Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>Azam yamuuza Tchetche Oman.Fahamu zaidi hapa.
MATAJIRI wa Ligi Kuu Bara, Azam wanatarajia kuingia msimu mpya wakiwa
wamegusa; benchi la ufundi na safu ya ushambuliaji na tayari imetangaza
kuachana na Kipre Tchetche aliyejificha jijini Dar es Salaam.
Azam imefanya mabadiliko makubwa katika benchi la ufundi, imeleta
makocha Wahispaniola; Kocha Mkuu Zeben Hernandez, msaidizi Yeray
Romero, kocha wa viungo, Jonas Garcia na wa makipa, Pablo Borges.
Makamu Mwenyekiti Azam, Nassoro Idrissa ‘Father’ alisema: “Nadhani
mabadiliko makubwa yapo benchi la ufundi na safu ya ushambuliaji,
tunatafuta mbadala wa Allan Wanga na Kipre Tchetche, nafasi za wachezaji
wa kigeni zipo nne; Wanga, Racine Diouf na Kavumbagu waliondoka, Kipre
tupo hatua za mwisho kukamilisha uhamisho wa kwenda Oman,” alisema.
Azam ina nyota wanne wageniwanaofanya majaribio kutoka Niger, Zimbabwe na Ivory Coast.
Related Posts:
AZAM YAANZA KAZI YA USAJILI, YAMNASA MKALI WA TOTO AFRICAN.
Baada ya ukimya, Azam FC imeanza rasmi usajili kuimarisha kikosi chake.
Klabu hiyo ya Mbande, imemnasa mshambuliaji anayekuja kwa kasi hivi sasa nchini, Wazir Junior.
Junior
aliyependekezwa na Kocha Mkuu Aristica Ci… Read More
TIOTE AANGUKA GHAFLA AFARIKI DUNIA, NI YULE KIUNGO WA IVORY COAST, NEWCASTLE ZAMANI.
Kiungo wa zamani wa Newcastle, Cheick Tiote ameanguka ghafla na kupoteza maisha akiwa mazoezini.
Tiote
amepoteza maisha akiwa na umri wa miaka 30, alikuwa mazoezini katika
kikosi cha Beijing Enterprises kinachoshiriki… Read More
YANGA IMETINGA NUSU FAINALI YA SPORTPESA SUPER CUP BAADA YA KUING'OA TUSKER KWA MIKWAJU YA PENALTI.
Yanga imetinga nusu fainali ya Sports Pesa Super Cup kwa mikwaju ya penalti.
Yanga imeing'oa Tusker ya Kenya kwa mikwaju ya penalti 4-2 baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya bila bao.
Kipa wa Yanga, Deo Munishi maaru… Read More
Maajabu..Kanisa Nchini Ghana Wafanya Ibada ya Kujipongeza Baada ya Chelsea Kutwaa Ubingwa wa Uingereza.
Kanisa la Living Stream International la nchini Ghana limefanya ibada
maalum ya shukrani baada ya Chelsea kufanya vizuri kwenye Ligi Kuu ya
Uingereza na kufaniliwa kuchukua kombe.
Download Application ya Hebron Mal… Read More
Perez - Zidane Anaweza Kuifundisha Madrid Hadi Mwisho wa Maisha Yake.
Kocha Zinedine Zidane huwenda akaifundisha klabu ya Real Madrid maisha
yake yote kwa mujibu wa rais wa klabu hio, Florentino Perez ikiwa ni
siku chache baada ya kocha huyo Mfaransa kuchukua kombe la Champions… Read More
0 comments:
Post a Comment