Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>Charles Boniface Mkwasa atangaza kikosi cha Taifa Stars kuikabili Nigeria.Fahamu zaidi hapa.
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania Charles Boniface Mkwasa
ametangaza kikosi cha wachezaji 24 kitakachoingia kambini Julai 30 kwa
ajili ya kujiandaa na mchezo wa kimataifa dhidi ya Nigeria unatarajiwa
kuchezwa mwanzoni mwa mwezi Septemba.
Mkwasa amesema ametoa nafasi kubwa kwa wachezaji vijana ili kuwapa
uzoefu lakini ameongeza kuwa, atahitaji wachezaji wote kwasababu licha
ya mechi hiyo kutokuwa na umuhimu wowote kwa timu zote mbili, lakini
bado inaumuhimu linapokuja suala la kupanda katika viwango vya FIFA.
Kambi itaanza August 1-5 lakini wachezaji watatakiwa kuripoti kambini Julai 31 kwenye kambi ambayo itatajwa hapo baadaye
Wachezaji wote wa wanaocheza soka nje ya nchi wataungana na timu moja
kwa moja Nigeria na baada ya mchezo huo watarejea tena kwenye vilabu
vyao.
Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania kilichotangazwa kwa ajili ya kambi ambayo inatazamiwa kuanzia August 1 hadi 5 mwaka huu.
MAKIPA
Deogratius Munish, Beno Kakolanya (Yanga SC), Aishi Manula (Azam FC)
WALINZI
Oscar Joshua, Kelvin Yondani, Juma Abdul (Yanga SC), Erasto Nyoni, Agrey Morris (Azam FC) Mohamed Hussein (Simba SC).
VIUNGO
Farid Musa, Himid Mao (Azam FC), Mohamed Ibrahim, Shiza Kichuya, Mwinyi
Kazimoto, Jonas Mkude (Simba SC), Ibrahim Rajab ‘Jeba’ (Mtibwa Sugar
FC), Hassan Kabunda (Mwadui FC), Simon Msuva, Juma Mahadh (Yanga SC).
WASHAMBULIAJI
Joseph Mahundi (Mbeya City), Ibrahim Ajib, Jamal Mnyate (Simba SC), John Bocco (Azam FC) na Jeremiah Juma (Tanzania Prisons).
Related Posts:
#MICHEZO>>> Picha: Chelsea watoa jezi mpya kwa msimu ujao.Fahamu zaidi hapa.
Klabu ya Chelsea ya nchini Uingereza imetoa aina yao mpya ya jezi
watakazozitumia msimu ujao. Wewe kama shabiki au mpenzi wa Chelsea
unaweza ukajipati jezi hizi ambazo ni rasmi kuwa ndizo zitakazotumika
msimu ujao.… Read More
#MICHEZO>>>>YANGA WAMWITA KESSY DAR, AZAM NAO WAKO NAYE ANA KWA ANA.Fahamu zaidi hapa.
Huku Yanga wenyewe wakisubiria Ligi Kuu Bara imalizike
ili wafanikishe usajili wa beki wa kulia wa Simba, Hassan Kessy, sasa
sakata hilo limekuwa kama filamu ya kusisimua baada ya Azam jana kumteka
na kumalizana naye kw… Read More
#MICHEZO>>RUNGU LA TFF>Azam FC yanyang'anywa pointi 3 na mabao 3.Fahamu zaidi hapa.
RUNGU
LA TFF>>>Azam FC yanyang'anywa pointi 3 na mabao 3 na kupewa Mbeya
City baada ya Azam kumchezesha Erasto Nyoni aliyekuwa na kadi 3 za
njano,TFF yaeleza.… Read More
#MICHEZO>>>>AZAM FC WAIACHIA RASMI UBINGWA YANGA, WATOA SARE 2-2 NA JKT RUVU CHAMAZI.Fahamu zaidi hapa.
AZAM
FC imepoteza kabisa matumaini ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom
Tanzania Bara, baada ya kulazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na JKT
Ruvu jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Matoke… Read More
#MICHEZO>>>Fernando aipa ushindi Real Madrid dhidi ya Manchester City.Fahamu zaidi hapa.
Nyota
wa Real Madrid, Gareth Bale akipiga shuti linalombabatiza beki wa
Manchester City, Fernando na kuipatia timu yake bao pekee la ushindi
Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Ligi ya
Ma… Read More
0 comments:
Post a Comment