadhaa

Angalia Video

Related Posts:

  • Uchaguzi wa Marudio CCM Hapatoshi Vurugu Zatanda. Vurugu zimeibuka katika uchaguzi wa marudio wa kumpata mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM (UVCCM) Wilaya ya Nyamgana baada ya wajumbe kutoka Kata ya Mahina kuzuiwa kuingia ukumbini kupiga kura wakid… Read More
  • Inasikitisha Binti wa Darasa la Tatu Apewa Mimba. Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 13 wa darasa la tatu katika shule ya msingi Makutano, kitongoji cha Igole kijiji cha Makutano wilayani Kilombero amelazimika kukatizwa masomo yake kwa kufukuzwa shule baada ya kupewa ujauz… Read More
  • Kubenea Atoa Siku Mbili Serikali Kulifungulia Gazeti la Mwanahalisi. WAHARIRI wa Gazeti la MwanaHalisi linalomilikiwa na Mbunge, Saed Kubenea lililofungiwa na serikali wamekanusha taarifa ya serikali kuwa gazeti hilo linaandika habari za uongo, wamedai kuwa wao hawajawahi kuandika uongo n… Read More
  • Whatsapp Yafutwa China. Baada ya malalamiko ya muda mrefu ya serikali ya China juu ya mtandao wa ujumbe mfupi wenye kubeba mafaili ya Sauti, Picha na Video “WhatsApp” hatimaye imeuondoa rasmi nchini humo. Imeripotiwa kuwa mtandao wa WhatsA… Read More
  • Muziki wa Vigodoro Wapigwa Marufuku Tanga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga R.P.C Benedict Michael Wakulyamba, amepiga marufuku Vigodoro ndani ya jiji hilo kutokana na vitendo hivyo kuhamasisha uhalifu. Akiongea ofisini kwake R.P.C Benedict amesema miongoni mwa vi… Read More

0 comments:

Post a Comment