Sunday 17 July 2016

#MICHEZO>>>HII NDO BARUA YA KUTOKA IKULU IKIKANUSHA JERRY MURO KUTEULIWA NA RAIS KUWA KAIMU MSEMAJI WA IKULU.Fahamu zaidi hapa.

ALICHO ANDIKA JERRY MURO BAADA YA KUONA BARUA YA KUKANUSHA UTEUZI WAKE

  • jerrymuro1980Tunashukuru kwa ufafanuzi kutoka ikulu, wakati wa Mungu ukifika basi atafanya njia cha msingi ni kuendelea kuwa na subiria na kungojea wakati wa Mungu @yangasc


0 comments:

Post a Comment